DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka kudhibiti wimbi la wahamiaji haramu hasa Wamalawi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kiwango chako Cha kupanic kwenye kudiscuss issue kinaweza saidia kupima IQ yako....Sign za mtu mwenye IQ mdogo ni kupanic na kutumia Lugha za matusi kwenye uwasilishaji wa hoja zake.
Kitendo Cha wewe kutoelewa athari za uhamiaji haramu hata baada ya kuelekezwa lkn umekomaza fuvu basi hustahili Tena kuelimishwa. Dawa ni kuzibuliwa tu hilo sikio lako. Wanawake watata na wabishi kwa sisi wataalamu tushajua kinachokusumbua
 
Uoga wa kipumbavu anao....

Yaani utashangaa kuna siku wanaweza jipanga wakachukua mapanga kabisa wakawachinja wanadamu wenzao sababu tu jiografia walizochora wakoloni

Yaani....

Kama wewe unafanya kibarua chako unapata chochote kwa ajili yako na familia yako,yanini umsababishie maumivu mwanadamu mwingine anaetafuta na yeye ugali wake aweze kuishi?

I really dont get all these shenanigans!

Ni mioyo mibovu na kutokua na kazi za kufanya wamebakia majungu yasiyo na maana!
Wale wale wasiojua lolote!
-Basi hata majambazi wanatafuta ugali
-mafisadi nao wanatafuta ugali
-magaidi nao wanatafuta ugali
-vibaka na wezi nao wanatafuta ugali
Unaweza kukuta mtanzania ni msomi wa PhD lkn ni mjinga hamna mfano, yani wewe ugali utafutwe kwa njia yoyote hata kwa kuvunja Sheria za nchi? Uko serious kweli mkuu? Huoni shida kbs kwenye hilo?
 
Serikali ya vijiji, kata, na mitaa ndo wakutupiwa lawama. Haiwezekani mtendaji wa kata, mitaa na vijiji wanashindwa kuzibainisha na kuzitambua idadi ya kaya na wanakaya wake. Kabla ya kuingia kwnye kitambulisho cha utaifa ingepaswa kitambulisho cha mkazi kitangulie na kipewe mkazo wa umuhimu, km wenzetu wanzanzibar wanavyofanya.

Serikali ya vijiji ikishirikiana na idara ya uhamiaji watakomesha hilo tatzo. Kule ngorongoro ziliwai kuvamia koo za wamasai toka Kenya na wasomali, shughuri za uwindaji haramu zilifanyika kwa viwango vya juu. Hawa wahamiaji tunaowapuuzia sasahv watakapokuja kufanya yale yasiyokubalika na sheria za nchi hii ndo tutajua tulikuwa tunafuga tatizo.

Watanzania pia tumekuwa si wazarendo, sio wenyedhamana ya uongoz ata wasiokuwa na dhamana ya uongoz. Wahamiaji haramu tunaishinao mitaa. Tunashindwa nn kutoa taarifa kwanye vyombo husika!
Ndio maana tunaona sehemu sahihi za kufikisha ujumbe kwa wakubwa ni huku jf, hao wenyeviti, sijui kina nani nani ndio wanufaika wakubwa wa hao wahamiaji haramu. Haya unawapelekea taarifa kama hizi unategemea Nini?

Umesoma comment za wajuba wanao nufaika na wahamiaji haramu? umeziona hasira zao? Kuna mjuba mmoja anasema yeye anao kama 17 anawatumikisha mashambani huko sasa unaweza kukuta Hawa watanzania wenzetu ndio viongozi wenyewe ujue.
 
Wale wale wasiojua lolote!
-Basi hata majambazi wanatafuta ugali
-mafisadi nao wanatafuta ugali
-magaidi nao wanatafuta ugali
-vibaka na wezi nao wanatafuta ugali
Unaweza kukuta mtanzania ni msomi wa PhD lkn ni mjinga hamna mfano, yani wewe ugali utafutwe kwa njia yoyote hata kwa kuvunja Sheria za nchi? Uko serious kweli mkuu? Huoni shida kbs kwenye hilo?
Huyo muhamiaji kafanya ujambazi gani?

