Kipondo Cha ugoko
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 878
- 1,511
- Thread starter
- #261
Chizi unampaje ushahidi? Wewe uliniambia hakiwi kitu!Hakuna kitu. Weka ushahidi hapa.
Sasa kishakua kitu kawaulize wamalawi wenzako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chizi unampaje ushahidi? Wewe uliniambia hakiwi kitu!Hakuna kitu. Weka ushahidi hapa.
Tutabanana humu humu hakuna Cha kwenda wapi Wala wapi, tushawajua wanufaika wa wahamiaji haramu!.
Unataka nikatoe taarifa huko ili mnifanye Nini? Hujui hicho ni kimradi Cha watu?
Mimi sio mjinga mkuu kawadanganye watoto. Unadhani ni rahisi kihivyo kupokonya tonge la mtu mdomoni?Hizo ni imani potofu na uwoga wa bure tu.
Wote hao the same! Acheni kutetea uvunjifu wa Sheria za nchi, kama wameingia kinyume na Sheria ni kosa, haijaiishi Hawa wapole sijui wale wakorofi. Sheria na huruma ni vitu viwili tofautiBora ungeongelea Wachina, hawa ndo kupe
Mimi sio mjinga mkuu kawadanganye watoto. Unadhani ni rahisi kihivyo kupokonya tonge la mtu mdomoni?
Nimeongea nao wamenishangaa tu wapo Samaki samaki muda huuChizi unampaje ushahidi? Wewe uliniambia hakiwi kitu!
Sasa kishakua kitu kawaulize wamalawi wenzako
Oooh usiwaulize wa samaki samaki kawaulize wa dagaa dagaaNimeongea nao wamenishangaa tu wapo Samaki samaki muda huu
Acha watu watafute maisha kijana. Kama wewe umeridhika na life la bongo ni wewe. Siamini kwamba wamalawi au the so called wahamiaji haramu ndo wanafanya maisha yako yawe magumu bongo. Ukiuliza wabongo ambao wameenda huko mambelezz kutafuta maisha. The story is the same or worse. Mimi naamini kila binadamu apewe fursa atafute maisha. Ilmradi ni raia mwema.
Na mara nyingi ukiangalia, the so called wahamiaji ndo wanachapa kazi maana wanajua wanatafuta nini. Sisi wabongo ni kulalamika tu. Itumie hii kama fursa. Hata kama ungefukuza wamalawi wote siamini kama itabadilisha maisha yako. Pambana kiume. Acha wamalawi watafute maisha. Life is tough bro!
Wala! Tabia zao tu ndo sizipendi
Mchawi wa mtu mweusi ni mweusi mwenzake, hao Jamaa wangekuwa ni wazungu ungekuja hapa kusifia, na kujisifia jinsi wanavyopiga mbususu ila kwavile ni mmalawi imekuwa Kero,
Kichekesho mi Mmalawi kabisa,babu mzaa dingi alizamia bongo kitambo tu kakutana kidosho cha kinyaki toka ukoo kichief Tokyo huko hao wakatoroka wakaenda kuanzisha makazi yao mahali.Wanakuja na Achimwene hao kutoka Mbeya..Bongo kama New york mkuu..sisi tunaona bongo miyeyusho lakini kuna nchi vijana wakikaa maskani wanaota kuja Bongo..hasa hapo mjini Daslam...🤣
Wewe unapata wapi muda wa kuonea wivu wanawake wanaliwa wakiwa chumba kimoja? Unapataje huo wivu? Au wamalawi walikudanganya kuwa wale ni dada zao?Oooh usiwaulize wa samaki samaki kawaulize wa dagaa dagaa
Una elimu duni Sana ndugu!! Kwa kifupi pole!!Tabia za kimbea mbea tu, Mwanaume unaona wivu mwanaume mwenzio akija kwenye nchi yenu kufanya kazi za ajabu? Kwani Watanzania wangapi wapo Zambia au Malawi[emoji706] Jamaa alichofanya ni umbea na ni aibu kwa Mwanaume kama ni Mwanaume