Serikali baada ya kukutana na viongozi wa dini ilitakiwa irudi tena kuwapa mrejesho mapendekezo yao Serikali imefikia wapi

Serikali baada ya kukutana na viongozi wa dini ilitakiwa irudi tena kuwapa mrejesho mapendekezo yao Serikali imefikia wapi

"Hakuna mwenye misuli ya kuyumbisha nchi". Jibu lake lipo hapo.
Sidhani hata kama ile kauli kutolewa haikuwacsahihi kabisa

Angetoa tu mrejesho kuwa serikali imefikia wapi kwenye mapendekezo ya wananchi mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini au hata angesema tu tunaendelea kupokea mapendekezo na uchambuzi wa kina unaendelea chini ya wataalamu wetu na wewe baba askofu na wenzio mtuletee tuyafanyie kazi.kama kuna mapendekezo mlisahau kwenye yale mlituletea nk mpeni Baba Askofu atuletee yajumuishwe

Ile lugha aliyotumia Raisi ilikuwa chini ya kiwango haikuhitajika kabisa.
 
Kabla ya hapo nyinyi mnaotoa hizo allegations toani uhakika wa hizo habari kama ni kweli ndege ya serikali imekamatwa.
Mwambie Msigwa ajitokeze atueleze hao wengi sisi hatueajui na wala hatuna uhakikanao kama wanakula kodi zetu.
 
Sintofahamu inayoendelea sasa hivi Issue ya Dp World ilitakuwa kuwa solved kidogo tu

Viongozi wa serikali walikutana na viongozi wa dini kuhusu hilo swala Wakaeleza kutoridhikia na wakatoa maoni yao na kusihi serikali na bunge waangalie ushauri wao wawape mrejesho

Matokeo serikali na bunge wakakaa kimya no feedback na badala yake moto unawashwa ohh viongozi wa dini waache siasa na vitisho kibao

Hilo sio afya kwa taifa.Serikali International mrejesho wa walipofikia kulikuwa na shida gani? Hata huo waraka wa maaskofu usingetoka na maskofu wangefanya kazi kuelimisha waumini wao hatua serikali au bunge wamechukua kurekebisha kasoro

Lakini hii foka foka ya viongozi wa Serikali na bunge si afya sana kwa taifa

Hoja zijibiwe kwa hoja. Wananchi wakitaka feedback wapewe

Na kukaa kimya sio sahihi ni sawa na kusema bora liende
Kabisaaa
 
Sukuma gang kazini

Nimekueleaa na nimerekebisha. Mama kishasema:

"Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu."

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya
Miaka 60 ya KKKT.

Unalo jipya au bado hilohilo?
Wazanzibar kwa kudemka hamjambo
 
Sintofahamu inayoendelea sasa hivi Issue ya Dp World ilitakuwa kuwa solved kidogo tu.

Viongozi wa serikali walikutana na viongozi wa dini kuhusu hilo swala Wakaeleza kutoridhikia na wakatoa maoni yao na kusihi serikali na bunge waangalie ushauri wao wawape mrejesho.

Matokeo serikali na bunge wakakaa kimya no feedback na badala yake moto unawashwa ohh viongozi wa dini waache siasa na vitisho kibao.

Hilo sio afya kwa taifa. Serikali International mrejesho wa walipofikia kulikuwa na shida gani? Hata huo waraka wa maaskofu usingetoka na maskofu wangefanya kazi kuelimisha waumini wao hatua serikali au bunge wamechukua kurekebisha kasoro.

Lakini hii foka foka ya viongozi wa Serikali na bunge si afya sana kwa taifa.

Hoja zijibiwe kwa hoja. Wananchi wakitaka feedback wapewe.

Na kukaa kimya sio sahihi ni sawa na kusema bora liende.
Bandari ni ya watanzania wote na siyo viongozi wa dini pekee, walipaswa kutoa mrejesho kwa watanzania.
 
