Series ya gold mafia inasikitisha sana. Sasa naelewa vyema kwanini Magufuli alibana biashara ya dhahabu na fedha za kigeni

Series ya gold mafia inasikitisha sana. Sasa naelewa vyema kwanini Magufuli alibana biashara ya dhahabu na fedha za kigeni

I'm watching pt 2 right about now. Wizi unaofanyika sio wa Dunia hii, I mean when enough is enough?

Lakini Umesikia ripoti ya CAG hapa bongo? Miafrika wote mzazi wetu mmoja.

Sema ukipata channel ya kuzibua zibua kweli kweli, ukijidai una huruma wajuba hawana huruma. Hela ya serikali si hela yako usiionee huruma.
 
I'm watching pt 2 right about now. Wizi unaofanyika sio wa Dunia hii, I mean when enough is enough?

Lakini Umesikia ripoti ya CAG hapa bongo? Miafrika wote mzazi wetu mmoja.

Sema ukipata channel ya kuzibua zibua kweli kweli, ukijidai una huruma wajuba hawana huruma. Hela ya serikali si hela yako usiionee huruma.
😍😍😍😍😍 Haha ngoja nikue nipate chaleni ya kulamba 🍯🍯🍯vizazi vyangu havitalialia hizi shida 😇
 
Yule pasta n kiboko n full confidence aisee anajua kuset mpango na mtu akaingia kingi Ila masta n yule muhind wa Kenya nae alijipanga.

mjini akili we endelea kulalamika maharage kilo inaelekea 4,500 wakati msimu wa mvua unakaa kijiwen alafu michongo ya mjini huijui.

Kingine usishangae kusikia serikali ya Tanzania imetoa msaada uturuki au Malawi hapo serikali haijatoa pesa Kuna kikundi kinakuwa kimefinance hyo project sababu kinaushawishi mkubwa kwenye hyo serikali na baadae hyo serikali ilitoa msaada inamwomba ili nchi iliopokea msaada iwatambue kile kikundi kuwa n kikundi muhimu hvyo iwasikilize Jambo lao na muda unafika michuz inakuwa kwenye akaunt we unashangaa
 
I'm watching pt 2 right about now. Wizi unaofanyika sio wa Dunia hii, I mean when enough is enough?

Lakini Umesikia ripoti ya CAG hapa bongo? Miafrika wote mzazi wetu mmoja.

Sema ukipata channel ya kuzibua zibua kweli kweli, ukijidai una huruma wajuba hawana huruma. Hela ya serikali si hela yako usiionee huruma.
Sema nimegundua watu weusi hata kuiba lazima wategemee wahindi na wazungu. Wako na upumbavu sana
 
Yule pasta n kiboko n full confidence aisee anajua kuset mpango na mtu akaingia kingi Ila masta n yule muhind wa Kenya nae alijipanga.

mjini akili we endelea kulalamika maharage kilo inaelekea 4,500 wakati msimu wa mvua unakaa kijiwen alafu michongo ya mjini huijui.

Kingine usishangae kusikia serikali ya Tanzania imetoa msaada uturuki au Malawi hapo serikali haijatoa pesa Kuna kikundi kinakuwa kimefinance hyo project sababu kinaushawishi mkubwa kwenye hyo serikali na baadae hyo serikali ilitoa msaada inamwomba ili nchi iliopokea msaada iwatambue kile kikundi kuwa n kikundi muhimu hvyo iwasikilize Jambo lao na muda unafika michuz inakuwa kwenye akaunt we unashangaa
Yule pastor mjanja sana, hata shule ipo. Nilijua kuwa mapastor wote wa miujiza ni matapeli lakini sikujua wako level hizo. Hawa wabongo naanza kuwaangalia kwa wasiwasi zaidi, japo wengine kama kina Mwamposa hawawezi kuwa na akili za dili kubwa🙂 Lakini kama yule Fernandes hizi dili anaziweza.

Yule mhindi alikuwa ndiye Kingpin wa Kenya. Atakuwa akikaa anasema hii mijitu mipumbavu sana.
 
Yule pastor mjanja sana, hata shule ipo. Nilijua kuwa mapastor wote wa miujiza ni matapeli lakini sikujua wako level hizo. Hawa wabongo naanza kuwaangalia kwa wasiwasi zaidi, japo wengine kama kina Mwamposa hawawezi kuwa na akili za dili kubwa🙂 Lakini kama yule Fernandes hizi dili anaziweza.

Yule mhindi alikuwa ndiye Kingpin wa Kenya. Atakuwa akikaa anasema hii mijitu mipumbavu sana.
Kuna kitu kwa hawa mapasta njie zilezile walitumia wakoloni kurubudi waafrica kupitia wamisionar ndio hii leo dini kuoitia maaskofu hufanya hvyo.

Mfikirie gwajima, njoo mfikirie mama rwakatare, njoo kwa kakobe muangalia mwaposa mtafute mzee wa upako na wengine wengi achana na chizi zumaridi Ila hao wote wananafasi kwenye kuishawishi serikali angalia Mali wanazomiliki na wageni wanaowapata utapata jibu.
 
