DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyu jamaa tapeli kubwa nipo kumsikiliza hapa.
 
Nimekuja kujua kumbe huyu jamaa ni mkongo.

Ma'body guards wake ni kina Mwarabu fighter
 
Dini ni kwa ajili ya wajinga wasioweza kuchaganua mambo. Hivyo, wacha wapigwe tu.

Kama watu wazima mnashindwa kubaini uongo na ukweli ulio dhahiri.. mnachukulia mambo ya kusadikika serious, tutawezaje kusaidia?
 
Huyu tapeli naona serikali bado inamuendekeza mama zetu na dada zetu wanazidi kutapeliwa.
 
Mtumishi yeyote feki neno la Mungu kwenye ibada linafundishwa kidogo sana au hakuna kabisa. Huyu sio mtumishi wa Mungu.
 
Nabii anatembea na mabaunsa wakina mwarabu fighter
 
Sheia zinazohusiana na masuala ya dini na imani zimekaaje jina lake lenyew limekaa kiubabaoshaji
 
Usihusishe serikali na vitu vya kipumbavu kila mtu amepewa akili hapo inategemea unaitumiaje akili uliyopewa,wanaoenda huko wameenda kwa ridhaa zao wenyewe wacha tu wapigwe
Inaonekana hata maana ya serikali huijui unajiropokea.
 
Hivi kwanin wanawake wengi wa kiafrica hasa Tanzania uwezo binafs wa kufikiri uko chini mno hivi!
Aliyesoma na mbumbumbu wote sawa tu!
Mbaya zaidi ndo wamepewa jukumu la kuendeleza kizazi.
Ukute ndo maana wazungu walichoka ujinga wakaoana wanaume.
Wengi hawaamini mambo hutokea kiasilia na hukabiliwa kwa kanuni za logic kikawaida.
Wanapenda mkato wa miujiza iwe kwa mganga au dini.
Elimu ya kujitambua wanayo ya mapenzi tu.
NItashangaa kukuta aliyeishi na mke dunian hapatikan ahera!
 
Huu uzi niliuignore ila baada ya kuona hadi Laurence Masha kaenda huko buza mhhhh
 
Wao ndio hawana akili kuliko hata wanyama thus wanaowana jinsia moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…