Serikali endeleeni kuichekea hii hatari hadi hapo Simba watakapotafuna mmoja

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Your browser is not able to display this video.


Naelezwa hiyo Park yenye wanyama wakali wakiwemo Simba ipo huko Kilimanjaro na inafanya biashara hasa ya utalii wa picha na kwalo hujipatia kipato jambo ambalo ni jema.

Lakini ipo siku Simba hao wanyama watamtafuna mtu nawaambia na hapo ndipo utaona Serikali ikitoa tamko la kuifungia.

Ni mchezo wa hatari mno unaoendelea kwenye hilo eneo la utalii wa picha.
 
Sio rahisi kama wanawalisha vizuri, ingawa kuna mazingira yanaweza tokea simba akaua sio kwa sababu anataka kula ila labda kahisi hatari au kachanganyikiwa tu.

Sijajua kama na simba wanapandishaga mashetani. Kama wanapandisha anaweza kukutafuna hata kama kashiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…