Serikali fungueni mipaka wakulima wauze wenyewe mahindi, NFRA inawanufaisha wachache

Pole mkuu ila usikate tamaa
 
Acha kuigombanisha Serikali ya awamu ya Sita Na wakulima Mkuu, mipaka Iko wazi,ule Ubabe wa kipumbavu wa kutunishiana misuli na majirani uliisha April
 
Sirikali ya wapiga dili iko kazini. Huko manyoni wanagombea mashamba ya kulima korosho. Mashamba yote pembezoni ni ya vigogo kuanzia PM na hata mama.

Huko Chamwino watu hao hao wanagombea viwanja. Ukiende njia ya kondoa toka dom town watu walewale wanagombea mashamba. Huu ulafi ni hatari.
 
Acha kuigombanisha Serikali ya awamu ya Sita Na wakulima Mkuu, mipaka Iko wazi,ule Ubabe wa kipumbavu wa kutunishiana misuli na majirani uliisha April
We pimbi tu kama iko wazi hayo mahindi mbona serkali inayanunua kupitia NFRA! Basi wapeleke nchi jirani si mnajidai mmeboresha mahusisno lakini vichwani empty!
 
Sasa braza Kama wewe hulimi.wenzako wanawekeza kwenye kilimo tatizo liko wapi?

Mimi nahimiza wenye pesa wawekeze kwenye kilimo ili kilimo kikue
 
Mahindi yatapanda bei sana hivi karibuni...mwakani hali ni mbaya...kuuza kwa 50000 bado ni hasara kubwa. Kama una ghala wewe hifadhi. Ukame ushaanza Kenya...
 
Soya ipi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…