Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Kwanini hakiyajenga yeye na alikaa miaka 10 madarakani?Tungependa kuona madaraja yote ya Dar yaliyoasisiwa na serikali ya awamu ya nne yaitwe majina yake halisi badala ya kupewa majina rafiki zake mpenda misifa.
Sent using Jamii Forums mobile app