Kafanya crime gani?

Kama kafanya crime ashitakiwe...lakini sio yeye kubadili jiografia kwenda pengine kutafuta riziki halali halafu wewe roho inakuuma

Kafie huko!

Tuseme kavunja sheria za nchi kwa kuvuka kipande cha ardhi,ni kazi yako kushika waliovunja sheria?Ni kazi ya serikali...wewe unaenda kuisaidia serikali kazi zake kivipi?

Is government paying you salary to do their work au ni wivu umekujaa?

Iache serikali ifanye kazi zake na isisaidiwe kwa lolote,ijisaidie yenyewe

Na kuvuka kipande cha ardhi kutoka sehem moja kwend ingine sio KOSA....ni haki ya mwanadamu kutafuta riziki tangu enzi na enzi za mababu...wewe babu yako alitoka Kenya kaja Tanzania miaka 400 iliyopita leo unajitia una haki sana

Wivu tu mwehu wewe!
 
Ooh mm naona hao wamalawi serikali iwaache sabb wanatupatia cheap labor yaan mm ninao wawili wanafanya kazi zangu kama matrekta na nawalipa pesa kiduchu ila wao wanaona ni nyingi sana..

Nashauri migration ikomae na WAchina na wahindi sabb hawa Wana kiburi hawamtaki kutawalika wakat wapo kwetu.. serikalin fukuzeni wachina na wahindi wamekuja kwetu afu wanatupelekesha ila hao wamalawi wachen tena ikiwezekana wapeni motisha wazidi kuletea ndugu zako tuzid kupata cheap labor.
 
Ooh mm naona hao wamalawi serikali iwaache sabb wanatupatia cheap labor yaan mm ninao wawili wanafanya kazi zangu kama matrekta na nawalipa pesa kiduchu ila wao wanaona ni nyingi sana..

Nashauri migration ikomae na WAchina na wahindi sabb hawa Wana kiburi hawamtaki kutawalika wakat wapo kwetu.. serikalin fukuzeni wachina na wahindi wamekuja kwetu afu wanatupelekesha ila hao wamalawi wachen tena ikiwezekana wapeni motisha wazidi kuletea ndugu zako tuzid kupata cheap labor.

Ooh mm naona hao wamalawi serikali iwaache sabb wanatupatia cheap labor yaan mm ninao wawili wanafanya kazi zangu kama matrekta na nawalipa pesa kiduchu ila wao wanaona ni nyingi sana..

Nashauri migration ikomae na WAchina na wahindi sabb hawa Wana kiburi hawamtaki kutawalika wakat wapo kwetu.. serikalin fukuzeni wachina na wahindi wamekuja kwetu afu wanatupelekesha ila hao wamalawi wachen tena ikiwezekana wapeni motisha wazidi kuletea ndugu zako tuzid kupata cheap labor.
😀 Acha kupenda kitonga mkuu
 
Wakianza kuwazingua wamalawi huko Tanzania basi na sisi watanzania tulioko Malawi tutaona cha mtema kuni. Kama hujui ni kwamba watanzania wamenawa mzuzu, Lilongwe na Blantyre wakifanya biashara rasmi na zisizo rasmi.

Watu wanamilikia maduka,wanalima ,umachinga bila vibali (business permit). Kutokana na mwingiliano tulionao kila upande unaweza kuathiri maslahi ya mwenzake vizuri tu. Tivumiliane tukitafuta pesa kwa maana sisi ni majirani wema.

From mzuzu with love😌.
 
Mpaka hapo nimegundua wewe ni mjinga na kama ulienda shule basi shule haijakusaidia kwa chochote
Mjinga ni wewe ulieenda shule ukakuta serikali imeweka mitaala ya propaganda ya wewe kutumia nguvu na akili zako na mali zako kuisaidia kazi zake

Ni upumbavu ulioje wewe kuacha kilichokuleta hapa duniani na kujigeuza mfanyakazi wa serikali wakati hujaajiriwa wala hutambuliki nao?

