DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Juzi namskiliza Times FM usiku kucha ni utapeli juu ya utapeli.
Sikiza hii
Triiing simu inaita kisha anakuja sauti ya kike " Baba tumepata ajali hapa Handeni baba yangu amekufa"
Nabii 😁 "mwanangu weka mkono kifuani kwake nimuombee"
Binti " Hallelujah amemkaa "
Upuuzi mtupu 😡 wa watu mataahira.
 
Juzi namskiliza Times FM usiku kucha ni utapeli juu ya utapeli.
Sikiza hii
Triiing simu inaita kisha anakuja sauti ya kike " Baba tumepata ajali hapa Handeni baba yangu amekufa"
Nabii 😁 "mwanangu weka mkono kifuani kwake nimuombee"
Binti " Hallelujah amemkaa "
Upuuzi mtupu 😡 wa watu mataahira.
Ah, nacheka kama fala hapa. Me ningezima redio nilale
 
Unatumia vigezo gani kusema ni tapeli na wengine si matapeli kama akina mwamposa, mzee wa upako n. K

Dini ni imani ambayo msingi wake ni upumbavu na umaskini kwaio hayo unayodhania ni kutapeliwa hakika si kutapeliwa bali hao unaodhani wanatapeliwa wameona inafaa kwa imani yao.

Serikali haiwezi kuingilia kwa sababu nayo mtaji wake ni ujinga wa wananchi. Always matapeli hawaingiliani kwenye maslahi.
 
Binafsi nimejaribu kumsikiliza redioni jamaa anascript za kiahamba sana sijui hata hao waumini anawapataje...

Tuwe makini sana na wanawake zetu..

Juzi mke wangu kaniambia jumapili twende buza kwa kiboko ya wachawi. Aisee kidogo nimlambe makofi, nikamuuliza ww umeshawahi akaniambia ndio, nqni kakupeleka eti ni mama sekela(mnyakyusa.. wannyakyusa na haya mambo ni pete na kidole)..

Basi kilichofuata ni kumpa kalipio KUU.. then kumfuata huyo mama sekela nakumkanya ipasanywo pamoja na kumfahamisha mume wake.
 
Ukimsikiliza Kuhani Musa, Mwamposa na huyo kiboko ya wachawi katika shuhuda ambazo watu wanatoa kama una akili timamu huwezi kwenda huko kwa sababu ya utapeli unajionyesha kabisa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

Sure ,watu sijui wanadanganyika vipi na usanii wanaoufanya ,Tapeli Dominic anachofanya anaingia studio anarecord mazungumzo ya kisanii ya mpiga simu then wanyarusha Furaha Redio,Efm au Times FM.

Kuna siku kuna dada alimpigia simu kwamba hajui amepewa mimba na nani hivyo akampigia Kiboko ya wachawi amtajie ,then Nabii akamtajia kwamba ni Fundi Ujenzi ndiyo aliyempa ujazito kati ya wanaue wake sita.

Mimi huwa namsikiliza kama ze comedy huwa nafurahi sana anavyoigiza.
 
C. Nini Kifanyike?
Pesa inayokusanywa mahali hapa BUZA - MTAA WA LULENGE ni nyingi na wizi wa wazi. Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) na TAKUKURU chukueni hatua, kufanya upelelezi wenu na kuwasweka ndani hawa Manabii Wahuni. Hii ni filimbi ya kuiamsha serikali (WHISTLE BLOWER), na Andiko hili litabaki kama kumbukumbu na ushahidi kwamba Vyombo vya Serikali vilitahadharishwa kabla kwa lengo zuri tu la kuchukua hatua stahiki.
Pesà inatafutwa
 
Usihusishe serikali na vitu vya kipumbavu kila mtu amepewa akili hapo inategemea unaitumiaje akili uliyopewa,wanaoenda huko wameenda kwa ridhaa zao wenyewe wacha tu wapigwe
Umemaliza, watanzania lazima tuelewe maana ya uhuru wa kutoingiliwa ni pamoja na wewe kujiamulia mambo Yako binafsi
 
Usihusishe serikali na vitu vya kipumbavu kila mtu amepewa akili hapo inategemea unaitumiaje akili uliyopewa,wanaoenda huko wameenda kwa ridhaa zao wenyewe wacha tu wapigwe
Kwahiyo unataka kusema wachina hawana akili? Uchina hata kukusanyika ukafanya maubili utawekwa ndani, unaambiwa nenda nyumbani kwako ukaombe unavyotaka na sio kukusanya watu.
 
Huyu Jamaa tushawasanua sana watu humu kwamba jamaa ni Tapeli ,yaani anafufua wafu ,yaani ukipiga simu hata uwe na ugonjwa gani utapona tu ,cha kushangaza hiyo namba muda wote ipo busy tu ,kwa kifupi anafanya usanii ,na tatizo letu sisi waTZ hatushirikishi ubongo easy sana kudanganywa.
Alafu mkongomani huyu
Hawa wengi matapeli tu
Wanacheza na akili za watu

Mfano leo hii,mm nianze kumshobokea kakob wakati
Wengine tumekuwa na tunamuona kakob anauza cd kko
Leo hii nabii 😄
Ukiishi kwa kuona mengi elimu tosha kabisa huwezi kubabaishwa
Na mtu

Ova
 
Kwahiyo unataka kusema wachina hawana akili? Uchina hata kukusanyika ukafanya maubili utawekwa ndani, unaambiwa nenda nyumbani kwako ukaombe unavyotaka na sio kukusanya watu.
😄

Ova
 
Juzi namskiliza Times FM usiku kucha ni utapeli juu ya utapeli.
Sikiza hii
Triiing simu inaita kisha anakuja sauti ya kike " Baba tumepata ajali hapa Handeni baba yangu amekufa"
Nabii 😁 "mwanangu weka mkono kifuani kwake nimuombee"
Binti " Hallelujah amemkaa "
Upuuzi mtupu 😡 wa watu mataahira.
Hahaaaaaaaa
 
Kumbe tatizo ni raia wa Kongo kukusanya maokoto. Naweza kushauri, Msiende huko, maana msipoenda hamtotozwa hiyo pesa, na tatizo liytakuwa limekwisha.
 
Back
Top Bottom