Serikali haikagui vyakula, kipi kinawazuia wenye migahawa kupika mizoga, mchele wa plastiki, viungo expired, mafuta ya transfoma / nguruwe, n.k

Serikali haikagui vyakula, kipi kinawazuia wenye migahawa kupika mizoga, mchele wa plastiki, viungo expired, mafuta ya transfoma / nguruwe, n.k

Ni ngumu japo hii nchi ni kubwa hivyo inawezekana.
Kuwezekana inawezekana maana wapo wanaofanya haya mambo, kukiwa na chombo watakamatwa tu.

ila kwa sasa umewahi kusikia wapi kuna kesi mahakamani ya mwenye mgahawa au mama ntilie anaefanya haya mambo ?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wachache wenye utu wanafata miongozo ya upishi bora
 
Kuwezekana inawezekana maana wapo wanaofanya haya mambo, kukiwa na chombo watakamatwa tu.

ila kwa sasa umewahi kusikia wapi kuna kesi mahakamani ya mwenye mgahawa au mama ntilie anaefanya haya mambo ?
Swali ni umewahi kushuhudia uwepo wao?
 
Swali ni umewahi kushuhudia uwepo wao?
wewe labda unakaa sana ndani hupendi hata kuchangamana na watu, haya mambo kipya kipi ? hebu uwe unatoka nje kidogo mkuu, utafia humo ndani watu wasijue 😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu ukisema ufuatilie hivi vitu huenda hata mkeo hapo Nyumbani Kuna uchakachuzi anaufanya pasi wewe kujua.
 
wewe labda unakaa sana ndani hupendi hata kuchangamana na watu, haya mambo kipya kipi ? hebu uwe unatoka nje kidogo mkuu, utafia humo ndani watu wasijue 😂😂
Hahaha. Okey mkuu.
Basi isaidie serikali kuwafichua hata kisiri siri. Usilee uovu.
 
Mafuta ya nguruwe mbona ni lishe nzuri? Labda mafuta ya transfoma ndio mabaya. Kuna msemo huko migahawani kama mchuzi le, wali ja, mchuzi ja wali le, yana unachanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo, ama mchuzi au wali. Wengi wanaokula migahawani ni watu ambao hawana ndoa, walioko kazini na wasafiri
 
Serikali tangu lini ilifanya biashara ya Mama ntilie?

Uliza hivyo wateja hautapata na automatic biashara itakushinda na kuchafua jina lako,
Hata uje Kupika vyakula halali na vizuri hautauza
Serikali tangu lini ilifanya biashara ya Mama ntilie?

Uliza hivyo wateja hautapata na automatic biashara itakushinda na kuchafua jina lako,
Hata uje Kupika vyakula halali na vizuri hautauza
Kuna mabwana afya na mabibi afya wa halmashauri ambao hufuatilia usafi na afya mitaani. Wamekuwa wakiingia migahawani kukagua usafi kwa wahudumu wa migahawa hiyo kama wako safi na mazingira ya kula ni masafi ikiwemo mavazi rasmi ya upishi. Kuhusu ubora wa chakula migahawani haijulikani kama wanachunguza vyakula vilivyoandaliwa kuliwa migahawani
 
-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-n.k.

Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.

Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.

Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.
Umekosea sana kumweka nguruwe kwenye hiyo tilte yako. Mkuu wa meza hachanganywi na mauchafu uliyotaja
 
Huwa Siwa elewi wanao kula vile vyakula vya dirishani wakiwa kwenye bus.
 
Kosa kubwa nikuiongezea majukumu TBS kuwa wakaguzi kazi iliyokuwa inafanywa na TFDA. TFDA wanaafadhali kuliko TBS
 
-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-kuchanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo
-n.k.

Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.

Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.

Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.
Hakuna wa kuwazuia, na ndo fursa za biashara hizo.

Cha kuwazuia ni mwili wako. Mwili wako ukipata shida kutokana na chakula cha kununua, basi utajua sehemu ya kutokula.

Ila katika ulivyotaja sio vyote vina madhara. Chakula cha jana hakina madhara, kitimoto hana madhara ni ujinga tu umewatawala watu,
 
-kuweka hamira kwenye wali
-kupika nyama zilizokaa mda mrefu (kuna namna ya kukata harufu),
-kupika mizoga (zipo tetesi kuku wanaotupwa hukaangwa na kuuzwa buku kipande)
-viungo viungo viliyo expire kama mchuzi mix, royco na nazi za kwenye makopo.
-kutumia mafuta ya transfoma ama ya nguruwe ambayo ni bei rahisi
-kupika mchele wa plastiki
-kuchanganyiwa chakula cha jana na chakula cha leo
-n.k.

Serikali haina chombo maalum kukagua vyakula, Hali hii inawazuiaje mama ntilie, wenye migahawa, wenye hoteli, n.k. wasishawishike kufanya mambo tajwa hapo juu.

Hali hii inaenda mbali zaidi, kwenye migahawa ya mtaani unaweza kuta mwenye mgahawa anajipikia chakula chake, hali chakula anachowapikia wateja, hii huwa inatia mashaka.

Huenda hali hii ndiyo inayosababisha hata vijana wengi kupata matatizo mazito ya kiafya.
A wake-up call for the responsible regulatory body (TBS) !!!
 
Back
Top Bottom