Serikali fungueni mipaka wakulima wauze wenyewe mahindi, NFRA inawanufaisha wachache

Serikali fungueni mipaka wakulima wauze wenyewe mahindi, NFRA inawanufaisha wachache

Ujue hakuna mnunuzi hapo. Serikali kwa miaka mingi imeshindwa kutafuta soko la mahindi na haisemi.

Wakulima hebu tafuteni zao mtakaloweza kuuza.

Kuliko kupoteza nguvu zenu bila uhakika wa soko.

Kuna aina ya maharage yanauzika kidogo katika soko la ndani.

Hebu fanyeni utafiti miyalime kama nilivyowashauri kwenye zao la Soya hapo juu.

Nawapenda sana wakulima, wanatulisha na mwisho sa siku wanabaki bila maendeleo.
Soya pia nalimia namtumbo, kidogo mwaka huu ahueni ilikuepo
 
Ila uongoz wa sahz upo vizur na ma unajal wat wake sana. #Titakukumbuk sana maana mambo kama haya ungekemea Mara moja na maana ulijali sana wanyonge.
 
Soya pia nalimia namtumbo, kidogo mwaka huu ahueni ilikuepo
Ndio hivyo nimeshakupa mchongo huo.

Jitahidi mwaka huu ulime japo Ekari 5.

Soya inataka mvua za kwanza unapanda hivyo jitahidi ulime mapema.

Ekari 5 ukizitunza vizuri hukosi millioni 7 ukitoa ghalama za kulima hapo inabakiwa na milioni 6 cash.

Bakisha hapo milioni 3 ili mwakani ulime Ekari 10.

Nadhani mwaka kesho kutwa utamudu kulima ekari 20.

Lima kwa malengo miaka hii mitatu ambapo kuna soko la Uhakika la Soya huko Ruvuma.

Utapata mtaji wa kufanya kitu kingine cha maana zaidi.

Na huenda mkataba wa Soya utaongeza muda.

Kuwa makini tumia hiyo fulsa.
 
Baada ya kusikia serikali imetoa billioni50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.

Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo...
Daa umenikumbusha mbali sana,nilishawahi kupeleka mahindi NFRA nilijuta na sitasahau na sitarudia tena,nilipoteza pesa nyingi,hao wenyevitengo bila ya rushwa lazima utasumbuka,mara chekecha mahindi,mara moisture yani ilimradi tu wakulegeze uwatoe,waliokwisha tengeneza mifumo utawaona wanapeta tu!

Ukweli ni kwamba NFRA inawasaidia wafanyabiashara wakubwa sio wakulima.
 
Wakuu inaeleweka kwamba wakulima wakubwa wa nchi hii ni kina nani. Hawa wanaoitwa wanyonge mara nyingi kilimo chao ni cha kawaida na hata uvunaji wao ni wa wastani.

Napata mashaka kama kuna watu hasa hawa viongozi wakubwa,wengi wameingia kwenye kilimo wametengeneza mazingira ili shehena walizonazo zinunulike kwa urahisi.

Na kuthibitisha hilo angalia pia namna zoezi la ununuaji lilivyogubikwa na ubabaishaji, iko namna, yawezekana kweli serikali ikawa na nia njema kwa wakulima lakini baadhi ya viongozi wasio waaminifu kutumuia nafasi hii kunufaisha wakulima wachache.
 
Hii nchi ni kama desturi kuna zile kauli za kisiasa huwa zinatolewa nakupigiwa makofi lakini siku zote katika uhalisia na utekelezaji ndio huwa changamoto yaani kauli na utendaji nchi ziku zote kama mbingu na ardhi na hii sio kwenye mahindi tu ni kwa kila jambo tunaloongea.

Utasema tumerogwa nchi hii. Acheni private sector ifanye kazi yake demand and supply maana kila jambo serikali ikitia mkono wake tu ni kama nuksi jambo haliendi na hii sio kazi ya serikali.
 
Serikali zetu hizi ambazo hazina focus tangu lini zikawajali wakulima, mahindi hapo kenya wanayataka kwa udi na uvumba njaa inawauma balaa na wanahitaji chakula lakini serikali ya hovyo inataka inunune iwe mtu wa kati iuze yenyewe nishida sana. Serikali sio kazi yake kuuza mahindi ni udalali tu kila kona usio na sababu
 
Baada ya kusikia serikali imetoa billioni50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.

Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo...
Tani 41.2 ndio ujaze howo tatu?labda kuna howo toleo jipya sio hizi zilizopo nchini!!halafu sio kweli kuwa kuna mpaka wowote uliofungwa, halafu hizo bilioni 50, hadi jana zilikuwa hazijaanza kununua mahindi.

Pili kuna utaratibu umewekwa hakuna mtu anayeweza kwenda yeye kama yeye kuuza mahindi bila kupitia vyama vya msingi, vikundi, na kwa mtu mmoja huwezi uza zaidi ya 30 .Naona story yako haina uhalisia wowote.
 
Upo sahihi kabisa,hao wakulima wakubwa wenye mazao kuanzia tani 1000 ndio wameforce hiki kitu na wao kutokana na uwezo wao wanahitaji soko hata Kama ni 350/- per kg hawana shida ila sisi wachini tunahitaji walau na bei iwe juu
 
😁😁😁
1630324497_1630324497-picsay.jpg
 
Back
Top Bottom