Series (Special thread)

Series (Special thread)

hey at some point mtu anahitaji kupumzika na kurefresh mind, so inategemeana na starehe ya mtu, wengine sie hii ndio starehe yetu na mbaya zaidi ni kuwa haujui hizo movie twaangalia muda gani so dont be sooo judgemental, when u think u know too much its when you know not.

Achana nae huyo my lady ugonjwa wake nmeshaujua.....
Kipele kikiwasha kinaitaji mkuno tu...ha ha
Inaonekana Shida zimemuandama sana ipo siku atawaambia walio kwenye ndoa waache kungonoka eti wafanye kazi

Labda atuambie yeye amefanya nini kwenye hii dunia bastard huyo...
 
Achana nae huyo my lady ugonjwa wake nmeshaujua.....
Kipele kikiwasha kinaitaji mkuno tu...ha ha

Labda atuambie yeye amefanya nini kwenye hii dunia bastard huyo...

hivi yeye yuko busy kufanya kazi za watz wangapi!?? huku kafikaje??
kuna watu wanajifanyaga they kno alot, sasa si akafanye hizo kazi atuache wapoteza muda.
 
Nimeangalia za kutosha tu ila nachoweza changia ni kuwa hakuna series nzuri hapa duniani zaidi ya "The Game of Thrones"

Marine ni nzuri pia, kwasasa kuna hii inatwa Arrow, Inaendelea bado.
 
Nimeangalia za kutosha tu ila nachoweza changia ni kuwa hakuna series nzuri hapa duniani zaidi ya "The Game of Thrones"

Marine ni nzuri pia, kwasasa kuna hii inatwa Arrow, Inaendelea bado.

Sure GoT balaa...Arrow nmeangalia lakini haijanifurahisha coz kuna mambo mengi ya kubuni...
 
Sure GoT balaa...Arrow nmeangalia lakini haijanifurahisha coz kuna mambo mengi ya kubuni...

Hii ndo top 10 yangu of all time

1)game of throne
2) prison break
3)24
4) lost
5) Breaking bad
6) da Vinci demons
7)Spartacus
8) the 100
9)revolution
10) person of interest
 
Tafuta moja inaitwa A man from another star...ipo simpo bt ni nzuri sana
 
Weekend iliopita ndio nimemaliza kuangalia How i meet your mother, comedy flani hivi amazing

Kama unajua series nyingine nzuri ya comedy hebu tupia niitafute
 
Hello atakaependa tu exchange series Nina series nying tu hasa za comedy na love story pia za kikorea ninazo nipo kariakoo -0762778385
 
Cookie the New Queen of the prime time....Empire a must see show.

 
Last edited by a moderator:
Nimetoka kuangalia scandal......salute Olivia pope..... President kwisha habari yake hujiwezi...I wonder inaweza tokea kwenye real life?kwenda ikulu kwa president na ku.......na president kutoka toka ikulu Kumfwata bibie wet
 
Olivia akitaka kukuchafulia cv yako utajuta...But naona anampenda pia jack balard
 
Hapo prison break
Lost
Burn notice
White colar
Scandle still watching
Hw to get away with murder
The haves and have not
Zinavutia mno na sasa niko na empire
 
Back
Top Bottom