DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Unawaonea wivu hao wanaolala kitanda kimoja na wake zao au.....mimi mbona ninao Wamalawi 17 shambani kwangu, huu mwaka wa 4 sasa sijapata lalamiko lolote toka kwa wakazi wa pale shambani na hawa jamaa ni wachapakazi sana.
 
Ndio maana nikamwambia wewe uelewa wako ni mdogo sana na kama una Mme basi unampa tabu sana. Iko hivi:-
1. Hakuna mtu mwenye chuki na wamalawi kwa sababu hata shughuli wanazozifanya wabongo wenyewe hakuna anaezitaka( ulinzi mshahara 50k kwa mwezi.)
2.kwa udogo wako wa akili unasema African ni Moja, inaweza ikawa hivyo lkn isiwe hivyo, mipaka ni muhimu juzi kati hapa tulikua na mgogoro mkubwa sana na wamalawi na sizani kama mgogoro huo umekwisha, wanalitaka ziwa Nyasa kwa udi na uvumba( fatiliaga mambo ujue Dunia inavyoenda sio umekalia udaku tu) mpaka sasa tunavyoongea hatuwezi kujua wana mipango gani kuhusu hilo ziwa lkn sisi tunawaluhusu wanaoingia kiholera na mijitu kama nyie mnatetea hiyo kitu, wafuate utaratibu kama wanataka kuishi nchini.

Wakifuata utaratibu vyomba vinavhohusika inamaana vitakua na nafasi nzuri za kujua wanaingia nchini kufanya Nini na inakua rahisi kuwafutilia kama Kuna shida yoyote.

3. Unasema mipaka imewekwa na wazungu hivyo haina mana yoyote😅 'we si chizi kbs wa milembe'
Basi tutoe majeshi yote mipakani, vunja uhamiaji, toa Beria zote mipakani, watu waingie na kutoka wanavyotaka si ndio!!!? Africa si Moja? Wamalawi si weusi kama sisi? Warwanda si weusi kama sisi? Wasomalia si weusi kama sisi? Nk.nk sasa ya Nini tuwabanie? (Kwa akili zako lkn)

-kwa taarifa Yako hakuna watu wabaya kama majirani, acha kbs kuwachukia poa hata kama unaona hawana uwezo wa kukufanya chochote, watu wanaandaa mipango ya miaka 20 ijayo, wanawaza nitampita lini huyu kimaendeleo baada ya miaka 20 ijayo? Sasa wewe unatazama miguuni kwako tu...!🚮
-kama kwako una fansi ndeefu na geti kuuubwaaa (kama unalo lkn) umeliweka la kazi gani?🔓

4.Nenda congo hapo wanao watoa machozi ni kina nani? Si majirani zao? Unajua ilianzaje? Nakupa jibu- kuchukulia poa watu wanaoingia kiholera( watusi/banyamrenge).

KAMA MPAKA HAPO UTAKUA HUJAELEWA BASI WW HUTAELEWA TENA.
Unajua Kwa Nini tangu mwanzo nilikuwa nakujibu comment za kijingajinga?ndio size yako..

Huyo niliyemtag najua kiwango chake Cha akili ndio maana nikamwandikia nilichomwandikia hiyo comment uliyojibu sio size yako kaka
Umeandika Mambo mengi pumba tupu,,,
Nakusisitizia,Africa ni moja na binadamu wote ni sawa stop xhenophobia
 
Unawaonea wivu hao wanaolala kitanda kimoja na wake zao au.....mimi mbona ninao Wamalawi 17 shambani kwangu, huu mwaka wa 4 sasa sijapata lalamiko lolote toka kwa wakazi wa pale shambani na hawa jamaa ni wachapakazi sana.
Nimeshangaa sana huyu jamaa,ni MZUSHI na ANA CHUKI zisizo na maana
 
Ww kama sio mmalawi basi ni mnufaika wa hao wamalawi, unawatumikisha nyumbani kwako kwa ujira mdogoooo ndio maana unawatetea hata kama wanavunja Sheria za nchi. Walipega vrz basi waache njaa ya kuja kutukombea vitu majumbani.
Kwanza hata nje ya geti hawatokagi walivyo waadilifu,aje huko uswazi kukuomba Nini ?hizo dagaa ulizonazo na nyanya chungu tu hazikutoshi utakuwa na za kumpa mwenzio?Acha kukuza mambo
 
Mpo busy na Waafrika wenzenu huku Wahindi na Wachina mkiona sio wahamiaji haramu mkitumia kanuni za Carl Peters...
Kaka uwe na siku njema sana!Carl Peters katuweza Sana waafrica....Nchi imekaa waarabu,wahindi,wachina eti Leo black mwenzetu anafukuzwa?eti wanalitaka ziwa Nyasa ??
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
tabia fulani ya wivu wa kipumbavu

those are human beings wanatafuta maisha na ugali wa kila siku kama wewe na wengine

waache watafute kipato halali wasaidie kujenga uchumi wa TZ

waache
 
Kwanza hata nje ya geti hawatokagi walivyo waadilifu,aje huko uswazi kukuomba Nini ?hizo dagaa ulizonazo na nyanya chungu tu hazikutoshi utakuwa na za kumpa mwenzio?Acha kukuza ma

Unajua Kwa Nini tangu mwanzo nilikuwa nakujibu comment za kijingajinga?ndio size yako..

