Serikali chukueni hatua Zanzibar inaharibiwa na ushoga

HISTORIA INAJIRUDIA,
POPOTE ALIPOKAA MUARABU KUNA UMASKINI, USHOGA, USHAWI
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi sijaona ila nnachojua kina amber Ruth walifungwa
Sawa. Bas tu conclude kwa namna ambayo utaridhika.
Wazanzibar wanapenda sana ushoga na Watanganyika hawapendi na ni watu wa Mungu waliotakaswa.
 
Kila Kabila kuna mashoga kibao, tena wamejaa telee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mashoga wa Zanzibar ni wenzenu wanaotoka Dar pamoja na wamasai. Zanzibar imeharibika kwa Wabara wakike na wakiume, si mkae kwenu huko, mnakuja tafuta nini huku na mnajua kuwa hatukupendeni
 
Wanaopigia chapuo ushoga ndio wafadhili wa serikali yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya kweli hayo?

Huwa ninasikia wanasema waislam ni watu wenye maadili kisawasawa.

Hao mashoga wanatoka wapi?

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Sina urafiki na mapunga
Kati ya vitu huwezi kukwepa ni hicho, mioyo ya watu imeficha siri kati ya marafiki zako wapo wanaogongwa kwa siri na usikute hata ndg zako. Siku hiz watu hawajionyeshi kama zamani wale wanaojionyesha ni washamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…