Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

Ubongo wake ni muhimu sana.
Nahisi angekuwepo angeanza mchakato wa kujenga salender bridge mpya.na mnapita tanzanite mpya huku yeye akianzia hata njia sita kuelekea kinondoni.
 
Najua watu wenye Mimba za chuki za Mwendazake ambazo hazitaki kukomaa hamuwezi kukosekana. Hata hizo project ulizo ziandika key player bado alikuwa Magu na ndio maana Kikwete alipogundua alifanya makosa kumtoa wizara ya ujenzi na kumpeleka uvuvi akamrudisha tena ujenzi na ndiyo waziri katika historia ya Tanzania aliyekuwa analala site.

So ukimchukia ww inatosha ila tupo wengi tunao mkubali kwani impact yake ni kubwa na tokea kuumbwa kwa dunia hajatokea binadamu aliye pendwa na kila mtu so si shagai.

So endelee kuitunza mimba yako ya chuki ya Mwendazake na nakuombea ujifungue.

RIP Magu muda unaongea.

Mzee tutamkumbuka sana alikua anakagua barabara na nyundo [emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Jinga kubwa
 
Ubongo wake ni muhimu sana.
Nahisi angekuwepo angeanza mchakato wa kujenga salender bridge mpya.na mnapita tanzanite mpya huku yeye akianzia hata njia sita kuelekea kinondoni.
Kwenye nchi ambazo kitengo kinafanya serious vetting huyo mtu wenu asingeruhusiwa hata kuchukuwa tu fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais.

Ukitaka kujuwa ubongo wake muulize Anthony Diallo.
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Mkuu acha chuki binafsi.

Kila Rais aliyefanya maendeleo yake kwa muda wake tulishukuru.

Mada sasani daraja la Tanzanite na si kingine chochote kilichoongelewa.

Hela ni za serikali kweli, lakini bila utashi wa viongozi watawala, pesa hizo haziwezi kujenga chochote zaidi ya kuishia mifukoni mwa wajanja wachache wenye mamlaka na
sisi raia hatuwezi kusema chochote.

Tukichongoroa midomo yetu kusema tuhuma yoyote tutaambiwa: "mwenye ushahidi apeleke mahakamani".

Sasa utaweza kutunishiana nao misuli?

Kutokana na serikali nyingi za Afrika zinavyotawaliwa kifisadi, sisi kwetu Rais yeyote anayeonesha njia na kuleta maendeleo ingawa kwa pesa zetu wenyewe sisi walipa kodi, huwa tunashukuru na kusema "ahsante".

Kwanini?
Kwa sababu pesa zetu zikitafunwa kifisadi na matumizi ya anasa yasiyokuwa ya maendeleo, hatuwezi kufanya chochote lile.
 
Mkuu acha chuki binafsi.

Kila Rais aliyefanya maendeleo yake kwa muda wake tulishukuru.

Mada sasani daraja la Tanzanite na si kingine chochote kilichoongelewa.

Hela ni za serikali kweli, lakini bila utashi wa viongozi watawala, pesa hizo haziwezi kujenga chochote zaidi ya kuishia mifukoni mwa wajanja wachache wenye mamlaka na
sisi raia hatuwezi kusema chochote.

Tukichongoroa midomo yetu kusema tuhuma yoyote tutaambiwa: "mwenye ushahidi apeleke mahakamani".

Sasa utaweza kutunishiana nao misuli?

Kutokana na serikali nyingi za Afrika zinavyotawaliwa kifisadi, sisi kwetu Rais yeyote anayeonesha njia na kuleta maendeleo ingawa kwa pesa zetu wenyewe sisi walipa kodi, huwa tunashukuru na kusema "ahsante".

Kwanini?
Kwa sababu pesa zetu zikitafunwa kifisadi na matumizi ya anasa yasiyokuwa ya maendeleo, hatuwezi kufanya chochote lile.
POINT![emoji123][emoji123]
 
Mzee tutamkumbuka sana alikua anakagua barabara na nyundo [emoji28][emoji28][emoji119][emoji119]
Mbona kafanya mengi, mwaka jana nilikuwa na projects za Minara ya simu mikoa saba na wenzangu walikuwa mikoa mingine, nimeshudia kwa macho sija simuliwa 70% ya hospital mpya za Wilaya katika mikoa yote zimejengwa kipindi cha Magu nyingine zimeisha nyingine zinafanyiwa finishing ndogo ndogo.

So wanao mchukia wa mchukie ila sisi wengine tumeona legacy yake hatuja simuliwa.
 
Mkuu acha chuki binafsi.

Kila Rais aliyefanya maendeleo yake kwa muda wake tulishukuru.

Mada sasani daraja la Tanzanite na si kingine chochote kilichoongelewa.

Hela ni za serikali kweli, lakini bila utashi wa viongozi watawala, pesa hizo haziwezi kujenga chochote zaidi ya kuishia mifukoni mwa wajanja wachache wenye mamlaka na
sisi raia hatuwezi kusema chochote.

Tukichongoroa midomo yetu kusema tuhuma yoyote tutaambiwa: "mwenye ushahidi apeleke mahakamani".

Sasa utaweza kutunishiana nao misuli?

Kutokana na serikali nyingi za Afrika zinavyotawaliwa kifisadi, sisi kwetu Rais yeyote anayeonesha njia na kuleta maendeleo ingawa kwa pesa zetu wenyewe sisi walipa kodi, huwa tunashukuru na kusema "ahsante".

Kwanini?
Kwa sababu pesa zetu zikitafunwa kifisadi na matumizi ya anasa yasiyokuwa ya maendeleo, hatuwezi kufanya chochote lile.
Tunamshukuru mama Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha mradi kikamilifu.

Kule Zanzibar Karume alianza ujenzi wa Maghorofa ya watu wa hali ya chini, lakini alipouwawa Marais wote waliofuatia waliachana na mradi huo mpaka mwanaye alipokuja kuupata Urais ndio akakamilisha mradi aliouanza Baba yake.

Hata Magufuli aliukataa mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao aliuanza Kikwete.

Vivyo hivyo Mama ana mamlaka kamili ya kukataa miradi aliyoikuta kama haina tija kwa mtazamo wake.

Mfano Airport ya Chato ndio ingekuwa inaanza ujenzi huo mradi ungepigwa chini on the spot, ni mradi wa hovyo usiokuwa na tija kwa Taifa letu zaidi ya ubinafsi wa Magufuli.
 
Back
Top Bottom