technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mwaka 2018 TCCL Walitoa gawio la 1.5 bilion na 2019 2..1 bilion kwa serikali na nakumbuka ilikuwa Ikulu wakasifiwa sana kwa kutengeneza faida. Report ya CAG imewaumbua baada ya kuwaanika TCCL wanajiendesha kwa hasara na wameingia mikataba ya kimangungo inayolinyonya shirika.
Hii inaonyesha zile sifa zilikuwa ni uongo na alikuwa anajua anachokifanya ila aliamua kuuadaa umma wa watanzania ili apigiwe mapambia.
Unaweza kuona ni jinsi gani serikali yetu inavyoua mashirika na Magufuli anavyo force mambo wakati uhalisia hakuna mashirika yapo hoi iweje yatoe gawio? kuna shida kubwa ya uongo uongo kwenye utawala wa Magufuli.
Hii inaonyesha zile sifa zilikuwa ni uongo na alikuwa anajua anachokifanya ila aliamua kuuadaa umma wa watanzania ili apigiwe mapambia.
Unaweza kuona ni jinsi gani serikali yetu inavyoua mashirika na Magufuli anavyo force mambo wakati uhalisia hakuna mashirika yapo hoi iweje yatoe gawio? kuna shida kubwa ya uongo uongo kwenye utawala wa Magufuli.