DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha chuki kijana. Wamalawi hawana tatizo na mtu ni shida tu zinawakimbiza huko kwao. Wewe mwenyewe kwa uandishi wako wa hovyo utakuwa mrundi ila watu wamekukaushia. Waache wajitafutie maisha. Unadhani vyombo vya usalama vimelala? Ni kwamba hata wao wana utu na kujua Malawi mambo kwa sasa ni magumu mbo hasa baada ya mafuriko. MLETA UZI UNA VIASHIRIA VYA USHIRIKINA
Wamalawi wameanza kuja tokea miaka ya 50 huko
Hyu jamaa atakuwa mtoto wa mama hajui life ikoje

Ova
 
Halafu wepesi kujifunza kiswahili hao. Yaani wakishakaa miezi 6 tu wanaongea fluent Swahili. Sema wanakuwa na ka lafudhi Kama watu wa Mbozi. Sio rahisi kuwatofautisha.
Mbona wazungu nao sahv wanaongea kiswahili vzr tu

Ova
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.


Hivi ndugu yangu wewe umesoma hadi darasa la ngapi??
 
Kwa ufahamu wako unadhani serikali au vyombo vya usalama vinapaswa kuangalia mambo yapi? Hivi ww huoni hilo tishio la kiusalama na kimaadili hapo? Sijasema yote lengo ni kutaka kuona how the government iko active!
Serikali iko 'active' na rushwa!
 
Ushawahi kuvuka mipaka ya nchi

Yako kwenye utafutaji nk

Ova
Huna haja ya kujua hilo kwani halihusiani na mada! Mimi nazungumzia uvunjifu wa Sheria za nchi kwa wageni,uvunjifu wa maadili nk. Sasa wewe unanileta siasa Tena.

Kwani huko ng'ambo ukivunja Sheria za nchi kama kufanya uhalifu watakuacha kisa umeenda kutafuta maisha? Kwa hiyo wewe unataka nchi iwe kama choo Kila anaetaka kuingia na kutoka basi afanye atakavyo??
Serikali iko 'active' na rushwa!
Vipi yani sijakusoma
 
Unawaita majasusi watu wanaokuja hapa wanaishi kimaskini?
Nilikuwa Johannesburg mtu mmoja( Mkongoman) akaniambia , Watafute Watanzania wenzako" Nikamuuliza"Nitawaona wapi hao?" Akasema endelea tu kutembea utawaona. Na kweli nikawaona wanafanya kazi za kimachinga( by the way,did you know machinga maana yake 'marching guy'. Machinga maana yake 'marching guy'. Na hili jambo mtu ameniambia 1970.)
Kwa wewe unavyosema tuwafukuze Wamalawi,hiyo si sawa na vijana wa South Africa wanapokuwa xenophobic?
 
Unawaita majasusi watu wanaokuja hapa wanaishi kimaskini?
Nilikuwa Johannesburg mtu mmoja( Mkongoman) akaniambia , Watafute Watanzania wenzako" Nikamuuliza"Nitawaona wapi hao?" Akasema endelea tu kutembea utawaona. Na kweli nikawaona wanafanya kazi za kimachinga( by the way,did you know machinga maana yake 'marching guy'. Machinga maana yake 'marching guy'. Na hili jambo mtu ameniambia 1970.)
Kwa wewe unavyosema tuwafukuze Wamalawi,hiyo si sawa na vijana wa South Africa wanapokuwa xenophobic?
Kwa ulichokiandika sikulaumu hata kidogo, lkn nilichogundua hujui chochote kuhusu mambo ya kiusalama.

Wewe unavyodhani majasusi wanafananaje? Kwamba jasusi hawezi kuishi kimaskini? Jasusi hawezi kufanya vibarua? Jasusi hawezi kufanya umachinga?
Kikubwa ni kwamba jasusi akitaka kufanya yake basi njia ya kwanza ni kutumia uzaifu wako. Nakutahadhaliaha acha kbs kuwadharau hao jamaa wanaoingia chini na kujifanya cheap labours
 
Malawi kuna mtanzania mmoja anaitwa Bishop simama kawekeza
Sana huko
Bado kuna sehemu nyingi tu wako wabongo wa kawaida wana hustle huko....

Ova
Mbona wewe Kila nikikuelewesha huelewi? Umesoma Uzi vzr? Shida kubwa ni matukio Yao tu mkuu na Wala sio kuwachukia
 
Wamalawi wameanza kuja tokea miaka ya 50 huko
Hyu jamaa atakuwa mtoto wa mama hajui life ikoje

Ova
Akili kama hizi ndo zinafanya vijana hawaaminiki kabisa. Wakipewa uongozi watavuruga zaidi
 
mkuu upeo wako ni mdogo sorry kukuambia hivyo , usipende kujibu vitu vilivyo nje ya uwezo wa akili yako , unahisi kuna mtz wa kuua watu kule kitaya ?
Wacha weeeee!nilikuwa sijui Kama Nina upeo finyu.
 
Maisha haya nyie🙆🙆
Nishakwambia hakuna wa kumuonea wivu mmalawi kwa mshahara wa 50k ya ulinzi kwa mwezi, shida ni matendo yao. Kwanza tunawaona kama machizi tu, sasa ww ukalale nje mwezi mzima kwa Tsh 50k?

Pia naona mnahuruma sana basi kwa Nini msiwalipe vzr kama binadamu wengine wanapowafanyieni kazi zenu vzr?
 
Nishakwambia hakuna wa kumuonea wivu mmalawi kwa mshahara wa 50k ya ulinzi kwa mwezi, shida ni matendo yao. Kwanza tunawaona kama machizi tu, sasa ww ukalale nje mwezi mzima kwa Tsh 50k?

Pia naona mnahuruma sana basi kwa Nini msiwalipe vzr kama binadamu wengine wanapowafanyieni kazi zenu vzr?
Acha makasiriko,una roho ndogo,wewe ni mchoyo na mbinafsi.....hizo tabia mbaya ndio wewe wa kwanza kuwaongelea hao....kwa hiyo USITUFOKEEE
 
Back
Top Bottom