Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Blame game and not meIli mzidi kuwakandamiza katika Bei za ndani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Blame game and not meIli mzidi kuwakandamiza katika Bei za ndani?
Endelea kumwaga povu,kama unajua sio kila mtu awe mkulima basi nunua Kwa bei zilizopo ndio zinamlipa mkulima..Sio kila lazima awe mkulima Kuna viwanda vinahitaji wafanyakazi, serekalin wanahitaji wafanyakazi, utalii unahitaji wafanyakazi ukitaka kila mtu hiko kitu hakitakaa kitokee na inaonyesha ulivyokua na upeo mdogo
Hata bidhaa za viwandan vina Bei elekezi sio tu kwenye kilimo ni karibia sekta zote Wana Bei elekezi
Endelea kulalama basiBlame game and not me
Nikukumbushe tayari serekali imepiga ban kuuza mazao nje ya nchi na sio Tanzania hata India ilipiga ban kuuza ngano nje ya nchi huwezi kuwa na taifa la watu wenye njaaEndelea kulalama basi
Ilaumu serekali yako iliyopiga marufuku kuuza mazao nje ya nchi na iliyoshindwa kuwalinda wakulima unanlaumuje mim ebu jaribu kutumia mantikiEndelea kumwaga povu,kama unajua sio kila mtu awe mkulima basi nunua Kwa bei zilizopo ndio zinamlipa mkulima..
Hutaki kalime.
Unauhakika kila mwenye fikra pevu ni mkulima na unauhakika kila tajiri ni mkulima mbona una mawazo mgando hivyo
Hakuna ban iliyopigwa na kama itakuwa hivyo next year tutalima Mazao yetu ya kula wenyewe na tuendelee na mambo mengine afu tuwaone huko mjini mtakavyofanya..Nikukumbushe tayari serekali imepiga ban kuuza mazao nje ya nchi na sio Tanzania hata India ilipiga ban kuuza ngano nje ya nchi huwezi kuwa na taifa la watu wenye njaa
Serikali kulinda mkulima ni kuruhusu kuuza popote kwenye Bei nzuri ikiwemo hii inayokufanya unalia loa hovyo.Ilaumu serekali yako iliyopiga marufuku kuuza mazao nje ya nchi na iliyoshindwa kuwalinda wakulima unanlaumuje mim ebu jaribu kutumia mantiki
Ban imeshawekwa tayari kama ulikua hujuiHakuna ban iliyopigwa na kama itakuwa hivyo next year tutalima Mazao yetu ya kula wenyewe na tuendelee na mambo mengine afu tuwaone huko mjini mtakavyofanya..
Labda serikali itawalimia,siwezi limia wa mjini afu nipangiwe Bei, never
Basi iambie hiyo ban ishushe Bei basiBan imeshawekwa tayari kama ulikua hujui
Sasa inatusaidia nini kutuambia bei zimepanda bila kutuambia mkakati wao ni upi kufanya bei zishuke? Kwani sisi hatuoni kama zimepanda?Serikali imetangaza ongezeko la bei katika baadhi ya bidhaa za vyakula, huku kushuka kwa uzalishaji ikitajwa kuwa sababu.
Miongoni mwa bidhaa za chakula zilizopanda bei katika mwaka ulioishia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na mwaka ulioishia Agosti mwaka huu ni mchele, maharage, mahindi.
Hayo yameelezwa leo Septemba 15 na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa bei za bidhaa katika mwaka ulioishia mwezi Agosti mwaka huu.
Dk Kijaji amesema bei ya mchele imeongezeka hadi kufikia kati ya Sh2000 hadi Sh3500 katika Septemba mwaka huu.
"Ikilinganishwa na Agosti mwaka huu bei ya mchele sokoni ilikuwa kati ya Sh1700 na Sh3000,"
Bei ya maharage ilifika kati ya Sh1, 750 hadi Sh3500 ikilinganishwa na Sh1800 hadi Sh2, 600 iliyokuwapo Agosti mwaka huu.
Kuhusu mahindi bei yake imefikia Sh900 hadi Sh1,550 kwa kilo ikilinganishwa na Sh700 hadi 1,500 Agosti mwaka huu.
Kuhusu uzalishaji wa chakula, mahindi yalishuka kwa asilimia 7.1, uzalishaji wa mchele ulishika kwa asilimia 30.9 na maharage uzalishaji ulishuka kwa asilimia 11.1. Kati ya mwaka 2020/2021 ikilinganishwa na Mwaka 2021/2022.
Ongezeko hilo la bei katika baadhi ya bidhaa za chakula na zisizo za chakula zimefanya mfumuko wa bei wa Taifa kuongezeka kwa asilimia 0.1 katika mwezi Septemba ikilinganishwa na mwezi uliotangulia.
Sababu za athari zitokanazo na "Russio-Ukraine war" hazipigiwi upatu tena eeh! Itatupasa tujifunze mambo ya uongozi na utawala kutoka nchini Kenya.Serikali imetangaza ongezeko la bei katika baadhi ya bidhaa za vyakula, huku kushuka kwa uzalishaji ikitajwa kuwa sababu.
Miongoni mwa bidhaa za chakula zilizopanda bei katika mwaka ulioishia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na mwaka ulioishia Agosti mwaka huu ni mchele, maharage, mahindi.
Hayo yameelezwa leo Septemba 15 na Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa bei za bidhaa katika mwaka ulioishia mwezi Agosti mwaka huu.
Dk Kijaji amesema bei ya mchele imeongezeka hadi kufikia kati ya Sh2000 hadi Sh3500 katika Septemba mwaka huu.
"Ikilinganishwa na Agosti mwaka huu bei ya mchele sokoni ilikuwa kati ya Sh1700 na Sh3000,"
Bei ya maharage ilifika kati ya Sh1, 750 hadi Sh3500 ikilinganishwa na Sh1800 hadi Sh2, 600 iliyokuwapo Agosti mwaka huu.
Kuhusu mahindi bei yake imefikia Sh900 hadi Sh1,550 kwa kilo ikilinganishwa na Sh700 hadi 1,500 Agosti mwaka huu.
Kuhusu uzalishaji wa chakula, mahindi yalishuka kwa asilimia 7.1, uzalishaji wa mchele ulishika kwa asilimia 30.9 na maharage uzalishaji ulishuka kwa asilimia 11.1. Kati ya mwaka 2020/2021 ikilinganishwa na Mwaka 2021/2022.
Ongezeko hilo la bei katika baadhi ya bidhaa za chakula na zisizo za chakula zimefanya mfumuko wa bei wa Taifa kuongezeka kwa asilimia 0.1 katika mwezi Septemba ikilinganishwa na mwezi uliotangulia.
Kwani hayo mahindi atakuwa kayaiba au yake?Wafunge mipaka na iundwe sheria ngumu atakayekamatwa akisafirisha nafaka nje apigwe kesi ya uhujumu uchumi
Ingia shambani kakaBashe ni muchknow Sana ataigharimu nchi hii,bora ubane pesa lakini sio msosi
Basi iambie hiyo ban ishushe Bei basi
SAMIA HAWEZI KUKUELEWA.Wafunge mipaka na iundwe sheria ngumu atakayekamatwa akisafirisha nafaka nje apigwe kesi ya uhujumu uchumi