ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
- #41
Ni Nani wakupeleka huko?Peleleni hayo maindi afganstan yanahitajika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Nani wakupeleka huko?Peleleni hayo maindi afganstan yanahitajika
Namzungumzia mkulima mdogo mimi sina shida popote nauzaNdugu wangu wacha kudanganyika.
Hakuna uhitaji wa mahindi kutoka tanzania...
Saiz wameamkaHao masikini acha wapigwe kwenye mshono na hii serikali ya kitapeli kwa sababu siku zote wamekuwa ni daraja la kuingiza madarakani Serikali haramu ya CCM inayopora chaguzi.Safi sana!
Pole mkuu ila usikate tamaaDaa umenikumbusha mbali sana,nilishawahi kupeleka mahindi NFRA nilijuta na sitasahau na sitarudia tena,nilipoteza pesa nyingi,hao wenyevitengo bila ya rushwa lazima utasumbuka,mara chekecha mahindi,mara moisture yani ilimradi tu wakulegeze uwatoe,waliokwisha tengeneza mifumo utawaona wanapeta tu!
Ukweli ni kwamba NFRA inawasaidia wafanyabiashara wakubwa sio wakulima.
We pimbi tu kama iko wazi hayo mahindi mbona serkali inayanunua kupitia NFRA! Basi wapeleke nchi jirani si mnajidai mmeboresha mahusisno lakini vichwani empty!Acha kuigombanisha Serikali ya awamu ya Sita Na wakulima Mkuu, mipaka Iko wazi,ule Ubabe wa kipumbavu wa kutunishiana misuli na majirani uliisha April
Wasiwasi ndio akili mkuu.Wbongo sijui mna pepo gani. Kujihisi na kujishuku shuku muda wote kama mtu anaeoga nje kweupe
Sasa braza Kama wewe hulimi.wenzako wanawekeza kwenye kilimo tatizo liko wapi?Sirikali ya wapiga dili iko kazini. Huko manyoni wanagombea mashamba ya kulima korosho. Mashamba yote pembezoni ni ya vigogo kuanzia PM na hata mama. Huko chamwino watu hao hao wanagombea viwanja. Ukiende njia ya kondoa toka dom town watu walewale wanagombea mashamba. Huu ulafi ni hatari.
Ila wasiwasi kupindukia ni tatizo la ugonjwa wa akiliWasiwasi ndio akili mkuu.
Mahindi yatapanda bei sana hivi karibuni...mwakani hali ni mbaya...kuuza kwa 50000 bado ni hasara kubwa. Kama una ghala wewe hifadhi. Ukame ushaanza Kenya...Baada ya kusikia serikali imetoa bilioni 50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.
Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo.
Dah nilichokutana nacho tajiri atabaki kuwa tajiri nae maskini atazidi kuwa maskini hasa kwenye nchi zetu za Kiafrika.
Kiufupi mkulima mdogo hauzi wanaopewa kipaombele mwenye junia kuanzia mia nashukuru nilibeba tu gunia 412 nikajiuzia si unajua ukiwa na jina hapa nchini.
Sikuwa mbinafsi nikamfuata mkulima mdogo aliebeba gunia 30 nikaanza piganae stori akaniambia anasiku ya nne na kila akitaka uza vikwanzo kibao mara maind machafu.
Mara punje ndogo kiujumla ni vikwazo tu ambavyo havina msingi
Nikarudi kwa katajili kenzangu ambako nako kalileta maindi akaniambia kaka huu ndio muda wa kupiga pesa.
Akiwa na maana anaenda walalia wakulima wadogo kwa kilo 260 unapeleka kwenye kitengo 500.
Sikujibu kitu nilichokifanya nikaenda kwa yule mkulima nikamkusanya na wenzake nikaenda wauzia asee walinishukuru.
Tuludi kwenye mada
Kwenu watu wa serikali nimewapa hiyi stoli ili mjionee hela mliyotoa haina msaada wala tija na mpate pakuanzia
Ila kama haya yana mkono wenu endeleen kuwaumiza wananchi kwa ufinyu wa akili zenu
Mngekuwa mnataka kumsaidia mwananchi haya tusingeyaona
Ila ipo siku yenu na mm ndio yule mtu aliekuwa akisubiliwa najua hamuwez kuelewa wala kusikia wala kuambiwa
Muda unakujaa
Asante
Ila yapo mengi mkuuMahindi yatapanda bei sana hivi karibuni...mwakani hali ni mbaya...kuuza kwa 50000 bado ni hasara kubwa. Kama una ghala wewe hifadhi. Ukame ushaanza Kenya...
Soya ipi mkuuPoleni wakulima wa Mahindi wa Tanzania.
Mwaka huu nasikia kuna makampuni yananunua Soya kupeleka katika Soko la China.
Ulizieni hayo makampuni yanapatikana wapi ili mlime soya na kuyauzia.
Mimi nilishaachana na biashara ya Mahindi.
Kitambo sana.
Biashara ya kuteseka kulima bila kujua unauza wapi.
Soya halisi, ile inayosagwa na kutengenezea Soya tea.Soya ipi mkuu