Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Ana roho kubwa tu hana lolote...akashtaki uhamiajiWamalawi wameanza kuja tokea miaka ya 50 huko
Hyu jamaa atakuwa mtoto wa mama hajui life ikoje
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana roho kubwa tu hana lolote...akashtaki uhamiajiWamalawi wameanza kuja tokea miaka ya 50 huko
Hyu jamaa atakuwa mtoto wa mama hajui life ikoje
Ova
Rushwa ndio iliyowafanya hao wako hapo, sio kingine.Huna haja ya kujua hilo kwani halihusiani na mada! Mimi nazungumzia uvunjifu wa Sheria za nchi kwa wageni,uvunjifu wa maadili nk. Sasa wewe unanileta siasa Tena.
Kwani huko ng'ambo ukivunja Sheria za nchi kama kufanya uhalifu watakuacha kisa umeenda kutafuta maisha? Kwa hiyo wewe unataka nchi iwe kama choo Kila anaetaka kuingia na kutoka basi afanye atakavyo??
Vipi yani sijakusoma
Mkuu wabongo wengi vichwani hamna kitu. sasa kwa hiyo Mikasa niliyoandika hapo Kuna mtu anaona sio tatizo kwake. Vyombo vya Dola viamkeee!! Shauri Yao.Hongera mleta mada umetimiza wajibu Kwa nchi yako, pia hata kuanzia tangibovu mbezi, Kuna wamama wauza vitu njia ni nao ni wahamiaji haramu hata kama wanatafta riziki je wamefata taratibu.
Eeeh!! Mkuu ww unaishi wapi? Jamaa wamezagaa dar yote, sijajua mikoani Hali ikoje.🙄 Duh
Kumbe kweli
Mmmh unavyojifanya mwanahabari,mbona dar ninayoishi Mimi hawapo?acha uzushi we jamaaEeeh!! Mkuu ww unaishi wapi? Jamaa wamezagaa dar yote, sijajua mikoani Hali ikoje.
Aaaah! Kwa wanyarwanda ndo umeshituka lkn kwa wamalawi walaaa?Embu tuelezee hapa vizuri mkuu Cocastic
Kwa akili Yako unadhani kuvuka border ndo kuyajua maisha? Watu tuko nchini kwetu na tunaishi vzr tu, ya Nini nikanyanyasike kwenye manchi ya watu huko ilihali Kila kitu kipo nyumbani??Wamalawi wameanza kuja tokea miaka ya 50 huko
Hyu jamaa atakuwa mtoto wa mama hajui life ikoje
Ova
Nimeishia chekechea mkuu vipi unataka uniendeleze???Hivi ndugu yangu wewe umesoma hadi darasa la ngapi??
Dah, we Dada...🏃🏃🏃Mayai nimekaangia Chipsi....suggest kingine nini kifanyike
Hao washazoea mada za kulana mbususu hakuna kingine wanachokijuamkuu upeo wako ni mdogo sorry kukuambia hivyo , usipende kujibu vitu vilivyo nje ya uwezo wa akili yako , unahisi kuna mtz wa kuua watu kule kitaya ?
"Serikari", ndiyo nini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Rudi kasome bandiko vzrUshajiuliza wanyakyusa waliopo malawi wameingiaje?
Kifupi mbeya tukuyu bidhaa nyingi tunapata malawi kwanza bei chee
🙆🙆🙆🙆Dah, we Dada...🏃🏃🏃
Unavyojifanya una akili Sasa,na maisha mazuri usingekuwa unaishi huko ambako watoto Wana access ya kuchungulia kwenye madirisha ya watu...mkuu acha roho hizo bwanaHao washazoea mada za kulana mbususu hakuna kingine wanachokijua
Nimeishia chekechea mkuu vipi unataka uniendeleze???
Sio mpk mtu akabe uchochoron , hata hawa wenye majina ya utamu unakuta ndo hao hao wageniSawa sawa! Lkn utofauti wa wamalawi na wageni wengine ni usitaarabu na utulivu! Mbona Kuna wageni wengi tu tunaishi nao huku lkn hawana noma kbs, wanajua kuishi na jamii vzr hata kama hawajichanganyi lkn matendo ya wizi na uharifu mwingine huwezi kuwasikia
Kaz yoyote haiwi halali mpk watambulike na taasisi husikaKama wanafanya kazi za halali kama hivyo angalau, lkn mambo ya kutuibia na kutufanya tuwe na wasiwasi na usalama wa biashara zetu sisi tutakula nao sahani Moja kama serikali wanawachekea
Faizafoxy kitambo sana mkuu"Serikari", ndiyo nini?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?