Serikali baada ya kukutana na viongozi wa dini ilitakiwa irudi tena kuwapa mrejesho mapendekezo yao Serikali imefikia wapi

Serikali baada ya kukutana na viongozi wa dini ilitakiwa irudi tena kuwapa mrejesho mapendekezo yao Serikali imefikia wapi

Sintofahamu inayoendelea sasa hivi Issue ya Dp World ilitakuwa kuwa solved kidogo tu.

Viongozi wa serikali walikutana na viongozi wa dini kuhusu hilo swala Wakaeleza kutoridhikia na wakatoa maoni yao na kusihi serikali na bunge waangalie ushauri wao wawape mrejesho.

Matokeo serikali na bunge wakakaa kimya no feedback na badala yake moto unawashwa ohh viongozi wa dini waache siasa na vitisho kibao.

Hilo sio afya kwa taifa. Serikali International mrejesho wa walipofikia kulikuwa na shida gani? Hata huo waraka wa maaskofu usingetoka na maskofu wangefanya kazi kuelimisha waumini wao hatua serikali au bunge wamechukua kurekebisha kasoro.

Lakini hii foka foka ya viongozi wa Serikali na bunge si afya sana kwa taifa.

Hoja zijibiwe kwa hoja. Wananchi wakitaka feedback wapewe.

Na kukaa kimya sio sahihi ni sawa na kusema bora liende.
Mimi naona viongozi wa dini wadai huo mrejesho kupitia mkutano maalumu wa vyombo vya habari. Halafu pia maoni ya viongozi hao wa dini wayaweke wazi!!
 
Serikali hairipoti kwa viongozi wa dini. Kumbuka hilo.

Serikali imeshaelezea kuhusu bandari vyakutosha, hatuoni sababu ya serikali kuendelea kujibizana na wajinga.

Sisi tubishane hapa JF, yesha. Ujinga wetu hapa ubaki hapahapa.
Wajinga ni kina nani? Mama aliwaahidi viongozi wa dini kuwa maoni yao yatazingatiwa lakini mkatabna ukapitishwa na bunge kama ulivyokuwa bila maoni yao kuzingatiwa!! Ndio maana wakatoliki wameamua kutoka hadharani na kutoa waraka wao. Maana huo wa viongozi wa dini umetupwa kapuni!! Tumewashtukia hao waarabu wenu hawatakuwa na ubavu wa kuingia Tanzania!! Tutachoma moto kanzu zao!!
 
Nimekueleaa na nimerekebisha. Mama kishasema:

"Nimeyasikia yote uliyoyasema kuhusu usalama, amani, umoja na muendelezo wa taifa letu, niliamua kunyamaza kimya, na naendelea kunyamaza kimya, nachotaka kuwahakikishia hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuligawa taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuuza taifa hili, na hakuna mwenye misuli na ubavu wa kuharibu amani na usalama kwenye taifa letu."

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika maadhimisho ya
Miaka 60 ya KKKT.

Unalo jipya au bado hilohilo?
Hawezi kutudanganya eti hakuna mwenye ubavu wa kuuza Taifa hili wakati keshaliuza tayari kwa waarabu!! Hivi kumpa mwarabu bandari zote za Tanzania bara aziendeshe na kuzisimamia bila ukomo wa muda kuwekwa wazi si ndio kuuza kwenyewe!! Muda wote huo watanzania hawatakuwa na la kusema kuhusu bandari zao. Na mbaya zaidi mkataba hautoi kipengele cha kuuvunja hata iweje!! Msituone wajinga!!! Kauzeni vya Zanzibar!!!
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Kumbe unawachukia waarabu...

Wenzako wazungu pamoja na tofauti na hao watu bado hawakuzuia wasiandae fainali za kombe la dunia kule Qatar....

Dunia hii ni ya makubaliano kibiashara....

