Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

Umewachanganya ulivyosema division of labor hawaelewi wenzako
Watu kila mtu awe mkulima hizo kazi nyingine watafanya nani tunashida sana kwenye kufikiri

Mfano developed countries watu wanaojihusisha na kilimo hawafiki hata asilimia 3 lakin ni nadra sana kusikia Kuna njaa, Ila Tanzania na nchi nyingi za afrika majority watu almost 30% ya watu wanashiriki kwenye kilimo lakin ni kawaida kusikia Kuna njaa

Mtu unalima heka mbili au moja alafu unajiweka kwenye kundi la wakulima si vichekesho alafu unataka ufanikiwe kupitia kilimo watu waache utani
 
Watu kila mtu awe mkulima hizo kazi nyingine watafanya nani tunashida sana kwenye kufikiri

Mfano developed countries watu wanaojihusisha na kilimo hawafiki hata asilimia 3 lakin ni nadra sana kusikia Kuna njaa, Ila Tanzania na nchi nyingi za afrika majority watu almost 30% ya watu wanashiriki kwenye kilimo lakin ni kawaida kusikia Kuna njaa

Mtu unalima heka mbili au moja alafu unajiweka kwenye kundi la wakulima si vichekesho alafu unataka ufanikiwe kupitia kilimo watu waache utani
Umemaliza mkuu
 
Si ajabu serikali haikuwa ikilitegemea hili...
 
Hawa watu ni mbumbumbu sana!

Tulionya humu toka mwaka unaanza kwamba selikali isiruhusu mazao kutoka kwenda nje, wakakaza mafuvu! Na kuna mataahira humu yakawa yanatuita sukuma gang!

Leo hii mchele ule chenga kabisa wa vitumbua unauzwa sh 2000 toka 1000

Nmeongea na muuzaja anasema watu wa nje hasa kenya wana mastoo ya kutosha wamejaza mchele na hili la selikali kupiga marufuku sasa hivi imeshtuka kukiwa too late na anasema kabisa hali itakuwa mbaya zaidi maana hakuna tena mchele huko mashambani.

Ngoja ufike hata elfu 10 ili hata yale mataahira yaliyokuwa yana kejeli tuliposhauri yakianza kulala njaa ndio yatapata akili
 
Hawa watu ni mbumbumbu sana!

Tulionya humu toka mwaka unaanza kwamba selikali isiruhusu mazao kutoka kwenda nje, wakakaza mafuvu! Na kuna mataahira humu yakawa yanatuita sukuma gang!

Leo hii mchele ule chenga kabisa wa vitumbua unauzwa sh 2000 toka 1000

Nmeongea na muuzaja anasema watu wa nje hasa kenya wana mastoo ya kutosha wamejaza mchele na hili la selikali kupiga marufuku sasa hivi imeshtuka kukiwa too late na anasema kabisa hali itakuwa mbaya zaidi maana hakuna tena mchele huko mashambani.

Ngoja ufike hata elfu 10 ili hata yale mataahira yaliyokuwa yana kejeli tuliposhauri yakianza kulala njaa ndio yatapata akili
Wacheni wauze

Kenya wananunua bei nzuri hawapunji mtu shida nini hata wakijazaa na kuweka maghala Kenya nzima ya.mazao ya Tanzania

Mkulima wa Tanzania chake kapata hana shida na mtu

Nyie vikazi vya mjini mnanpesa agizeni huko Kenya mkitaka kwenye bei juu sababu ndani ya nchi hamtaki kununua mazao yao kwa bei ya juu
 
Hawa watu ni mbumbumbu sana!

Tulionya humu toka mwaka unaanza kwamba selikali isiruhusu mazao kutoka kwenda nje, wakakaza mafuvu! Na kuna mataahira humu yakawa yanatuita sukuma gang!

Leo hii mchele ule chenga kabisa wa vitumbua unauzwa sh 2000 toka 1000

Nmeongea na muuzaja anasema watu wa nje hasa kenya wana mastoo ya kutosha wamejaza mchele na hili la selikali kupiga marufuku sasa hivi imeshtuka kukiwa too late na anasema kabisa hali itakuwa mbaya zaidi maana hakuna tena mchele huko mashambani.

Ngoja ufike hata elfu 10 ili hata yale mataahira yaliyokuwa yana kejeli tuliposhauri yakianza kulala njaa ndio yatapata akili
😂😂😂😂 Na bado huku panya road kule Bei tamu mtanyooka tuu Dar, pumbavu zenu kalimeni mje kuuza buku jero..

Na hii Serikali yenu ikiendelea na upuuzi wa kufunga mipaka,watu wataacha kulima kila mtu atalima chake na watakuja mjini kuwa panya road..

Sio Kazi ya wakulima kuvimbisha matumbo ya nyie vitimoto wa mjini Kazi mnayojua ni mdomo mitandaoni..

Waambieni wafunge mipaka hivyo hivyo waje kuona msimu ujao itakuaje..
 
Wewe ni taktaka na Samia hata fanya lolote ukoo wako ukianza kufa kw njaa
Kwani mimi nataka Samia afanyaje sasa 😆😆..

Hayo mapovu kamtolee bibi yako Ili akutumie maharage na mahindi..

Mtanyooka ngoja ifike wa 12 kuelekea wa 2 mtanunua elfu 5 tuone mtakachofanya fala wewe..

Mumevimba matumbo kama kitimoto kwa jasho la wakulima,this time mtajua hamjui..
 
We ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization

Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani
Huyo jamaa mpuuze tu anasubir dada yake agongwe na shemeji yake ndio apate kula chakula hawez kukuelewa hata kidgo.
 
Wafunge mipaka na iundwe sheria ngumu atakayekamatwa akisafirisha nafaka nje apigwe kesi ya uhujumu uchumi
Kalime Mkuu nimelima mwenyewe usinipangie niuze wapi naangalia profit Max
 
Back
Top Bottom