DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Sio wamalawi tu wanaigeria pia wanakuja kwa wingi Tz wamulikwe
 
Iko hivi labda mleta maada hujawahi kutoka au kwenda kuishi inje ya Tanzania,kwangu mimi hicho ni kitu cha kawaida,hata Viongozi wanajua,yaani wananchi wa kawaida kwenda kutafuta maisha kwenye ichi nyingine,na hii inategemeana na nguvu ya uchumi wa ichi husika

Mfano kipindi nafika Malawi miaka ya 1998 nilikuta watanzania ni wengi sana,tena asilimia kubwa walikuwa wa kutoka Mbeya,mpaka wamalawi walikuwa wanajua labda lugha ya Taifa ya Tanzania ni kinyakyusa.

Miaka ilivyoenda hawa watanzania wakawa wana Mahotel yao na mtandao mkubwa Lilongwe katika mtaa mmoja wa Devil street,kiasi kwamba ulikuwa ukifika mgeni,unazani kwamba uko mbeye au Tanzania

Kwa Mozambique watanzania wamejaa, baadhi ya sehemu kama machimboni,kiasi kwamba lugha inayotumika ni kiswahili na hela wanayotumia ni shilingi ya Tanzania ndani ya Mozambique

Sema kilichotofautiana ni ukubwa wa uchumi wa Tanzania kwa hizi inchi,kiasi kwamba hutakuja kuwaona watanzania kwenye hizi ichi wakifanya kazi za ulinzi,bali asilimi kubwa wako kibiashara
Soma vzr Uzi! Shida kubwa inaanzia ktk tabia zao.
 
System inawajua vizuri ukiona wamewaacha ujue hawana madhara na hata hizo hela wanatafuta ni wanahangaikia tumbo huko kwao hawatarudisha hata sh moja. Waache wajenge nchi
Hizi nchi tulizopakana nazo tunafanana nazo tabia. Kama huna u-much know wanakukaushia. Ila wakiona una janja janja kama vile ugomvi, kutembea na wake za watu na kujiingiza kwenye mambo ya siasa utashangaa umedakwa fasta tu. Ukiwa mtulivu na kufanya tu shughuli zako hata ukiwa Malawi na wao wanakukaushia.
 
Hizi nchi tulizopakana nazo tunafanana nazo tabia. Kama huna u-much know wanakukaushia. Ila wakiona una janja janja kama vile ugomvi, kutembea na wake za watu na kujiingiza kwenye mambo ya siasa utashangaa umedakwa fasta tu. Ukiwa mtulivu na kufanya tu shughuli zako hata ukiwa Malawi na wao wanakukaushia.
Sasa mbona umeelewa nilichokua nazungumzia lkn ukajifanya hamnazo?? Wafanya mambo Yao kwa utulivu bila wizi na na kutomb...! Kwa makundi mchana kweupe huku vilio na makelele vikigeuka kero kwa wengine
 
Nd
Soma vzr Uzi! Shida kubwa inaanzia ktk tabia zao.
Ndiyo maana naseme wewe pamoja na mreta maada hamjawahi kutoka inje ya Tanzania,labda nikikwambia tukiwa ugenini unapokutan na vijana wanaoongea kiswahili iwe kwenye vyomba vya usafiri au wapi,usije ukachangia maada kwani wao ndiyo watakao kudhuru,iwe kukuibia au kukuchomea kwa polisi

Na usije ukajiloga umkaribishe au uwakaribishe nyumbani kwako,yaani wale vibaka waliokubuhi hapo Dar,tunawaita mabechi boy au watoto wa temeke ndiyo wamejaa huku,hao wamalawi cha mtoto,wenyewe wanakukaba jua linawaka
 
Kama umekiona wewe ukaja kutusimulia kwanini hutaki na sisi tusimulie yetu,
Mkuu tafuta pesa , tafuta pesa, tafuta maisha wacha kupiga chabo wamalawi wakizagamuana ohoo...!!
Watanzania wengi wajinga wajinga ukiwemo wewe. Huoni kbs athari za mambo wayafanyayo kwa jamii.
Pesa sitafuti tafuta ww
 
Nd

Ndiyo maana naseme wewe pamoja na mreta maada hamjawahi kutoka inje ya Tanzania,labda nikikwambia tukiwa ugenini unapokutan na vijana wanaoongea kiswahili iwe kwenye vyomba vya usafiri au wapi,usije ukachangia maada kwani wao ndiyo watakao kudhuru,iwe kukuibia au kukuchomea kwa polisi

Na usije ukajiloga umkaribishe au uwakaribishe nyumbani kwako,yaani wale vibaka waliokubuhi hapo Dar,tunawaita mabechi boy au watoto wa temeke ndiyo wamejaa huku,hao wamalawi cha mtoto,wenyewe wanakukaba jua linawaka
Sasa ww unamaanisha Nini kwamba matendo hayo kwako ni yakawaida? Tuachane nayo?
 
Soma uelewe. Mie hao uliowataja sijawi ishi nao karibu hivyo sielewi mambo Yao lkn nao kama wanafanya Yale Yale vyombo vya Dola vifanye kazi yake
Kwahiyo unalaumu wamalawi kwasababu wewe una shida nao?
 
Ludia = rudia. Wewe ni mrundi?
Najua unawatetea kwa sababu wewe ni mnafaika wao! Umewalundika unawatumikisha kwa ujira mdogo, walipeni ujira mzuri basi maana wananjaa Kali wanaokota Kila wakionacho mbele Yao. Au wanavyo iba wanakuletea wewe.
 
Sasa ww unamaanisha Nini kwamba matendo hayo kwako ni yakawaida? Tuachane nayo?
Mimi naamini kwanza wamalawi wanaozamia bongo choka mbaya, na hakuna mmalawi mjanja, kwa hiyo hizo tuhuma ni ndogo sana ukiilinganisha na wabongo wanayoyafanya kwa ichi za watu,mfano south afrika
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Umeshaenda serikali ya mtaa au kwa mjumbe kutoa taarifa?
 
Mimi naamini kwanza wamalawi wanaozamia bongo choka mbaya, na hakuna mmalawi mjanja, kwa hiyo hizo tuhuma ni ndogo sana ukiilinganisha na wabongo wanayoyafanya kwa ichi za watu,mfano south afrika
Hata hao wabongo wanaokwenda nchi za watu kufanya matendo ya kihalifu washughulikiwe. Sasa naanza kuwaelewa wa south kwa Nini wana watimuaga
 
Back
Top Bottom