Jinga ni wewe unaacha kazi zako unaenda fanya kazi za serikali bila kuombwa au kulipwa

Kumbuka unatoa kodi mamilioni ya pesa kuipa serikali hiyo hiyo ifanye hizo kazi unazojifanya kwenda tena kuisaidia

Kingine hujui serikali sio wewe,serikali sio wanadamu wenzio,serikali ni kampuni inayoongozwa na wanasiasa wajinga kama ulivyo wewe

Kila mtu ajitegemee

Serikali inasema kila mtu ajitegemee ila yenyewe haijitegemei...halafu anaotekea mpumbavu kama wewe unaiweka serikali mbele zaidi ya wanadamu wenzio wasio na hatia yeyote

Mbwa wewe!
 
Mjinga ni wewe ulieenda shule ukakuta serikali imeweka mitaala ya propaganda ya wewe kutumia nguvu na akili zako na mali zako kuisaidia kazi zake

Ni upumbavu ulioje wewe kuacha kilichokuleta hapa duniani na kujigeuza mfanyakazi wa serikali wakati hujaajiriwa wala hutambuliki nao?

Jinga ni wewe unaacha kazi zako unaenda fanya kazi za serikali bila kuombwa au kulipwa

Kumbuka unatoa kodi mamilioni ya pesa kuipa serikali hiyo hiyo ifanye hizo kazi unazojifanya kwenda tena kuisaidia

Kingine hujui serikali sio wewe,serikali sio wanadamu wenzio,serikali ni kampuni inayoongozwa na wanasiasa wajinga kama ulivyo wewe

Kila mtu ajitegemee

Serikali inasema kila mtu ajitegemee ila yenyewe haijitegemei...halafu anaotekea mpumbavu kama wewe unaiweka serikali mbele zaidi ya wanadamu wenzio wasio na hatia yeyote

Mbwa wewe!
Eeeh Bora umwashe usingizini....
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
Mkuu tulitoka mzee wa fursa awamu ya pili sasa tuko awamu ya sita Tunafungua nchi.

Bado hujaelewa nilichokiandika tu?
 
Wakianza kuwazingua wamalawi huko Tanzania basi na sisi watanzania tulioko Malawi tutaona cha mtema kuni. Kama hujui ni kwamba watanzania wamenawa mzuzu, Lilongwe na Blantyre wakifanya biashara rasmi na zisizo rasmi.

Watu wanamilikia maduka,wanalima ,umachinga bila vibali (business permit). Kutokana na mwingiliano tulionao kila upande unaweza kuathiri maslahi ya mwenzake vizuri tu. Tivumiliane tukitafuta pesa kwa maana sisi ni majirani wema.

From mzuzu with love😌.
Chapeni kazi,Hawa watu ambao hawajawahi kutoka hata nje ya mkoa anaoishi Wana vichwa vigumu sana
 
Hata hapa JF kuna wahamiaji haramu pia. Nadhani mmeona michango yao!

Hoja kuu ni kuwa wapo kinyume cha sheria au la!?

Sasa cha ajabu watu wanaunga mkono uvunjaji wa sheria.


Haikatazi kuwa mhamiaji, inakatazwa uhamiaji haramu.

Mbona wasomali na waithiopia wanakamatwa sana tu na watu wanaona ok, au kwa vile wao sio "waafrika" kiviile!?
 
Sijajua vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wa nchi vimejisahau au vimelala . Wakuu kumekua na wimbi kubwa sana la wahamiaji haramu hasa wamalawi, aisee jamaa wametapakaa mitaani sana
Nadhani kwa wadau ambao ni wakazi wa pembezoni mwa miji hasa goba watakubaliana na Mimi(sijajua katikati ya Jiji Hali ikoje)

Lkn kwa wimbi hili ninaloliona mtaani kwangu serikari inabidi ichukue HATUA za haraka kuhakikisha wanapitisha msako kuwaondoa wote ambao wameingia nchini kinyume Cha Sheria. Tukianza kuruhusu watu waingie kiholera nchini tunakaribisha hatari za kiusalama, kiuchumi na kimaadili. Sasa hapo kwenye maadili nitafafanua vzr ili wadau na wahusika wajue tabia za Hawa wamalawi.

