Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

Hivi serikali haiwezi kutenga hata billions of money ifanye kilimo cha kisasa maana virgin lands wanazo, why kununulia watumishi eg Das, Ded etc magari ya 500 million each kisha basic need kama chakula ni mtihani kwa mpiga kura wako?!?! Kilimo kitakomboa hii nchi sielewi kwanini hawafanyi hivyo, maybe im too dumb to understand mtu anieleweshe kwanini hawawezi tenga fungu wafanye kilimo cha kisasa au hata kufanya subsidies wachimbie watu visima wafanye modern farming na sio kilimo cha kutegemea mvua
 
Hivi serikali haiwezi kutenga hata billions of money ifanye kilimo cha kisasa maana virgin lands wanazo, why kununulia watumishi eg Das, Ded etc magari ya 500 million each kisha basic need kama chakula ni mtihani kwa mpiga kura wako?!?! Kilimo kitakomboa hii nchi sielewi kwanini hawafanyi hivyo, maybe im too dumb to understand mtu anieleweshe kwanini hawawezi tenga fungu wafanye kilimo cha kisasa au hata kufanya subsidies wachimbie watu visima wafanye modern farming na sio kilimo cha kutegemea mvua
Hawawezi kuwaza hivyo mpaka wananchi wawaamshe. Subiri uone vuguvugu la #sembekilo1shilingi1000 lishike kasi utaona mipango kedekede itakavyoanzishwa
 
Kiujumla Bei za bidhaa zilianza kupanda mwaka 2020 Mwendazake akiwa Rais..

Hizi za Sasa sababu kubwa ni Ukame,Ukraine na Uviko 19 ila watu watajifanya wamesahau..

Tunakumbushana tuu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221004-155540.png
    Screenshot_20221004-155540.png
    76.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221004-155434.png
    Screenshot_20221004-155434.png
    59.8 KB · Views: 3
  • Screenshot_20221004-155411.png
    Screenshot_20221004-155411.png
    66.1 KB · Views: 3
Wameshafunga we uko wapi
Jeshi la mtu mmoja alipokuwa anazuia hiki wanachofanya sasa walimuona punguani.

Ukweli ni kwamba yeye aliongoza nchi kwa maono yake hawa wanafanya ili kumkomoa marehemu, maji yanawafika shingoni wanaamua kufanya walichokigaya!.
 
Wanaonufaika na kupanda kwa bei ya vyakula si wakulima kamwe.
Kuna madalali na wafanyabiashara wa mazao ya chakula ndio wanufaika wakubwa.
Nipo kwenye sekta ya kilimo kwa miongo miwili,najua nini kinafanyika.
Mimi ni mkulima na ninavyoongea mpunga wangu upo Ubaruku ghalani, sasa sijui katika sample yako ya hao wasionufaika na kupanda kwa bei na mimi nimo au lah. Na ata hao wakulima wenye mtaji mdogo hakuna aliyeuza gunia la mpunga chini ya 80,000 mwaka huu wakati mwaka jana gunia kipindi cha mavuno lilifika mpaka 35,000
 
We ni mjinga sana nimeona ukiongea huu ujinga kwenye nyuzi nyingi nimeona nikujibu sio kila mtu lazima awe mkulima hizo kazi nyingine zitafanywa na nani unajua maana ya division of labour and specialization

Kwa kukusidia a modern agriculture inafanywa na watu wchache sana sababu ni machine extensive hiko kilimo Cha kufanywa na watu wengi kama wewe unavyo advocate ni Cha kizamani

Sio kila mtu lazima awe mkulima Kuna viwanda vinahitaji wafanyakazi, serekalin wanahitaji wafanyakazi, utalii unahitaji wafanyakazi ukitaka kila mtu hiko kitu hakitakaa kitokee na inaonyesha ulivyokua na upeo mdogo

Hata bidhaa za viwandan vina Bei elekezi sio tu kwenye kilimo ni karibia sekta zote Wana Bei elekezi
Bado hujajibu kitaaluma....
Ni hivi mimi nikihitaji unga wa ugali na maharage ili nishibe na kupata nguvu ya kulima huo mpunga nilipe bei juu...
Nikivuna na gharama zote za keendelea kuishi ili nikuuzie huo mchele, niendelee kulipa bei juu..
Atakayenunua huo mchele au mpunga alipe bei ya kukoboa na kusafirisha huo mchele alipe bei juu...
Ila wewe mlafi wa ubwabwa, ule kwa bei cheeee......
 
Hii Nchi inawatu wa hovyo sana.vyakura kupanda kidogo tu,wanakimbilia kufunga mipaka.wanaona upungufu unasababishwa na kusafirishwa nje ya Nchi.

Kubali kushindana bei nahao wanao nunua huko nje ya Nchi ,mkiwazidi hakuna ataye pereka.
 
Sio kila mtu lazima awe mkulima Kuna viwanda vinahitaji wafanyakazi, serekalin wanahitaji wafanyakazi, utalii unahitaji wafanyakazi ukitaka kila mtu hiko kitu hakitakaa kitokee na inaonyesha ulivyokua na upeo mdogo

Hata bidhaa za viwandan vina Bei elekezi sio tu kwenye kilimo ni karibia sekta zote Wana Bei elekezi
Hakuna Bei elekezi kwenye chakula.
Serikali inacho weza kufanya nikuingiza mzigo sokoni kutoka kwenye akiba yake.

Na hii mara nyingi inahusu mahindi.
 
Mimi naomba ifike 8000elfu kilo ya mchele, mumetuonea sana wakulima. Shez zenu munaokaa mjini na kulalamikia serikali ili imubane mkulima
Bahati mbaya mpunga umesha Toka kwa wakulima uko mikononi mwa wafanya biashara.
 
Bado hujajibu kitaaluma....
Ni hivi mimi nikihitaji unga wa ugali na maharage ili nishibe na kupata nguvu ya kulima huo mpunga nilipe bei juu...
Nikivuna na gharama zote za keendelea kuishi ili nikuuzie huo mchele, niendelee kulipa bei juu..
Atakayenunua huo mchele au mpunga alipe bei ya kukoboa na kusafirisha huo mchele alipe bei juu...
Ila wewe mlafi wa ubwabwa, ule kwa bei cheeee......
Kwa kukusaidia hata Bei ikipanda anayefaidika ni mfanyabiashara sababu mkulima anakua ameshauza mazao yake mda wengine kabla hata hawajavuna wanakua wameshauza, kwa hiyo sio kweli Bei ikipanda anayenufaika ni mkulima Bali wafanyabiashara ambao wanamaghala ya kuhifadhi mazao ya kilimo
 
Bahati mbaya mpunga umesha Toka kwa wakulima uko mikononi mwa wafanya biashara.
Hiyo ndo point yangu anayenufaika kwa kupanda kwa bei sio mkulima Bali wafanyabiashara ambao wengi wao wamewapa madalali ela wakaenda wachukuli/wanunulia mazao kwa wakulima
 
Back
Top Bottom