Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kwahio tumeingiza dollar ngapi na kunufaisha vipi wakulima wetu kwa kuuza mafuta yetu nje ?
Au hatuna Ubora wa kuweza kuuza huko ili tupate hizo dollar zisaidie kujenga miundombinu na tupunguze bei ya tozo ili chenji inayobaki tuweze kununua hayo mafuta yaliyopanda bei
Au hatuna Ubora wa kuweza kuuza huko ili tupate hizo dollar zisaidie kujenga miundombinu na tupunguze bei ya tozo ili chenji inayobaki tuweze kununua hayo mafuta yaliyopanda bei