Huyo niliyemtag najua kiwango chake Cha akili ndio maana nikamwandikia nilichomwandikia hiyo comment uliyojibu sio size yako kaka
Umeandika Mambo mengi pumba tupu,,,
Nakusisitizia,Africa ni moja na binadamu wote ni sawa stop xhenoph

Unawaonea wivu hao wanaolala kitanda kimoja na wake zao au.....mimi mbona ninao Wamalawi 17 shambani kwangu, huu mwaka wa 4 sasa sijapata lalamiko lolote toka kwa wakazi wa pale shambani na hawa jamaa ni wachapakazi sana.
Wala wale!
 
Ujasili huo utoke wapi, ujanja nyuma ya keyboard, ukimwelekeza watasoma tu hapa.
Yap! Jf jukwaa kubwa sana, ya Nini nikapoteze muda wangu kuzunguka kwenye maofisi huko wakati wahusiku humu wapo?
 
Uraia pacha ukiruhusiwa tujiandae kisaikolojia kuwa na Raia wenzetu tusiofanana tabia
 
Unajua Kwa Nini tangu mwanzo nilikuwa nakujibu comment za kijingajinga?ndio size yako..

Huyo niliyemtag najua kiwango chake Cha akili ndio maana nikamwandikia nilichomwandikia hiyo comment uliyojibu sio size yako kaka
Umeandika Mambo mengi pumba tupu,,,
Nakusisitizia,Africa ni moja na binadamu wote ni sawa stop xhenophobia
Nakwambia wewe ni mjinga yani kama hujaelewa na kusikia husikii Tena mpaka ulizibuliwe sikio lako la chini
 
Nakwambia wewe ni mjinga yani kama hujaelewa na kusikia husikii Tena mpaka ulizibuliwe sikio lako la chini
Kiwango chako Cha kupanic kwenye kudiscuss issue kinaweza saidia kupima IQ yako....Sign za mtu mwenye IQ mdogo ni kupanic na kutumia Lugha za matusi kwenye uwasilishaji wa hoja zake.
 
Serikali ya vijiji, kata, na mitaa ndo wakutupiwa lawama. Haiwezekani mtendaji wa kata, mitaa na vijiji wanashindwa kuzibainisha na kuzitambua idadi ya kaya na wanakaya wake. Kabla ya kuingia kwnye kitambulisho cha utaifa ingepaswa kitambulisho cha mkazi kitangulie na kipewe mkazo wa umuhimu, km wenzetu wanzanzibar wanavyofanya.

Serikali ya vijiji ikishirikiana na idara ya uhamiaji watakomesha hilo tatzo. Kule ngorongoro ziliwai kuvamia koo za wamasai toka Kenya na wasomali, shughuri za uwindaji haramu zilifanyika kwa viwango vya juu. Hawa wahamiaji tunaowapuuzia sasahv watakapokuja kufanya yale yasiyokubalika na sheria za nchi hii ndo tutajua tulikuwa tunafuga tatizo.

Watanzania pia tumekuwa si wazarendo, sio wenyedhamana ya uongoz ata wasiokuwa na dhamana ya uongoz. Wahamiaji haramu tunaishinao mitaa. Tunashindwa nn kutoa taarifa kwanye vyombo husika!
 
tabia fulani ya wivu wa kipumbavu

those are human beings wanatafuta maisha na ugali wa kila siku kama wewe na wengine

waache watafute kipato halali wasaidie kujenga uchumi wa TZ

waache
Kashupaza shingo huyo haelewi,,,Hawa ni aina ya watu waio na exposure
 
Kashupaza shingo huyo haelewi,,,Hawa ni aina ya watu waio na exposure
Uoga wa kipumbavu anao....

Yaani utashangaa kuna siku wanaweza jipanga wakachukua mapanga kabisa wakawachinja wanadamu wenzao sababu tu jiografia walizochora wakoloni

Yaani....

Kama wewe unafanya kibarua chako unapata chochote kwa ajili yako na familia yako,yanini umsababishie maumivu mwanadamu mwingine anaetafuta na yeye ugali wake aweze kuishi?

I really dont get all these shenanigans!

Ni mioyo mibovu na kutokua na kazi za kufanya wamebakia majungu yasiyo na maana!
 
Back
Top Bottom