Soya pia nalimia namtumbo, kidogo mwaka huu ahueni ilikuepoUjue hakuna mnunuzi hapo. Serikali kwa miaka mingi imeshindwa kutafuta soko la mahindi na haisemi.
Wakulima hebu tafuteni zao mtakaloweza kuuza.
Kuliko kupoteza nguvu zenu bila uhakika wa soko.
Kuna aina ya maharage yanauzika kidogo katika soko la ndani.
Hebu fanyeni utafiti miyalime kama nilivyowashauri kwenye zao la Soya hapo juu.
Nawapenda sana wakulima, wanatulisha na mwisho sa siku wanabaki bila maendeleo.
Duh...
Pole sana mkuu.
Lakini ninyi ndo baadae hurudi na mapambio.... "ccm numberrr riwaniiii" ....
Ndio hivyo nimeshakupa mchongo huo.Soya pia nalimia namtumbo, kidogo mwaka huu ahueni ilikuepo
Naunga mkono hoja ingawaje inaonekana ni roho mbayaHao masikini acha wapigwe kwenye mshono na hii serikali ya kitapeli kwa sababu siku zote wamekuwa ni daraja la kuingiza madarakani Serikali haramu ya CCM inayopora chaguzi.Safi sana!
Daa umenikumbusha mbali sana,nilishawahi kupeleka mahindi NFRA nilijuta na sitasahau na sitarudia tena,nilipoteza pesa nyingi,hao wenyevitengo bila ya rushwa lazima utasumbuka,mara chekecha mahindi,mara moisture yani ilimradi tu wakulegeze uwatoe,waliokwisha tengeneza mifumo utawaona wanapeta tu!Baada ya kusikia serikali imetoa billioni50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.
Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo...
Roho mbaya zaidi ni kuiunga mkono serikali ya kitapeli ya CCM pale inapopora chaguzi.Naunga mkono hoja ingawaje inaonekana ni roho mbaya
Tani 41.2 ndio ujaze howo tatu?labda kuna howo toleo jipya sio hizi zilizopo nchini!!halafu sio kweli kuwa kuna mpaka wowote uliofungwa, halafu hizo bilioni 50, hadi jana zilikuwa hazijaanza kununua mahindi.Baada ya kusikia serikali imetoa billioni50 kwa ajili ya manunuzi ya mahindi.
Nikaona huu ndio wakati muafaka wa kuuza nikajaza howo zangu tatu mzigo kupeleka kwenye kitengo...
Swali la msingi sana hiliNini kifanyike