Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Serikali kupitia kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Mbarawa leo Jan. 30 imetangaza kukamilika kwa 100% kwa daraja la Tanzanite lililojengwa juu ya bahari kutoka Aga khan hadi Oysterbay Jijini Dar Es Salaam na sasa magari yataanza kupita bure kuanzia Feb. Mosi mwaka huu.

t1.jpg
t2.jpg
 
Serikali kupitia kwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Mbarawa leo Jan. 30 imetangaza kukamilika kwa 100% kwa daraja la Tanzanite lililojengwa juu ya bahari kutoka Aga khan hadi Osterbay Jijini Dar Es Salaam na sasa magari yataanza kupita bure kuanzia Feb. Mosi mwaka huu.
R.ip Magufuli.
R.i.p mzalendo wa kweli.
 
R.ip Magufuli.
R.i.p mzalendo wa kweli.

Legacy sio mzimu bali kadri muda unavyo enda ndivyo muda nao unaongea,Rip Magu.

Tunamshukuru sana Hayati Mhe. Magufuli. Huyu alikuwa mtu wa vitendo. Hakuwa na ubabaishaji. Asante sana Hayati Mhe. Magufuli kwa kukamilika kwa daraja hili la Tanzanite.

Mpumzishe Kwa Amani Mjawako
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Halafu kwa maendeleo yote hayo kuna wajinga wajinga wanawaza kuitoa CCM madarakani!!

Miaka 30 ofisi za makao makuu ziko uswahilini matola!
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Hiyo terminal three kajenga Magu alikuta wajanja wamepiga pesa yote, yeye akatoa kimya kimya na akamwambia na hizi mzitafune, over!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Hebu tupunguze unafiki kidogo na huu unafiki nauona sana pale likitajwa iina la Magufuli, ilihali kila leo CM 1774858 mnaanzisha mada kuwa fulani katoa fedha why wengine na si huyu?.

Nasimama dhidi ya wanaopingana na kisichopingwa!.
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Tunamuongelea aliyetangualia mbele za haki. Huyo unayemtaka bado yuko hai, aikondoka tutamwandikia
 
Wewe akili yako inawaza vyama mimi siko huko, hatufanani ujinga.

Watafute Chadema muanze kushindania vyama vyenu, mimi si mtumwa wa Chama chochote.
Kumbe umeelewa!

Unatakiwa kuwaza CCM siyo vyama.
 
Back
Top Bottom