Serikali: Bei ya Mchele imefikia Tsh. 3,500, Maharage 3,500, Mahindi 1,500 kwa kilo

Endelea kumwaga povu,kama unajua sio kila mtu awe mkulima basi nunua Kwa bei zilizopo ndio zinamlipa mkulima..

Hutaki kalime.
 
yaani hawa watu wanaoishi kwa kodi zetu wanatuchezea sana akili hawa, yaani wakikalia v8 zetu na wakiwa wamepanda ndege zetu wanaishiaga kukenua meno tu, wanatusahau kabisa kwamba tunateseka. Yaani mchele hadi unafikia kilo moja 3500 yenyewe ipo ipo tu ofisini haina hata mipango ya kunusuru wananchi. Mimi inafika mahali huwa nawaombea wafariki tu, yeyote ambaye amesahau wajibu wake ila mshahara wake anakumbusha kuongezewa ila hakumbushii kuomba aongezewe majukumu 😎 nawaombea watangulie mbele za haki tutawakuta tu.....
Wakishindwa kutumia akili zao vizuri watoke waingie wenye mawazo ya kuwakomboa wananchi katika mapito kama haya jamani, mtanisamehe ila yanaudhi kwakweli😡😡
 
Ku
Unauhakika kila mwenye fikra pevu ni mkulima na unauhakika kila tajiri ni mkulima mbona una mawazo mgando hivyo

Kwa nchi hii hakuna mkulima mwenye fikra pevu,hakika nakuambia!Angekuepo nchi hii tungeuza nafaka mpaka Ukraine.
Ninyi viongozi mna fikra pevu Ila mnawakomoa wakulima makusudi,
Baa la njaa halizuiwi kwa kufunga mipaka(mawazo ya kilevi)

Eee mwenyezi Mungu mwingi wa rehema wape wakulima maarifa ya kibepari kidogo tuu,hakika ninyi wenye viribatumbo vya maofisini mtanyooka
 
Nikukumbushe tayari serekali imepiga ban kuuza mazao nje ya nchi na sio Tanzania hata India ilipiga ban kuuza ngano nje ya nchi huwezi kuwa na taifa la watu wenye njaa
Hakuna ban iliyopigwa na kama itakuwa hivyo next year tutalima Mazao yetu ya kula wenyewe na tuendelee na mambo mengine afu tuwaone huko mjini mtakavyofanya..

Labda serikali itawalimia,siwezi limia wa mjini afu nipangiwe Bei, never
 
Sasa inatusaidia nini kutuambia bei zimepanda bila kutuambia mkakati wao ni upi kufanya bei zishuke? Kwani sisi hatuoni kama zimepanda?
 
Sababu za athari zitokanazo na "Russio-Ukraine war" hazipigiwi upatu tena eeh! Itatupasa tujifunze mambo ya uongozi na utawala kutoka nchini Kenya.

Angalia jinsi Dr. Ruto atakavyounda Baraza la Mawaziri, angalia vipaumbele vyake vya kiuchumi na kijamii, angalia jinsi anavyoendesha ujasusi wa kiuchumi kimkakati, hayo yote yanashadishwa na kauli mbiu yake ya "Kenya Kwanza"
 
Basi iambie hiyo ban ishushe Bei basi
Nikikuita mjinga ntakua nakuosea
 
Ingia shambani kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilaumu serekali na sio watu wa jf ambao hawana mamlaka yeyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…