1. Kwao ni jambo la kawaida sana kukaa chumba kimoja Tena kidogo wanaume kuanzia 5 kwendelea kitu ambacho kinaleta ukakasi ktk jamii.

2. Huwezi kukuta wamechangamana na jamii ya wenyeji hata siku, hakuna salamu Wala hai na wanatembea kwa makundi makundi.

3. Hawa jamaa ni wezi sana usiku wote wanalanda landa mitaani kwa vikundi vikundi, chochote watakachokuta kimesahaulika nje au hakijahifadhiwa vzr basi hicho halali Yao. Tabia hizi zimewafanya watu kua na wasiwasi sana na usalama wa Mali zao(japo Kuna mitego washaanza kuwekewe)

4. Sasa hili ndo Mimi limenishitua zaidi na kuwaona kumbe jamaa hawafai kbs, ilipo ofsi yangu kando kidogo Kuna kundi kubwa la wamalawi wamepanga chumba kimoja Cha Giza, wanaoishi pale wako kama sita ( waume watatu na wake watatu) japo Kuna mda idadi inaongezeka zaidi ya hiyo niliyoitaja. Sasa hapo Kila kidume kina demu wake na kitanda wanachotumia ni kimoja tu( hilo nilijua baada ya kupeleleza)

Hivyo wanalala wote hapo kitandani Kila mmoja na demu wake/mke😁 Cha ajabu sasa Hawa jamaa kwa kua shughuli zao kubwa ni ulinzi hivyo mchana ndo muda wa wao kuwashughulikia wake zao! Huwezi amini mchana kweupe chumba hugeuka kama wodi ya watoto kwani Kila mmoja anakua bize na mbususu ya mkewe tena kitanda kimoja!

Si wapita njia, si watoto wa kwenye hiyo nyumba waliopanga sio sisi majirani wote tunasikiliza mayowe yanayotokea kkt kichumba hicho! Imefika hatua jamaa wakianza mambo Yao basi vijana wa mtaani hujisogeza karibu kusikiliza na kushuhudia mtanange unaokua ukiendekeza, kiukweli hatari ninayoina ni vijana au jamii yetu kuanza kuiga vitendo hivyo vya ajabu.

Yapo mengi sana wanayoyafanya Hawa wenzetu ambayo yapo kinyume kbs na Mira,tamani na maadili ya Kitanzania, sasa Mimi simalizi yote, vyombo vya ulinzi na usalama mjitafakari na anzenu kuchunguza mienendo ya Hawa watu wanaoingia nchini kama Bomba lililofunguliwa maji.

Kukishakua na ulahisi wa watu kuingia nchini wanavyotaka na kutoka watakavyo basi ni rahisi sana kupenyezewa majasusi na watu wengine wa namna hiyo kitu ambacho kitakua ni hatari sana ktk usalama wa nchi. Leo tunalalamika mambo ya ushoga kuongezeka, sijui usagaji kumbe Kuna watu washaona Kuna kiupenyo Cha kuja kumomonyoa maadili ya jamii yetu na Kisha kuondoka watakavyo. Nasema Tena serikali kuweni makini na wahamiaji haramu hasa wamalawi! Haya wapuuzeni sisi yetu macho na masikio.
WAMALAWI NI NDUGU ZETU WA DAMU, HAWANA TATIZO, KELELE WAZIFANYAZO MCHANA ZINAWEZA KUWA NA DB NGAPI ILI NEMC WAJE HAPO?, MWL JKN ALIWAAMINI SANA WAMALAWI NA WENGI WALIKUWA WATUMISHI SAFI NDANI YA IKULU 1970s,
N.b,wazingatie sheria tu inatosha.
 
Back
Top Bottom