Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

Serikali: Daraja la Tanzanite kuanza kutumika Feb 1, magari kupita bure

Bwashee huyo Mungu kama anajielewa hawezi kumbariki muuaji.

Halafu huyo magufuli hakutoa hela yake ya msahahara kujenga hilo daraja. Ni kodi za walalahoi hizo. Jipongezenj wananchi acheni kusifia mizimu.

Msiwe wapuuzi. Mmesikia na nyie vibwengo wengine? Yamungu Athumani Koryo2 mwandende joseph1989
Unajua kuwa Kodi za Walala hoi kwasasa zinaliwa hadharani Kwa urefu wa Kamba!!?
Kuna rais wa wapi duniani anaye Jenga Kwa mshahara wake, mbona hamuishi kuwasifia??

Kukusanya Kodi ni jambo Moja na kuzitumia vizuri hizo Kodi ni jambo la pili ambalo wengi linawashinda.
Na hata kukusanya hizo Kodi nako kunahitaji akili la sivyo utaanzisha tozo za kipuuzi ukachukiwa bure na watu wako.
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
You are right. Haya mambo ya ujenzi ya serikali huanza miaka mingi nyuma na anayekuja kutajwa na kupewa sifa zote ni yule aliyefanya ufunguzi.

Labda tueleweshwe hili daraja proposal yake ilikwenda kwa Wakorea mwaka gani na ujenzi umeanza mwaka gani.
 
Duh nchi itajaa ma flyova naona

Ova

Ndio plans zililizopo hizo mkuu...

Bado: Kamata, Tabata, Fire, Mwenge, Morocco, Magomeni Mapipa/Usalama

Tayari: Ubungo, Tazara

Zinazoendelea: Chang'ombe, Uhasibu
 
Hii nchi imekuwa ikijengwa kabla ya JPM, imejengwa wakati wa JPM na itaendelea kujengwa baada ya JPM. Yeyote anayetaka kuiaminisha Tanzania tofauti ni MPUMBAVU NA LOFA.
Basi acha apewe sifa aliyejenga, hata awamu ya nne ilikuta miradi na ikafanya je sifa alipewa awamu ya tatu, haya basi twambieni awamu ya nne gase yetu mlimhonga nani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe akili yako inawaza vyama mimi siko huko, hatufanani ujinga.

Watafute Chadema muanze kushindania vyama vyenu, mimi si mtumwa wa Chama chochote.
Bora umemwambia yaani kuna watu wao wanapenda vyama nchi baadae.
 
Tunamshukuru mama Samia Suluhu Hassan kwa kukamilisha mradi kikamilifu.

Kule Zanzibar Karume alianza ujenzi wa Maghorofa ya watu wa hali ya chini, lakini alipouwawa Marais wote waliofuatia waliachana na mradi huo mpaka mwanaye alipokuja kuupata Urais ndio akakamilisha mradi aliouanza Baba yake.

Hata Magufuli aliukataa mradi wa Bandari ya Bagamoyo ambao aliuanza Kikwete.

Vivyo hivyo Mama ana mamlaka kamili ya kukataa miradi aliyoikuta kama haina tija kwa mtazamo wake.

Mfano Airport ya Chato ndio ingekuwa inaanza ujenzi huo mradi ungepigwa chini on the spot, ni mradi wa hovyo usiokuwa na tija kwa Taifa letu zaidi ya ubinafsi wa Magufuli.
Kumbe Kikwete aliuanza huu mradi bila hata ya mkataba?! Waziri alisema hata mkataba hakuna.
 
Basi acha apewe sifa aliyejenga, hata awamu ya nne ilikuta miradi na ikafanya je sifa alipewa awamu ya tatu, haya basi twambieni awamu ya nne gase yetu mlimhonga nani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulweso soma uelewe.

Hii nchi imekuwa ikijengwa kabla ya JPM, imejengwa wakati wa JPM na itaendelea kujengwa baada ya JPM. Yeyote anayetaka kuiaminisha Tanzania tofauti ni MPUMBAVU NA LOFA.

Kuhusu awamu ya nne na gas, jibu ni tupo awamu ya sita chini ya serikali ya ccm. Mikataba yote, maendeleo yote na miundo mbinu yote ipo chini ya serikali ya ccm tangu uhuru.

Sifa zote na lawama zote ni kwa ccm. Hakuna awamu iliyokuja na vitendea kazi vyake nje ya vitendea kazi vya ccm na watu wake.

Wana ccm, wanakupa nafasi ya uwakilishi wa miaka 10 huku wao nyuma ya pazia wakipambania njia za kuijenga nchi, njia za wewe kupita katika usimamizi wako wa kuijenga nchi, wanakupa rasilimali watu, mpango mkakati wa fedha na ilani ya chama, uliyepewa nafasi unasimamia sehemu yako kisha unamrithisha mwingine anaendeleza ulipoishia. Ukijifanya janja janja chama kina namna yake ya kujisafisha na kujirudisha katika mstari.

Hivyo ndivyo chama kinavyofanya kazi, A LINK FROM JN TO SS na hakuna jambo tofauti na hilo na halitakuwa as long as ni CCM ipo madarakani. Na CCM ina wenyewe utake usitake.
 
Kazi nzuri ingawa halipunguzi sana foleni ya Selandar bridge
litasaidia mkuu kama watu wa masaki na mikocheni huwezi kwenda kulundikana salender pale we subili lianze utaona alafu watu wanahoji mbona kigamboni wanachajiwa pesa wakati kupita kwenye daraja hili ni bure
 
Tayari vijambio vinawapwita, Jakaya Kikwete amejenga daraja la kigamboni, Ifakara, airport terminal three, flyover aliacha jiwe la msingi na mengi mengi tu.

Hizo ni pesa za Watanzania hakuna hisani ya mungu wenu hapo.
Daraja la kigamboni mpaka kesho walalahoi wanalipishwa.
 
Back
Top Bottom