Series (Special thread)

Series (Special thread)

Hahaha tabia mbaya kwenye mapenzi ndiyo nzuri...

Nimependa pale Connie alipomfumania Paul na kidemu chake akaenda kumtoa kwa wivu huku yeye ndio anayecheat ndoa yake, wakati wanaelekea ndani kwenye corridor Paul akamvuta Connie huku kambinua na kumwambia "I know what you want Connie" na mtoto akaresist kidogo huku ngoma ikiwa imeshafika kunako akaanza kulia kwa mahaba.

Nyingine pale cafe Connie alipokutana na rafiki zake Paul ikabidi amfate hukohuko akampeleka Toilet huku mtoto anasema " this is my best place Paul"

Nilijifunza kuwa mtundu na kujaribu kila kitu....

Pia mume wake Connie aliua bila kukusudia na Connie alipomuuliza akamwambia "I suppose to kill you not him"

This is my best romantic movie of all time

Hahahaaaaa!! Wacha weeeh! Best kwasababu ya tabia mbaya?? Haya bwana, mie hata siikumbuki vizuri maana ni muda sn niliiona, kilalakheri kwakuwa mbunifu.
 
Hahaha tabia mbaya kwenye mapenzi ndiyo nzuri...

Nimependa pale Connie alipomfumania Paul na kidemu chake akaenda kumtoa kwa wivu huku yeye ndio anayecheat ndoa yake, wakati wanaelekea ndani kwenye corridor Paul akamvuta Connie huku kambinua na kumwambia "I know what you want Connie" na mtoto akaresist kidogo huku ngoma ikiwa imeshafika kunako akaanza kulia kwa mahaba.

Nyingine pale cafe Connie alipokutana na rafiki zake Paul ikabidi amfate hukohuko akampeleka Toilet huku mtoto anasema " this is my best place Paul"

Nilijifunza kuwa mtundu na kujaribu kila kitu....

Pia mume wake Connie aliua bila kukusudia na Connie alipomuuliza akamwambia "I suppose to kill you not him"

This is my best romantic movie of all time

Aiseeeee nishazisahau hizi itabidi nizirudie tena....
About troy ni one of my favourite movies na nimeitazama zaidi ya mara 20...Achilles ktk ubora wake...
 
Aiseeeee nishazisahau hizi itabidi nizirudie tena....
About troy ni one of my favourite movies na nimeitazama zaidi ya mara 20...Achilles ktk ubora wake...

Troy ni movie ambayo kwangu ni bonge la movie na hii inadhiilisha kunapokuwa na watu makini hakuna kinachoharibika

David Benioff anabaki kuwa mwandishi bora kwangu kwa upande wa kuandika script na plot za histological Movie ndio maana hata Show yake ya Game of thrones inafanya vizuri
 
Wakuu, nahitaji series jamii ya Game of throne lakini yenye maadili ambayo naweza kuangalia hata na watoto wangu au hata wakwe zangu, Mwenye ujuzi naomba anipatie majina yake tafadhali
 
Troy ni movie ambayo kwangu ni bonge la movie na hii inadhiilisha kunapokuwa na watu makini hakuna kinachoharibika

David Benioff anabaki kuwa mwandishi bora kwangu kwa upande wa kuandika script na plot za histological Movie ndio maana hata Show yake ya Game of thrones inafanya vizuri

Na ile Hellen of troy ni yeye pia????
 
Na ile Hellen of troy ni yeye pia????

Hii ni movie ambayo haikuwai kupata mafanikio kwangu Mimi ni low budget movie coz ukiangalia hata location na mavazi yao unajua kabisa, nafikiri umenielewa nilivosema hivyo

Labda kwa vile niliiyona baada ya kuangalia Troy yenyewe iliyojaza mastaa kibao kama Brat Pitt, Eric Banna na Orlando Bloom

Trojan war ilikuwa ni hadithi za kigiriki kama unavyojua wagiriki ni wakali sana kwenye hadithi

Kuna blockbuster movie nyingi ambazo zilitengenezwa kutokana na hadithi hizi mfano Clash of the Titan's

Hii Helen of Troy haikutengebezwa na watu makini ndio maana ni low budget movie
 
Hii ni movie ambayo haikuwai kupata mafanikio kwangu Mimi ni low budget movie coz ukiangalia hata location na mavazi yao unajua kabisa, nafikiri umenielewa nilivosema hivyo

