Ni kweli, labda mkuu wa wilaya angemchukulia hatua, sio bungeTafuta coment yangu nilisema hapa kuwa wakimuuliza atasema kuwa alisemea kanisani sio jimboni hivyo bunge sijui kamati haina pa kumshikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana hakuwa anafanya kazi ya kibunge