Serikali fanyieni kazi Matapeli Wengine hawa hapa. Wanajitangaza bila woga kabisa. Nchi imekuwa kama haina mwenyewe

Serikali fanyieni kazi Matapeli Wengine hawa hapa. Wanajitangaza bila woga kabisa. Nchi imekuwa kama haina mwenyewe

Sasa kucheza ucheze wewe matokeo umtegemee refa
Hivi hii inaingia akilini kweli??
 
hayo ukiongea humu JF ni kama unajisumbua.

hapa kahama wapo alliance na wamekodi jengo la NSSF na linatazama na mkuu wa wilaya,mkurugenzi wa wilaya na idara nyingi tu ila watoto wanapigwa pesa kama wajinga na navyo tazama huwa kuna gawio linatolewa na alafu ilo jengo kuna TRA
 
hayo ukiongea humu JF ni kama unajisumbua.

hapa kahama wapo alliance na wamekodi jengo la NSSF na linatazama na mkuu wa wilaya,mkurugenzi wa wilaya na idara nyingi tu ila watoto wanapigwa pesa kama wajinga na navyo tazama huwa kuna gawio linatolewa na alafu ilo jengo kuna TRA
 
sometimes waweza kuta michezo yenyewe huenda ni ya wanene,manake haiwezekani serimpole ikakaa kimya like this'lakini na sisi wananchi tunajitakia wenyewe,toka lini ndani ya siku 3 laki ikazaa laki nyingine,,kama hatuumwi kifaduro ni nini?.........kwa hesabu hizo wanapataje faida?,wanawalipa vipi wafanyakazi wao?...wanalipaje kodi ya pango???wanalipaje umeme,maji na gharama nyingine za uendeshaji????wacha wajinga wapigwe tu.........MUNGU mwenyewe ametuacha tuishi tutakavyo ila malipo mengine ni hapahapa,mbinguni ni funga kazi tu,mfano ukizini na mke wa mtu wafa,ukizini kiholela wafa kwa maradhi,ukiiba wafa n.k......kwa ivo seikali acha ikae kimya tu!!!! watakaocheza huo mchezo watapata habari yao...yaani,watachamba wima!!
 
Matapeli wakubwa Hawa. NARUDIA USITHUBUTU KUWEKEZA HUKO, UTAPIGWA NA KITU KIZITO.
 
Labda kama wanafanya biashara ya ku duplicate pesa ndo itatoa faida ya 100% ndani ya siku tatu kwa kila uwekezaji unaofanyika.
 
Sionwengine nihawa Hawa wasomi wetu nahiyo ndiyo elimu tuliyo watuma wakajifunze

Ona wanacho tufanya sasa
 
Uzuri wake hawakushikii bunduki ujiunge.
 
Kuna dada yangu mwalimu akiwaona hawa atajiunga fastaa sijui Huwa anamatatizo Gani kashapgwa na forever hii ya juzi kalyanda nayo pia kapgwa
 
Kuna dada yangu mwalimu akiwaona hawa atajiunga fastaa sijui Huwa anamatatizo Gani kashapgwa na forever hii ya juzi kalyanda nayo pia kapgwa
🤣🤣🤣🤣 Huyo dada yako ana nyota ya kutapeliwa/ya kupigwa.
 
Kisheria inatambulika kiwa UPATU ni illegal lakini nahisi hawa wanakulaga dili na wakubwa maana haiwezekani wasikamatwe.
jamani ninawachukia watu hawa kama masikambwa wa mjini
 
Back
Top Bottom