sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #21
Kuwezekana inawezekana maana wapo wanaofanya haya mambo, kukiwa na chombo watakamatwa tu.Ni ngumu japo hii nchi ni kubwa hivyo inawezekana.
Swali ni umewahi kushuhudia uwepo wao?Kuwezekana inawezekana maana wapo wanaofanya haya mambo, kukiwa na chombo watakamatwa tu.
ila kwa sasa umewahi kusikia wapi kuna kesi mahakamani ya mwenye mgahawa au mama ntilie anaefanya haya mambo ?
wewe labda unakaa sana ndani hupendi hata kuchangamana na watu, haya mambo kipya kipi ? hebu uwe unatoka nje kidogo mkuu, utafia humo ndani watu wasijue 😂😂Swali ni umewahi kushuhudia uwepo wao?
Hahaha. Okey mkuu.wewe labda unakaa sana ndani hupendi hata kuchangamana na watu, haya mambo kipya kipi ? hebu uwe unatoka nje kidogo mkuu, utafia humo ndani watu wasijue 😂😂
Serikali tangu lini ilifanya biashara ya Mama ntilie?
Uliza hivyo wateja hautapata na automatic biashara itakushinda na kuchafua jina lako,
Hata uje Kupika vyakula halali na vizuri hautauza
Kuna mabwana afya na mabibi afya wa halmashauri ambao hufuatilia usafi na afya mitaani. Wamekuwa wakiingia migahawani kukagua usafi kwa wahudumu wa migahawa hiyo kama wako safi na mazingira ya kula ni masafi ikiwemo mavazi rasmi ya upishi. Kuhusu ubora wa chakula migahawani haijulikani kama wanachunguza vyakula vilivyoandaliwa kuliwa migahawaniSerikali tangu lini ilifanya biashara ya Mama ntilie?
Uliza hivyo wateja hautapata na automatic biashara itakushinda na kuchafua jina lako,
Hata uje Kupika vyakula halali na vizuri hautauza
Umekosea sana kumweka nguruwe kwenye hiyo tilte yako. Mkuu wa meza hachanganywi na mauchafu uliyotaja-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-n.k.
Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.
Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.
Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.
Mbele ya pesa mkuu utu unawekwa pembeni.utu...
ndio maana bora kuwe na chombo husika cha ku controll hizi mamboWatu tushalishwa vibudu sana
Ova
🤔🤔🤔🤔☹️☹️Mabwana afya wenyewe corrupt vibaya mno siku hizi
Hakuna wa kuwazuia, na ndo fursa za biashara hizo.-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-kuchanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo
-n.k.
Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.
Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.
Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.
Sio uzalendo, bali UTU!Hapa bila uzalendo tutakula madudu sana, umesahau na hamira kwenye wali
A wake-up call for the responsible regulatory body (TBS) !!!-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-kuchanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo
-n.k.
Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.
Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.
Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.