Eti kwa kuwa mimi mnyakyusa ninazichukia kanzu za waarabu ilihali babu yangu mchungaji Anyigulile Kyala kila misa anazivaa pale Moravian Matema Kyela ,nisitake Tanzania tupate TRILIONI 26 zaidi ya nusu ya bajeti ya juzi ya fiscal year(trilioni 44)[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kweli chuki ni ugonjwa wa akili....haya unaye MVAA SUTI aliye na "offer" yenye "kitambi" cha TRILIONI 80?!!! [emoji1787]
Nawachukia kwa wizi wao!!! Wakikubali kubadilisha mkataba uwe rafiki (win win) hapo sawa tutawakaribisha na kanzu zao!! Hatuwezi kumchekea mwizi wala kibaraka wao!! Acha ujinga, hizo trilioni unazotaja ziko kichwani kwako tu na hazitajwi na mkataba huo wa kijambazi!!
 
Dunia hii ni ya makubaliano kibiashara....
Nakubaliana na wewe kuhusu makubaliano ya kibiashara lakini yasiwe makubaliano ya upande mmoja kuporwa bandari zake jumla!! Tatizo liko hapo!! Mkataba wa hovyo wa kutoa bandari zetu zote jum;la bila ukomo!! Huu ujinga haukubaliki!! Kuna watui waqmeuza bandari zetu hapo!! Kama kuna kitu walichukua watajuana huko huko!! Mwarabu wa DP World hatatia mguu wake Tanzania kwa mgongo wa mkataba huu wa bandari!!
 
Za Zanzibar hazina mashiko ya biashara kubwa....

Kwa hiyo wakawekeze Zanzibar ili hizi nchi 8 zisizo na bahari zikachukulie mizigo huko ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Tuletee MVAA SUTI mwenye "offer" kuizidi hiyo TRILIONI 26....[emoji1787]
Hizo trilioni 26 zimeainishwa kwenye kifungu kipi cha mkataba!! Mkataba wote ninao hapa!!
 
Kwani serikali inawajibika kwa viongozi wa dini au kwa raia, inawapa je majibu kwani hao ni muhimili?
Kama inawajibika kwa raia na viongozi wa dini sio raia basi iendelee kushughulika na hao raia wake. Iache kuwatisha viongozi wa dini wanapoandika barua.
 
Kwani serikali inawajibika kwa viongozi wa dini au kwa raia, inawapa je majibu kwani hao ni muhimili?
Cjui nan kawaloga bongo zenu nyie watu!! Hao viongoz ni kwa vyeo tu lkn ni watanzania kama wengine, ambapo serikali ilipaswa kutoa majibu kwa wananch na sio viongoz wa dini kama vyeo!!
 
.... maamuzi magumu HAYANA kubembelezana......

#Hakuna mwenye misuli ya kuligawa taifa hili wala kuliuza [emoji120]
Aliewapa dhamana ya kuitetea serikali mitandaon kiukwel kbs amekosea san, mnashindwa kuwajibu watanzania kwa hoja, mnakuja kuongea kauli za hovyo zisizo na tija!!
 
Mtamuuzia nani? Hiyo imekamatwa ili tapeli arudishe fedha zao. Alidhani atapitisha kwa mabavu kama walivyozoea.
Kama haiuziki wameikamata ya nini? Waiweke makumbusho?
 
Hawezi kutudanganya eti hakuna mwenye ubavu wa kuuza Taifa hili wakati keshaliuza tayari kwa waarabu!! Hivi kumpa mwarabu bandari zote za Tanzania bara aziendeshe na kuzisimamia bila ukomo wa muda kuwekwa wazi si ndio kuuza kwenyewe!! Muda wote huo watanzania hawatakuwa na la kusema kuhusu bandari zao. Na mbaya zaidi mkataba hautoi kipengele cha kuuvunja hata iweje!! Msituone wajinga!!! Kauzeni vya Zanzibar!!!
Kumbe kishauza bandari zote? Basi wewe poyoyo kweli kweli, Bandari mpaka zinauzwa ulikuwa wapi?
 
Sintofahamu inayoendelea sasa hivi Issue ya Dp World ilitakuwa kuwa solved kidogo tu.

