Series ya gold mafia inasikitisha sana. Sasa naelewa vyema kwanini Magufuli alibana biashara ya dhahabu na fedha za kigeni

Series ya gold mafia inasikitisha sana. Sasa naelewa vyema kwanini Magufuli alibana biashara ya dhahabu na fedha za kigeni

It could also be smear campaign against Mnangagwa, hakuna mtu wa kazi chafu anaweza kukuelezea namna anavofanya kazi zake kwa uwazi kiasi kile tena mpo kwenye vikao watu wengi vile.

Mtu mwenye uwezo wa kutengeneza system complicated ya utakatishaji kama hizo hawezi kuji expose kijinga vile, kwanza unampata wapi?

Hawa Aljazeera wa miaka hii siwaamini.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kama watu wanaleta dili la 1.2bln usd lazima ujieleze vile kuwahakikishia kuwa una connections. Wapigania uhuru wengi ni watu wa hovyo tu. Walipiganiauhuru ili waibe badala ya mkoloni. Na bora mkoloni.
 
Kama watu wanaleta dili la 1.2bln usd lazima ujieleze vile kuwahakikishia kuwa una connections. Wapigania uhuru wengi ni watu wa hovyo tu. Walipiganiauhuru ili waibe badala ya mkoloni. Na bora mkoloni.
$1.2b ama $120m? Hivi unafikiri hawa watu hua hawafanyi due diligence ya potential customers wao kabla hawajafanya nao biashara considering hua wanafuatiliwa na serikali nyingi?

Mimi nasubiri mpaka wakae kikao na Mnangagwa nione.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
$1.2b ama $120m? Hivi unafikiri hawa watu hua hawafanyi due diligence ya potential customers wao kabla hawajafanya nao biashara considering hua wanafuatiliwa na serikali nyingi?

Mimi nasubiri mpaka wakae kikao na Mnangagwa nione.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Due dilligence gani ya maana utafanya kwenye biashara za magendo? Unaota! Mnangagwa ni fisadi kama walivyo wengine tu.
 
Mwenye kipande Cha movie hiyo ya gold mafia atutumie jamani tuione basi
 
Kuna ile scene ya mtoto wa Emerson mnangagwa anavyo make money kwa kucheza deal chafu[emoji848]
 
Niliingalia jana aljezeera niliumia sana kuona fake pastors wamo

USSR

Mii nilifikiri uliumia kwa sababu ya rasilimali zetu kuibwa. Kumbe nikuhusu fake pasta. si ndiyo michongo yao hiyo.
 
Back
Top Bottom