DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa huyo Nabii simngemkamata na kumpeleka Polisi afunguliwe mashitaka?
Sasa huyo mchangiaji anapinga kwamba serikali haipaswi kumkamata maana kuna uhuru wa kuabudu!! Na kwamba kila mtu ana uhuru wa kuamini anachotaka. Sasa sielewi toka lini utapeli wa pesa ni uhuru wa kuabudu?
 
Jamaa anashirikina na mtu anitwa furaha Dominic kutapeli wanawake
 
Jamaa anashirikina na mtu anitwa furaha Dominic kutapeli wanawake
Acha watapeliwe haya mawanawake hayataki kufanya kazi yana penda bwerereee, tapeli baba hadi wakimbie wenyewe.. fungua matawi nchi nzima..., funga betting machine hapo, wakati wanakusubiria hapo nje wana beti kwa kwenda mbele, funga mchine za kutabiri mechi utavuna mashabiki wa Yanga/Simba +Azam with Ihefu, fungua bar ndani ya kanisa lako, wasiliana na Dr. Sulle afungue tawi, bila kumsahau Ustadh majini.
 
Huyu naye ni tapeli kama matapeli wengine. Siku moja nilimsikia akiongea kwenye redio nikashangaa kwanini TCRA na serikali wanamruhusu aendelee kuwadanganya, kuwahadaa na kuwaibia fedha wananchi maskini kwa njia rahisi kama zile. Inasikitisha sana.
 
Huyu naye ni tapeli kama matapeli wengine. Siku moja nilimsikia akiongea kwenye redio nikashangaa kwanini TCRA na serikali wanamruhusu aendelee kuwadanganya, kuwahadaa na kuwaibia fedha wananchi maskini kwa njia rahisi kama zile. Inasikitisha sana.

Huyu sasa ni fungakazi.
Upigaji wake sio wa kawaida.
Unaambiwa kalete lako 5, kalete milioni 2 n.k
Ukileta anakutoa vitu tumboni n.k
 
Huyu sasa ni fungakazi.
Upigaji wake sio wa kawaida.
Unaambiwa kalete lako 5, kalete milioni 2 n.k
Ukileta anakutoa vitu tumboni n.k
Mweee! Basi huyu ni sangoma anayetumia biblia kufanya ramli chonganishi na kuwatapeli wananchi masikini. Serikali inapaswa kuchukua hatua madhubuti kumdhibiti muhuni huyu kabla hajawaliza waanchi wengi sana. Huyu ni zaidi ya DECI aisee!
 
Wajinga siku zote ndiyo waliwao
 
Tanzania Inachezewa Sana Yaani Mtu Anafungua Huduma Anawakamua Wananchi Na Bado Wizara Ya Mambo Ya Ndani Ifute Kibari Cha Nabii Endapo Walimpa. Huu Mwendo Kwa Taifa Siyo Mzuri Yaani Kama Hatuoni.
... msiisumbue serikali, WIZARA YA MAMBO YA NDANI INAANZIA AKILINI MWENU ... PIGENI VITA UTUMBAFU!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…