Viongozi wa serikali walikutana na viongozi wa dini kuhusu hilo swala Wakaeleza kutoridhikia na wakatoa maoni yao na kusihi serikali na bunge waangalie ushauri wao wawape mrejesho.

Matokeo serikali na bunge wakakaa kimya no feedback na badala yake moto unawashwa ohh viongozi wa dini waache siasa na vitisho kibao.

Hilo sio afya kwa taifa. Serikali International mrejesho wa walipofikia kulikuwa na shida gani? Hata huo waraka wa maaskofu usingetoka na maskofu wangefanya kazi kuelimisha waumini wao hatua serikali au bunge wamechukua kurekebisha kasoro.

Lakini hii foka foka ya viongozi wa Serikali na bunge si afya sana kwa taifa.

Hoja zijibiwe kwa hoja. Wananchi wakitaka feedback wapewe.

Na kukaa kimya sio sahihi ni sawa na kusema bora liende.
Kwani walikubaliana timeline ya mambo hayo?
 
Kwani serikali inawajibika kwa viongozi wa dini au kwa raia, inawapa je majibu kwani hao ni muhimili?
Kwanini serikali iliwaita kuongea nao tena waziri Mbarawa ndiye aliewakilisha serikali.
 
Kwani walikubaliana timeline ya mambo hayo?
Raisi angejibu kwenye hotuba kule Moshi miaka 60 ya KKKT angetumia hiyo nafasi vizuri kusema tunaendelea kushughukia maoni yote ya wananchi wote wakiwemo viongozi wa dini

Statement ya vitissho aliyotoa iko chini ya kiwango

Wakiamwandikia hotuba wanechemka

Viongozi wa dini huwezi watishia nyau tena wa kanisa kubwa kama katoliki

Raisi apange safe mpya ya washauri

Hasa kwenye issue zihusuzo mahusiano ya serikali na viongozi wa dini

Kuna washauri hopeless na hawajielwi watatumbukiza nchi kwenye shida kwa kukosa hekima ndogo tu

Nchi ikitumbukia kwenye vita wanajeshi ndio watakesha usiku na mchana kupambana na wananchi wakati wanasiasa watakuwa wanalala fofo na wake zao au waume zao wakikumbatiana na kubusiana wanajeshi wakiwa vitani

Huu ujinga jeshi na vyombo vya usalama vikae mbali waache serikali na bunge wajibu hoja za wananchi sababu likiibuka la kuibuka wao ndio watakesha mitaani.wanasiasa watalala fofofo na watoto wao na wake na waume zao watawapeleka uarabuni, ulaya na Marekani nk wananchi wa kawaida wakiwa hawana kwa kwenda

Huu muziki wa DP World uachwe wananchi na serikali na bunge wapambane .Jeshi na mahakama wakae mbali
 
Mimi naona viongozi wa dini wadai huo mrejesho kupitia mkutano maalumu wa vyombo vya habari. Halafu pia maoni ya viongozi hao wa dini wayaweke wazi!!
Vyombo habari vyote kuna taarifa za chini chini jukwaa la wahariri kasoro jamii forums wamehongwa hela nyingi mno kutotoa taarifa .Viongozi wa serikali walikutana na jukwaa la wahariri It was fine haina shida

Shida kuna tuhuma za bahasha za rushwa za kuhongwa jukwaa la wahariri.Ndio maana kanisa katoliki likaona isiwe kesi kama vyombo vya habari wahariri wamehongwa waraka utasomwa direct makanisa yote nchi zima mijini na vijijini kusiko na TV,wala magazeti wala Fm Radio
 
Usemi wa zama za kale hata leo Bado unatumika, "Roma ikishazungumza, mjadala umekwisha" Achana na matapeli wa kidini na kisiasa, wanaotafutia watoto wao chakula serikalini, lisikilizeni kanisa, mkiacha kusikiliza lenyewe halina cha kupoteza, mtakaopoteza ni nyinyi na vizazi vyenu.
 
Back
Top Bottom