Labda kwa vile niliiyona baada ya kuangalia Troy yenyewe iliyojaza mastaa kibao kama Brat Pitt, Eric Banna na Orlando Bloom

Trojan war ilikuwa ni hadithi za kigiriki kama unavyojua wagiriki ni wakali sana kwenye hadithi

Kuna blockbuster movie nyingi ambazo zilitengenezwa kutokana na hadithi hizi mfano Clash of the Titan's

Hii Helen of Troy haikutengebezwa na watu makini ndio maana ni low budget movie

Hivi ile 300 si walisema itakuja part two yake na watakua 1000 badala yake sijaiona nikaona sijui the 300 nini nini hivi
 
Wakuu, nahitaji series jamii ya Game of throne lakini yenye maadili ambayo naweza kuangalia hata na watoto wangu au hata wakwe zangu, Mwenye ujuzi naomba anipatie majina yake tafadhali

Kama sijakuelewa vile but ikiwa unataka series za kizamani kama Game of thrones Kwa kweli katika pitapita zangu sijafanikiwa kukutana na series ya kizamani ambayo haina matusi

Imekuwa ni kama utamaduni kwa upande wa muvi za ancient world kuwa na matusi na hii inaonekana kama ndio hilikuwa lifestyle yao mfano series kama Rome na Spartacus ukitoa hiyo GOT yaani ni matusi mwanzo mwisho

Kuna watu wachache sana ambao wanachukizwa na hii tabia lakini eti kuna watu wengi zaidi wanaochukizwa na brutality katika series hii ya GOT so inawezekana makuzi yetu sie Waafrica yako tofauti na wenzetu walioendelea maana mzazi yupo tayari kuangalia muvi yenye sex scene kuliko kuangalia muvi yenye ukatili tena hasa wa kijinsia

Waongozaji wa hii GOT wamepunguza ukatili kuliko matusi na hata muungano wa mashoga uko USA unatoa fund hili tu waweke vipengele vya uhusiano wa kishoga n they pay a lot of money lakini wanalipa pesa kisiri ili tu kupromote na ionekane ushoga ni sehemu ya maisha ya mwanadamu
 
Hivi ile 300 si walisema itakuja part two yake na watakua 1000 badala yake sijaiona nikaona sijui the 300 nini nini hivi

Baada ya kupata umaarufu na kuingiza pesa nyingi sana ile muvi ya 300 Spartans naona watengenezaji wake wakanogewa ikabidi watoe nyingine inaitwa 300 the rise of an empire, eti wakaelezea kisa kilichotokea mpaka ile empire ya Spartans ikatokea nafikili walielezea kisa cha miaka 10 iliyopita

Wakati hile muvi ya 300 ndio iliishia pale.
 
Baada ya kupata umaarufu na kuingiza pesa nyingi sana ile muvi ya 300 Spartans naona watengenezaji wake wakanogewa ikabidi watoe nyingine inaitwa 300 the rise of an empire, eti wakaelezea kisa kilichotokea mpaka ile empire ya Spartans ikatokea nafikili walielezea kisa cha miaka 10 iliyopita

Wakati hile muvi ya 300 ndio iliishia pale.

Ile movie mwishoni yule jamaa alieumia jicho akaambiwa na king arudi Sparta alionekana amemobilize soldiers wengi that's the meaning of 1000 so nikashangaa wao kuleta rise of an empire.
Watu tuliwait for part two ya 300
 
Hahaaaaa yule Kaboom alikuwa ananitakia balaa tu, anaacha kuwatch na mkewe anataka mie nikapate case!!

Hahaha case tena wakati wenzio ndio ataona mteremko kitonga kusaidiwa kazi....kulea mwanaume kazi wewe na hatuliziki sisi

We ujui kama cha kuonja kitamu na kizuri kula na mwenzio
(Just kidding)
 
Last edited by a moderator:
Hahaha case tena wakati wenzio ndio ataona mteremko kitonga kusaidiwa kazi....kulea mwanaume kazi wewe na hatuliziki sisi

We ujui kama cha kuonja kitamu na kizuri kula na mwenzio
(Just kidding)

Aiii vingine havionjwi ati unaishia kuangalia tu!! Movie ya vile bora uangalie tu na wife kwakweli
 
Back
Top Bottom