DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimejaribu kuongelea kitu ambacho nimekiona kwa macho yangu. Hao wachina sijui wahindi unawajua ww na matendo Yao mie sijawahi ishi.
Lkn sasa wewe huoni Kuna haja ya vyombo vya Dola kua makini kwa kudhibiti uingiaji haramu wa wageni? Unadhani Nini athari za matendo ya hao wageni kwa jamii yetu?

Tumia akili kidogo tu utajua nachozungumzia Wala sio ubaguzi.
Kama umekiona wewe ukaja kutusimulia kwanini hutaki na sisi tusimulie yetu,
Mkuu tafuta pesa , tafuta pesa, tafuta maisha wacha kupiga chabo wamalawi wakizagamuana ohoo...!!
 
Tuliofanya kazi ya sensa haya mambo tunayajua siku nyingi sana.
Kwa uzoefu wangu anzia Kunduchi, Tegeta, Bahari beach, Kondo & Ununio(hapa ndo site yao), haya maeneo yote yametapakaa wamalawi na hawana hata vitambulisho vya aina yoyote.
Niko na mshangao mno kwamba hivi hivi vyombo vya usalama viko wapi?, vipo kwa ajili ya kuficha madudu ya wakubwa km yule jamaa wa dodoma na mchepuko wake?
Una amini TISS ipo?
Ingekuwepo Mhutu asingekuwa Numero Uno
 
We umenielewa! Kama wamekuja kutafuta maisha ni jambo zuri lkn kutuletea vitamaduni vya kwao huko hapana aisee
Wale jamaa tabia zao Huwa zinashangaza sana nahisi wakat mwingine kama nati zimelegea.

Kuna siku tuko nyomi la watu tumekaa kwenye kiwanja Cha mwananyamala kwa kopa kulikuwa na game ya kimashindano ya kimtaa sasa tumeuzunguka ule uwanja wote ila Kuna barabara Huwa inapita ndani ya uwanja,

Game ikiwa katikat wakawa wanapita wanyasa wakiume na wa kike kama 6 hivi Cha ajabu wakawa wamesimama ndani kabisa ya kiwanja wanapiga story yaan as if hawaelew ni nini kinaendelea mule kiwanjani ghafra bin vuu mpira ukawa unaelekea upande wao wamesimama tu wachezaji walipofika karibu katka kugombea mpira SI wakawavaa basi wote chini uwanja mzima unacheka.
 
Uzuli wa hawa watu kibarua kazi wasizo zitaka wabongo au kuzifanya kwa bei kuwa wao ukusanyika na kufanya kazi hizo kwa malipo nafuu wengi wao wamejazana kwenye makampuni ya ulinzi
Aibu haijawahi kushibisha tumbo
 
Yaani jamaa umeamua kuwaita watanzania wenzako wamalawi
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.
I
Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.

Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Iko hivi labda mleta maada hujawahi kutoka au kwenda kuishi inje ya Tanzania,kwangu mimi hicho ni kitu cha kawaida,hata Viongozi wanajua,yaani wananchi wa kawaida kwenda kutafuta maisha kwenye ichi nyingine,na hii inategemeana na nguvu ya uchumi wa ichi husika

Mfano kipindi nafika Malawi miaka ya 1998 nilikuta watanzania ni wengi sana,tena asilimia kubwa walikuwa wa kutoka Mbeya,mpaka wamalawi walikuwa wanajua labda lugha ya Taifa ya Tanzania ni kinyakyusa.

Miaka ilivyoenda hawa watanzania wakawa wana Mahotel yao na mtandao mkubwa Lilongwe katika mtaa mmoja wa Devil street,kiasi kwamba ulikuwa ukifika mgeni,unazani kwamba uko mbeye au Tanzania

Kwa Mozambique watanzania wamejaa, baadhi ya sehemu kama machimboni,kiasi kwamba lugha inayotumika ni kiswahili na hela wanayotumia ni shilingi ya Tanzania ndani ya Mozambique

Sema kilichotofautiana ni ukubwa wa uchumi wa Tanzania kwa hizi inchi,kiasi kwamba hutakuja kuwaona watanzania kwenye hizi ichi wakifanya kazi za ulinzi,bali asilimi kubwa wako kibiashara
 
Waacheni wamalawi ndugu zetu ....miaka nyuma sisi tulienda sana sana lilongwe mzuzu etc kufanya biashara sasa uchumi wetu mzuri waache nao wafanya kazi ....wasife njaa
....
 
Acha chuki kijana. Wamalawi hawana tatizo na mtu ni shida tu zinawakimbiza huko kwao. Wewe mwenyewe kwa uandishi wako wa hovyo utakuwa mrundi ila watu wamekukaushia. Waache wajitafutie maisha. Unadhani vyombo vya usalama vimelala? Ni kwamba hata wao wana utu na kujua Malawi mambo kwa sasa ni magumu mbo hasa baada ya mafuriko. MLETA UZI UNA VIASHIRIA VYA USHIRIKINA
 
Acha chuki kijana. Wamalawi hawana tatizo na mtu ni shida tu zinawakimbiza huko kwao. Wewe mwenyewe kwa uandishi wako wa hovyo utakuwa mrundi ila watu wamekukaushia. Waache wajitafutie maisha. Unadhani vyombo vya usalama vimelala? Ni kwamba hata wao wana utu na kujua Malawi mambo kwa sasa ni magumu mbo hasa baada ya mafuriko. MLETA UZI UNA VIASHIRIA VYA USHIRIKINA
Wewe kweli hamnazo sasa ndo umeandika Nini? Hebu ludia tena kusoma ulichokiandika uone ni jinsi gani ulivyo mjinga
 
Waacheni wamalawi ndugu zetu ....miaka nyuma sisi tulienda sana sana lilongwe mzuzu etc kufanya biashara sasa uchumi wetu mzuri waache nao wafanya kazi ....wasife njaa
....
Kweli kazi wafanye lkn uhalifu na matendo ambayo yapo kinyume na mira,desturi zetu hapana aisee
 
Halafu wepesi kujifunza kiswahili hao. Yaani wakishakaa miezi 6 tu wanaongea fluent Swahili. Sema wanakuwa na ka lafudhi Kama watu wa Mbozi. Sio rahisi kuwatofautisha.
 
Back
Top Bottom