Hivi kwa hapa ilipofika braza msigwa ahusiki kabisa kutujibu au??
 
Bandari ni ya watanzania wote na siyo viongozi wa dini pekee, walipaswa kutoa mrejesho kwa watanzania.
Sio kila mtu aweza wasilisha maoni.yake kwa wabunge ambao kutwa hawawasiliani na wapiga kura kwenye maamuzi ya mambo mazito kama hili la DP World

Wabunge wapuuzi hawakuomba maoni ya wapiga kura wao kabla kutoa maamuzi

Walimuwakikisha nani kutoa maamuzi?
Kabla kutoa uamuzi mbunge gani Ali consult wapiga kura wake na kuwapa huo mkataba? Wausome? Serikali imechemka na bunge like heka ndio maana wananchi wakakimbilia kwa Viongozi wa dini kuwa tusaidieni nyie kupiga yowe.Hatuna mtu wa kusikia sauti zetu awe Serikali, bunge au mahakama


Viongozi wa dini hawajaibuka tu.Wao hawapigiwi kura na wananchi lakini ni viongozi wao wa wananchi wenye vyama vyote vya siasa chama tawala na Upinzani na wasio na vyama

Mlitaka wananchi waende wapi wakati.bunge jeuri,Serikali jeuri na mahakama jeuri?

Kimbilio lao wananchi wakakimbilia kwa Viongozi wa dini sababu mihimili yote imeamua kutosikiliza kilio cha wananchi na kuwa jeuri ya kukataa kubadili vipengele hovyo kwenye mkataba

Wananchi hawapingi uwekezaji wanapinga vipengele hovyo kwenye mkataba.Nini hasa mnataka? Mlitaka wananchi waende wapi wakati mihimili yote mumeamua kuwadhibiti

Mnataka wananchi wafanyaje labda? Ili msikie kilio chao?
 
Sio kila mtu aweza wasilisha maoni.yake kwa wabunge ambao kutwa hawawasiliani na wapiga kura kwenye maamuzi ya mambo mazito kama hili la DP World

Wabunge wapuuzi hawakuomba maoni ya wapiga kura wao kabla kutoa maamuzi

Walimuwakikisha nani kutoa maamuzi?
Kabla kutoa uamuzi mbunge gani Ali consult wapiga kura wake na kuwapa huo mkataba? Wausome? Serikali imechemka na bunge like heka ndio maana wananchi wakakimbilia kwa Viongozi wa dini kuwa tusaidieni nyie kupiga yowe.Hatuna mtu wa kusikia sauti zetu awe Serikali, bunge au mahakama


Viongozi wa dini hawajaibuka tu.Wao hawapigiwi kura na wananchi lakini ni viongozi wao wa wananchi wenye vyama vyote vya siasa chama tawala na Upinzani na wasio na vyama

Mlitaka wananchi waende wapi wakati.bunge jeuri,Serikali jeuri na mahakama jeuri?

Kimbilio lao wananchi wakakimbilia kwa Viongozi wa dini sababu mihimili yote imeamua kutosikiliza kilio cha wananchi na kuwa jeuri ya kukataa kubadili vipengele hovyo kwenye mkataba

Wananchi hawapingi uwekezaji wanapinga vipengele hovyo kwenye mkataba.Nini hasa mnataka? Mlitaka wananchi waende wapi wakati mihimili yote mumeamua kuwadhibiti

Mnataka wananchi wafanyaje labda? Ili msikie kilio chao?
Hakuna bunge lile ni kusanyiko la mashetani tupu
 
Serikali hairipoti kwa viongozi wa dini. Kumbuka hilo.

Serikali imeshaelezea kuhusu bandari vyakutosha, hatuoni sababu ya serikali kuendelea kujibizana na wajinga.

Sisi tubishane hapa JF, yesha. Ujinga wetu hapa ubaki hapahapa.
Wasaidiwe serikali kujibu swali la ndeve ya Rais iliko, usizuge zuge kupotezea.
 
Back
Top Bottom