Mtu anakwambia Leo jion n westham vs Chelsea ngoma itaisha 2-2, anatofauti gan na aliesema kwanzia leo namfuta makonda kwenye ramani wakati kipindi hcho makonda n mkuu wa mkoa think twice kuhusu Hawa jamaa achana na kina rostam au manji wanavyojua kucheza na serikali
 
Yule pastor mjanja sana, hata shule ipo. Nilijua kuwa mapastor wote wa miujiza ni matapeli lakini sikujua wako level hizo. Hawa wabongo naanza kuwaangalia kwa wasiwasi zaidi, japo wengine kama kina Mwamposa hawawezi kuwa na akili za dili kubwa🙂 Lakini kama yule Fernandes hizi dili anaziweza.

Yule mhindi alikuwa ndiye Kingpin wa Kenya. Atakuwa akikaa anasema hii mijitu mipumbavu sana.
Halafu huwezi amini yule kaanza kufanya hiyo michezo ya kimafia na utakatishaji pesa tangia enzi za Moi , na yeye mwenyewe alikutana na mfanyakazi wa usalama wa Taifa kenya enzi hizo za akina Moi ndio akampatia hiyo idea ya umafia na utakatishaji pesa na ndio akapata connection mpaka kwa Moi na ndio akaingia sasa kwenye system the rest ni history , hela anayomake huyo ibilisi ,Mungu ndio anajua .
Hizi nchi zinasikitisha sana
 
Sema nimegundua watu weusi hata kuiba lazima wategemee wahindi na wazungu. Wako na upumbavu sana

Kabisa. That makes it even worse, bora uibiwe na ndugu yako somehow itakurudia kuliko mgeni (Zimwi likujualo ...)

In Nigeria, pamoja na ujinga wao wote, matajiri na wezi ni native nigerians. Hakuna miarabu, mihindi au mizungu kule. List ya matajiri wao ni wamatumbi wa pale pale Nigeria. Sasa njoo huku East and Southern Africa, wapiga dili wote halali na haramu ni wageni.
 
Kiufupi huo ni mtandao ulioenea Africa nzima , hao wakiomulikwa wapo Zimbabwe ila hiyo michezo wanafanya Africa nzima
 
So msishangae hata wafanyabishara wakubwa hapa Tanzania wanaoffshore pesa nje ya nchi bila kukatwa kodi wala serikali kujua kwa njia hiyo ,maana mfumo inaoperate kama cycle flani ,mfano labda mfanyabiashara mkubwa kama Dewji au muuza dawa za kulevya au fisadi ameamua kukwepa kodi kwa mapato ambayo amepata kwenye biashara yake au pesa zilizopatikana kutokana na shughuli za kihalifu so anaamua kuwapa pesa hao mamafia then wanaenda kununua dhahabu au vito vya thamani Tanzania ,Mozambique ,Congo au Zimbabwe then wanaexport kupitia Zimbabwe then wanaenda kuuza hayo madini dubai huko then ile cash inakuwa deposited kwenye bank account ya Dewji au huyo mhusika ambaye amelenga kukwepa kodi huko Dubai au nchi nyingine then kutoka dubai kuna pesa chafu pia inaongozwa kwenye system labda ya mauzo ya madawa ya kulevya huko china au kufadhili ugaidi huku Africa then hao mamafia wanakabidhiwa hiyo pesa then hiyo pesa inaletwa huku na hao mamafia kama proceeds za mauzo ya vito na madini maana wao wanaoperate kama wafanyabishara wakubwa wa madini ila ni mamafia wanaofanya biashara ya kutakatisha pesa chafu / illicit proceeds
 
So msishangae hata wafanyabishara wakubwa hapa Tanzania wanaoffshore pesa nje ya nchi bila kukatwa kodi wala serikali kujua kwa njia hiyo ,maana mfumo inaoperate kama cycle flani ,mfano labda mfanyabiashara mkubwa kama Dewji au muuza dawa za kulevya au fisadi ameamua kukwepa kodi kwa mapato ambayo amepata kwenye biashara yake au pesa zilizopatikana kutokana na shughuli za kihalifu so anaamua kuwapa pesa hao mamafia then wanaenda kununua dhahabu au vito vya thamani Tanzania ,Mozambique ,Congo au Zimbabwe then wanaexport kupitia Zimbabwe then wanaenda kuuza hayo madini dubai huko then ile cash inakuwa deposited kwenye bank account ya Dewji au huyo mhusika ambaye amelenga kukwepa kodi huko Dubai au nchi nyingine then kutoka dubai kuna pesa chafu pia inaongozwa kwenye system labda ya mauzo ya madawa ya kulevya huko china au kufadhili ugaidi huku Africa then hao mamafia wanakabidhiwa hiyo pesa then hiyo pesa inaletwa huku na hao mamafia kama proceeds za mauzo ya vito na madini maana wao wanaoperate kama wafanyabishara wakubwa wa madini ila ni mamafia wanaofanya biashara ya kutakatisha pesa chafu / illicit proceeds
Rejea ile stori ya yule jamaa aliesema jinsi GSM wanavyoujumu uchumi kwa kusafirisha pesa za manunuzi China kutoka kariakoo
 
Back
Top Bottom