Hii ni zaidi ya hatari kama sheria iko namna hii basi ibatilishwe, maana kuna dhehebu zingine imani yao wanaamini kujilipua mabomu kwaajili ya mungu ni sawa je serikali isiingilie?
kwa maana nyingine hakuna haja ya kusajili madhehebu
Nauliza pia kile kikao Cha Gwajima na Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer kiliishia wapi? maana alisema atakua laivu na ilitakiwa iwe ni jumanne iliyopita,
kwa maana nyingine hakuna haja ya kusajili madhehebu
Nauliza pia kile kikao Cha Gwajima na Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer kiliishia wapi? maana alisema atakua laivu na ilitakiwa iwe ni jumanne iliyopita,