Serikali: Ardhi ya Tanzania ni mali ya Umma siyo ya Kabila moja, Katiba imemkabidhi Rais wa JMT aisimamie

Serikali: Ardhi ya Tanzania ni mali ya Umma siyo ya Kabila moja, Katiba imemkabidhi Rais wa JMT aisimamie

Waseme tu ukweli kwamba wanataka kuuza kwa ajili ya uwindaji. Wanyama wetu watamalizwa baada ya sisi kuondolewa. Tutatolewa kwa nguvu kwa sababu wameshaamua.
 
Waseme tu ukweli kwamba wanataka kuuza kwa ajili ya uwindaji. Wanyama wetu watamalizwa baada ya sisi kuondolewa. Tutatolewa kwa nguvu kwa sababu wameshaamua.
Waarabu wameshatoa hela kinachofuata ni kilio kwa wamasai ila precedent wanayoweka ni mbaya sana.
 
Laki tatu mpaka kufikia milioni na ushee je wanya'ma wataishi namna ipi? Tembo wakifika mjini mnaanza lawama.
 
Laki tatu mpaka kufikia milioni na ushee je wanya'ma wataishi namna ipi? Tembo wakifika mjini mnaanza lawama.
Soma tena ulichoandika kama utaweza kuweka vizuri tukuelewe.
 
Suluhisho ni kujenga ukuta eneo husika kama walivyo fanya melelani,baaasi hizi nyingine ni siasa za kick
 
Waziri wa Maliasili na Utalii Dr Damas Ndumbaro ametoa kauli ya serikali kuhusiana na mgogoro wa Ngorongoro. Dr Ndumbaro amesema ardhi ni mali ya Umma wa watanzania siyo mali ya kabila fulani na katiba ya JMT imempa Rais madaraka ya kuisimamia, kuiendeleza na kulipa fidia panapohitajika.

Ndumbaro amesema kwa sasa mkuu wa mkoa wa Arusha yuko kwenye majadiliano na mailagwanani wa kabila la Wamasai na akikamilisha ndipo tume ya serikali itakwenda na kuandaa ripoti ambayo itakabidhiwa bungeni.

Chanzo: ITV
HAPANA.
 
Nchi za wenzetu zipi. Unajua walipo Red Indians kule Marekani? Vipi kuhusu aboriginal people of Australia wako wapi? Kwanini wanaharakati wasianzie uko

Hii dunia haitaki makasiriko wale watu walikuwa wanakaa porini wanapinga reli zisipite, airports wasingeruhusu zijengwe, viwanda wala machimbo ya madini. Huwezi mwambia mzungu upuuzi kama huo. Walihama tu

Hata Uingereza yenyewe ilihamisha thugs na ikawapeleka Australia na ndio mwanzo wa ile nchi kuwepo. Sasa hawa badala ya wapambane kupata sehemu ya kuhamia wanaleta habari za Middle Stone Age!
Acha kuingiza watu chaka, baada ya hoja kujengwa kuhusu haki za aboriginals mfano wale wa Australia, haki zao zinathaminiwa sana kwa sasa na hata ardhi yao walirudishiwa na wanatambuliwa kwenye matukio yote makubwa na hata hualikwa kutumbuiza.......na vilevile wanazo fursa za upendeleo.
 
Ndio maana Katiba inatakiwa ipatikane mpya
 
Back
Top Bottom