Ntate Mogolo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 410
- 705
- Thread starter
-
- #21
Leo tunamzika jirani yetu miaka 55 aliyekuwa anauguza mwanae 11 years. Ameambukizwa na mwanae, mama wa mtoto yuko hoi pia anakula mtungi ya oxy. Toto linadunda imara na kikohozi kikavu bila shida.acha conspiracy theories zisizokuwa na maana.
Benki zile alama za viatu si zipo ila watu hawahangaiki nazo sikuhiziKufunga shule haitasaidia kitu, maana bado mishe mishe za maisha zitabaki vile vile. Napendekeza, barakoa kila mahali, kusiwe na mikusanyiko yoyote, daladala hakuna kusimamisha abiria, watu wapeane distance wanapopata huduma kama za kibenki.
Comment ya kijinga tokea Tanzania ipate uhuruKufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu! Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Hivi umewahi kuwaza sisi wa Manzese, Kwa Mtogole, Mpitimbi, na Nyakanazi watoto wakiwa shule ndiyo wanakuwa salama zaidi kuliko nyumbqni?Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.
Namba 2 TRA hawajaiona? Chanzo cha mapato hicho1. Waanze kutangaza cases daily na wapi zimepatikana. Wataalamu wa kupambana na magonjwa ya milipuko wapewe confidence na uhuru wa kufanya kazi zao bila kusubiri ruhusa kutoka kwa wanasiasa
2. Weka bylaws kila mtu avae barakoa kwenye public. Mkaidi akamatwe na kulipa faini
3. Wageni kutoka nje wote waje na negative certificate za COVID with immediate effect. Ambae hana arudishwe na ngege aliyokuja nayo
4. Wafanyakazi waanze kuingia ofisini kwa shift na wengine wafanyie home ili kupunguza mikusanyiko. Hakuna haja ya kujazana ofisini
5. Public transport zianze kubeba watu nusu ya uwezo wake
6. Funga clubs kwa mwezi mmoja
Kuna mengi ya kufanya ila kiburi cha Magufuli ni tatizo. Sasa katwaliwa Eng. Kijazi. Who next?
Nadhani TRAFFIC POLICE wataiwahi juu kwa juu..Namba 2 TRA hawajaiona? Chanzo cha mapato hicho
... watabaki mayatima wengi sana! Serikali itawahudumia? Shule zifungwe kwa muda sote (wazazi na watoto) tuwe salama au nchi ibaki na maelfu ya mayatima? Au unawaza usawa wa pua?Kufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu! Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Wewe pigania uhai acha wanaofanya kazi wafanyeKwa hiyo ajira ni muhimu kuliko uhai?
Ila jamaa kasema kwa mwezi mmoja kama umemsoma vema, nafikiri ili kujipanga.Kufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu! Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Hujajibu swali!Wewe pigania uhai acha wanaofanya kazi wafanye
Hao wachache wakiwa sucriface kwa ajili ya kuokoa Taifa au wengi sio tatizo,acha ubinafsi wa kijinga.Kufikiri kufunga shule na vyuo kwa ugonjwa ambao hujui hatima yake ni ufinyu wa kufikiri. Wewe una kazi nzuri na una uhakika na kesho yako jua kwamba hizo ni ajira za watu! Kuna watu wanalisha familia zao kwa hizo ajira, toka corona ilivyoanza mwaka 2019 decemba duniani kote, mpaka leo nchi zilizofunga shule na vyuo Hawajui nini hatima yake, kwa hiyo wewe endelea kujikinga kivyako sio kuhamasisha wenzako wapoteze ajira.
Sawali lipi?Hujajibu swali!
Mkuu kwa upanda wangu shuluisho hapa siyo kufunga shule na vyuo,Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa! Hii siyo habari njema hata kidogo! Wizara ya afya, funga shule na vyuo. Watoto na vijana wanapata sana covid lakini, haina madhara makubwa kwao!
Covid haina madhara makubwa kwa vijana na watoto, wanaugua na kupona tena bila dawa za maana. Tatizo ni kuwa, wanaambukizana na kuileta majumbani na kuwaambukiza wazazi na watu wenye umri mkubwa nyumbani.
Hii ndo balaa! Kama tutaweza kudhibi maambukizi kwa watoto na vijana, tutakuwa tumefanikiwa sana kuokoa maisha ya watu wazima wanaojikinga katika familia. Shule na vyuo wafunge mwezi mmoja tu, maambukizi yatapungua.