Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahaba niue.....Si umeona pale alipokuwa anaweka kwenye gari na Psyco Eddie,peppa alivyokuwa akimtetea eti wasimpelekeshe haresist!!Brad imemuuma dah.....
Simuamini mamma´s boy na moyo wangu ni kama nauweka rehani tu!!!
Wale tunaoangalia gotham imerudi .!
mhhhh.....naona itakuwa msawajiko wote wawili wapo messed up!!Hata kama wakikulana itakuwa kama kulipiza kisasi au kukomoana na hivo inakuwa hainogi, inanoga if you have pure desire for each other like Peppa and Randol!!Moyo ulikuwa unamwenda mbio..nasubiri kwa hamu scene ya brad na mercie next episodes.lol..brad nae asilaze damu
Nimefika season 4 mkuu cjui ww umeangalia mpka ngapu?
Apart from all of that it doesnt undo how much he messed up with my feelings and broke my heart!He needs to love himself moreee!!!Mkwe yuko upande wako..misifa yote ile aliyokumwagia bado umuamini tu??
mhhhh.....naona itakuwa msawajiko wote wawili wapo messed up!!Hata kama wakikulana itakuwa kama kulipiza kisasi au kukomoana na hivo inakuwa hainogi, inanoga if you have pure desire for each other like Peppa and Randol!!
Unadhani lucion atamfanya nn Eddie maana bwana yule anampanda kichwani good guy wetu...biti nyingi mi natamani ampe ngumi za uso wakati mwengine!!!Akimuexpose kwa kiongozi kama ni DIRTY COP itakuwa vizuri maana ni jizi halafu linabwia unga pia,Ila nahisi lucion ana wasiwasi kibarua kinaweza kuota nyasi!!!
Wale tunaoangalia gotham imerudi .!
Apart from all of that it doesnt undo how much he messed up with my feelings and broke my heart!He needs to love himself moreee!!!
Bado kamanda
Episode ya 19 ishatoka mkuu..itafute
Ah poa mkuu tena sa hv naisaka
Poa mkuu.mwenyewe ndo naipakua hapa
Mkuu mi ndo kwanza nipo episode ya 6 penguin snitch mbaya
Mkuu mi ndo kwanza nipo episode ya 6 penguin snitch mbaya
mzee uko mbele sana, xiii the series au kuna another xiii. Ninavyojua mimi no. of season till now ni 2, sasa season 3 na 4 sijui umepakua wap
Damn it!!..mi nimeishia season 2...please send me the streaming link where i can find other seasons...Nimefika season 4 mkuu cjui ww umeangalia mpka ngapu?
aisee mwenyewe nimeshangaa maana niko nasaka seasons nyingine... niko ya pli so farmzee uko mbele sana, xiii the series au kuna another xiii. Ninavyojua mimi no. of season till now ni 2, sasa season 3 na 4 sijui umepakua wap
eleza ulipopakua sasa according to Wikipedia the number of season ni 2, nimesearch pia kwa torrent hakuna season 3, labda unieleze umecheki kwa cd za chama buguruni au niaje?Ndio hiyo kaka duh ww ndio uko nyuma