Series (Special thread)

Series (Special thread)

GOT ndio series gani wadau....najaribu searching siipati, inaitwa hvyo au hiko kifupi chake.please help
 
Inasemekana yule main actor Sean Walker alipishana kauli na director na series ikaishia pale

Ile kitu waligusa ukweli fulani wa mambo ikahatarisha usalama wa nchi....actor akizingua haiwezi sababisha series ife....anatolewa na wala hutojua..

Kuna vyanzo vingi vya habari duniani tena ikichangiwa na hii mitandao ya kijamii inayoibuka kila siku so mtu unaweza ukaamini lolote unalolisoma au kulisikia

Movie industry inategemea sana faida (profit) kuliko kitu kingine chochote kama biashara nyingine yoyote sasa ikitokea kuna hasara (loss) sidhani kama mtu atakuwa tayari kupata hiyo harasa(loss) na soko la series biashara yake kubwa ipo kwenye idadi ya watazamaji, kituo cha tv kinachorusha hiyo series kinapata faida(profit) kubwa sana iwapo kutakuwa na watazamaji wengi( nitarudi kuelezea biashara wanafanyeje kutokana na wingi wa watazamaji) na kama show itakosa watazamaji wengi inakuwa cancelled coz ni biashara ambayo haina faida

Tukirudi kwenye suala la THE EVENTS ni series iliyopataga reception kubwa sana iliporusha Pilot yake Kwa mara ya kwanza mwaka 2010 mpaka baadhi ya wachambuzi wakasema ndio mbadala wa 24,Lost na 4400 lakini waliicritisize kwamba inamaswali mengi sana ya kijibu ambapo ilipokuwa inaendelea watazamaji wakawa wanapingua kila siku mpaka ikafikia katika ep ya 15 watazamaji walipungua kwa 48% hivyo ikawa ni biashara haina faida( profit) wakaamua kuicancel

Suala unalosema kaka Innocizy ni kweli kwamba katika kazi kuna conflicts lakini haziwezi kiathili biashara kiasi hicho maana kuna njia nyingi ya kuzitatua bila kuathili utendaji ila upo long kwenye suala la kwamba eti ilihatarisha usalama wa nchi
USA ndiyo nchi inayoongoza kwa uhuru na democrasia ya kujielezea ni nchi pekee na chache ambazo raisi anaweza kutukanwa hadharani

Lazima pia tujue makundi ya kijamii yanayoangalia sana TV ukiangalia kwa haraka haraka wanawake na watoto ndio wanaoongoza kuangalia TV sebureni hii inamaana kwamba vipindi na show zinazopendwa sana na wao ndio sitakazo pata watazamaji wengi,sorry kama sijakosea hata hiyo The event yenyewe ilicanceliwa ili kuipa nafasi show flani hivi ya kike kike sema nimeisahau sema,
Wanaume sisi tunapenda sana show za kibabe,kisayansi na kitafiti lakini hatukai sebureni kuangalia sie ni wazee wa torrent na kupakua bure na kwa uwizi ndio maana show zinazopendwa na wanaume nyingi zinakuwa cancelled
Show kama Disparate house wives ilipata sana umaarufu sababu tu ya kupendwa na kutazamwa sana wanawake

Pia zipo show nyingi sana ambazo zimecanceliwa baada ya kuonyesha Pilot
 
Last edited by a moderator:
Kuna vyanzo vingi vya habari duniani tena ikichangiwa na hii mitandao ya kijamii inayoibuka kila siku so mtu unaweza ukaamini lolote unalolisoma au kulisikia

Movie industry inategemea sana faida (profit) kuliko kitu kingine chochote kama biashara nyingine yoyote sasa ikitokea kuna hasara (loss) sidhani kama mtu atakuwa tayari kupata hiyo harasa(loss) na soko la series biashara yake kubwa ipo kwenye idadi ya watazamaji, kituo cha tv kinachorusha hiyo series kinapata faida(profit) kubwa sana iwapo kutakuwa na watazamaji wengi( nitarudi kuelezea biashara wanafanyeje kutokana na wingi wa watazamaji) na kama show itakosa watazamaji wengi inakuwa cancelled coz ni biashara ambayo haina faida

Tukirudi kwenye suala la THE EVENTS ni series iliyopataga reception kubwa sana iliporusha Pilot yake Kwa mara ya kwanza mwaka 2010 mpaka baadhi ya wachambuzi wakasema ndio mbadala wa 24,Lost na 4400 lakini waliicritisize kwamba inamaswali mengi sana ya kijibu ambapo ilipokuwa inaendelea watazamaji wakawa wanapingua kila siku mpaka ikafikia katika ep ya 15 watazamaji walipungua kwa 48% hivyo ikawa ni biashara haina faida( profit) wakaamua kuicancel

Suala unalosema kaka Innocizy ni kweli kwamba katika kazi kuna conflicts lakini haziwezi kiathili biashara kiasi hicho maana kuna njia nyingi ya kuzitatua bila kuathili utendaji ila upo long kwenye suala la kwamba eti ilihatarisha usalama wa nchi
USA ndiyo nchi inayoongoza kwa uhuru na democrasia ya kujielezea ni nchi pekee na chache ambazo raisi anaweza kutukanwa hadharani

Lazima pia tujue makundi ya kijamii yanayoangalia sana TV ukiangalia kwa haraka haraka wanawake na watoto ndio wanaoongoza kuangalia TV sebureni hii inamaana kwamba vipindi na show zinazopendwa sana na wao ndio sitakazo pata watazamaji wengi,sorry kama sijakosea hata hiyo The event yenyewe ilicanceliwa ili kuipa nafasi show flani hivi ya kike kike sema nimeisahau sema,
Wanaume sisi tunapenda sana show za kibabe,kisayansi na kitafiti lakini hatukai sebureni kuangalia sie ni wazee wa torrent na kupakua bure na kwa uwizi ndio maana show zinazopendwa na wanaume nyingi zinakuwa cancelled
Show kama Disparate house wives ilipata sana umaarufu sababu tu ya kupendwa na kutazamwa sana wanawake

Pia zipo show nyingi sana ambazo zimecanceliwa baada ya kuonyesha Pilot

Uko sawa kaka...
Miongoni mwa series ambayo binafsi I loved it na ikawa cancelled ni "the undercovers"
Damn I loved it maana kuna couple ambayo ni undercover CIA agents pamoja na wenzao. Mule yumo yule Boris Kodjo hatari sana.
 
Last edited by a moderator:
Pia kaka chuma cha reli ulishaona series flani ameact idris Elba inaitwa Luther????iko hadi season tatu ndo mwisho ila wakaicancell hapo.

Yeah niliiyonaga ilikuwa nzuri sana mie napendaga sana lafudhi za WaUk

Kwenye hii Luther ni wenyewe tu ndio waliamua isiendelee halafu si unajua Idris Elba ni actor Mkubwa so kumantain ratiba yake kidogo ni ngumu as most great actors wanaitaji pay kubwa

Ila nilionaga kipindi flani walisema watatengeneza Movie yake tu au American version series yake ambayo mpaka leo naona kimya

Unajua kule UK hawana strategic nyingi kama Hollywood kwenye upande wa movies
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom