Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudini kwenu LilongweBinadamu wote ni sawa na Africa ni 1 tulifundishwa hivyo
Sio kweli mkuu mambo mengi sana yameanzia hapa jf na mamlaka zikayafanyia kaziKwa humu jf kwa suala hilo ni sawa na kutwanga maji.
Wajinga hao mkuu hawajui loloteRudini kwenu Lilongwe
Unazungumzia Serikali ipi ?
Hii ya CCM ambayo Kwa kiama zaidi ya 20 imeshindwa kutengeneza vitambulisho vaya uraia na pasport Kwa watu wake.
Waachwe tu waje ila wasiruhusiwe Kununua ardhi na kuwa Mawaziri Kama au kushika Chama. Afrika ni moja mipaka iliwekwa
Sina haja ya kubishana na ww chenga chenga lkn kikubwa ujumbe ushafika na bila shaka utafanyiwa kazi.Acha makasiriko,una roho ndogo,wewe ni mchoyo na mbinafsi.....hizo tabia mbaya ndio wewe wa kwanza kuwaongelea hao....kwa hiyo USITUFOKEEE
Nchi hii wenye akili ya kutazama mbali wamebakia wachache na wewe ukiwemo!Hao wanaingia Tanzania na zile hakuna kulala. Wanakuwa na kiongozi wa msafara na anakuwa anaongea vizuri tu kiswahili. Tena mara nyingi hawa viongozi wa msafara unakuta ni mtu ambaye ana wazazi huku yaani baba au mama ni raia wa tz.
Nilishuhudia mara mbili aiseee askari wa uhamiaji walikagua gari wakawatoa walikuwa kama 10 hivi huwezi wajua utadhani ni wabongo. Jamaa hata kiswahili hawajui.
Wakashuka dakika chache nadhani walitoa mpunga na kuprovide karatasi za vibali vya kuingia Tanzania then safari ikaendelea.
Wengi wanakuja na vibali vikikaribia kuisha wanaenda kurenew.
Nadhani swala inabidi tuwe makini sana na vibali vya kazi kwa wageni, tuwe makini na namna tunaruhusu watu kuja hapa nchini maana tuna raia wenzetu utimamu wao wa akili unatia mashaka wanajichanganya na hawa jamaa wanaanza nao mahusiano na kupata nao watoto. Hii inaleta shida baadae.
Nashangaa! Mambo mangapi yalianzia hapa jf then mamlaka zikayafuatilia na kuyafanyia kazi?kwani mtu kutoa dokezo Lake hapa jf ni kosa. Msiforce watu mfanane kimtazamo jmn. Hpa Pia ni mahali sahihi kabsa. Mambo mangapi yanaanzia jf halafu baadaye yanaclick na kufatiliwa na mamlaka husika?
Ww kama sio mmalawi basi ni mnufaika wa hao wamalawi, unawatumikisha nyumbani kwako kwa ujira mdogoooo ndio maana unawatetea hata kama wanavunja Sheria za nchi. Walipega vrz basi waache njaa ya kuja kutukombea vitu majumbani.No way....hakuna shida yeyote kuzaa na mmalawi au mkongo
Nimeishi sehemu nyingi kwa Africa Lakini sijawahi kuona sehemu wana penda kufatilia Mambo yasiyowahusu Kama watu wa Tanzania ..!!Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)
Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.
1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.
2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.
3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)
4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)
Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke[emoji16] Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!
Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.
Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.
Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Ndio maana nikamwambia wewe uelewa wako ni mdogo sana na kama una Mme basi unampa tabu sana. Iko hivi:-Mkuu,Ina maana wewe huwezi kuoa raia wa taifa lingine?Kumbuka mipaka yetu ni matokeo ya Berlin conference 1884-85,wazungu waligombania,nchi ya babu zetu hatimae wakaamua kuigawanya Africa na mipaka yao,walikuja Kwa Hilo watajua umoja wetu na nguvu yetu,,,,Hatuna Sababu yeyote na msingi ya kuwachukia waafrica wenzetu ,tuna vinasaba vinavyofanana,sisi ni wamoja....wewewe mwenyewe umeshudia ulishindwa kutofautisha pale walipokamatwa Kama ni wamalawi au ni Watanzania
Jamani,haya mambo ya chokochoko ndogondogo yanapandikiza chuki kwenye mioyo,matokeo yake ni Kama tunayoshuhudia Xenophobia hapo SA,tumeshuhudi mauaji ya kimbari Rwanda na bado South n north Sudan,wanabaguana wanauana Kwa vimambo Kama hivi....As African descendants,we have to fight for Unity rather than bullying our fellow sisters and brothers,
By the way....Kama mmalawi hatakiwi Tanzania ni kichekesho kumkumbatia mhindi mwarabu
We unadhani yanayowahusu Watanzania ni yapi? Nijibu tafadhali🙏Nimeishi sehemu nyingi kwa Africa Lakini sijawahi kuona sehemu wana penda kufatilia Mambo yasiyowahusu Kama watu wa Tanzania ..!!
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
SureMoja kati ya idara dhaifu za serikali ni hii yabuhamiaji inayoonzwa na Huyu dada
😂😂 Wafuate taratibu mkuu then mambo ya uhalifu waachane nayoWanakuja na Achimwene hao kutoka Mbeya..Bongo kama New york mkuu..sisi tunaona bongo miyeyusho lakini kuna nchi vijana wakikaa maskani wanaota kuja Bongo..hasa hapo mjini Daslam...🤣
Mkuu watu wamelala hawana habari! Soon wataanza kumiliki ma- ardhi makubwa makubwa huko morogoro, Mbeya,shinyanga, mwanza nk. Kwanza chek maeneo wanayochagua kuishi yote ni potential area's. Wanatafuta nguvu ya kujipenyeza serikalini then imeisha hiyo!!!Inawezekana wamalawi wanahamia kwa wingi.Lakini nadhani warundi ndiyo wamezidi.
Siku hizi tangu operation kimbunga iliyowarudisha Burundi, warundi wamekuwa wajanja sana.Wanaingia kimya kimya kabisa halafu hawakai mpakani Kigoma au Kagera au Katavi na wala hawafanyi ujambazi tena.Wanaogopa kurudishwa tena kwao.
Huwa wakiingia wanaenda mikoa ya katikati halafu wanaishi kimyakimya na kukaribisha ndugu zao mmoja mmoja.Kwa hiyo wamejaa Morogoro,Mbeya,Shinyanga,Mwanza nk.