Ni kweli, labda mkuu wa wilaya angemchukulia hatua, sio bungeTafuta coment yangu nilisema hapa kuwa wakimuuliza atasema kuwa alisemea kanisani sio jimboni hivyo bunge sijui kamati haina pa kumshikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwangu mimi huo mnaouita ugaidi naupenda sana.Maana unafundisha muumini wake kutokubali kudhurumiwa,kunyanyaswa,kuonewa kwa namna yoyote ile.Kuna Aya ya Quran nimeweka hapo?[emoji23][emoji16][emoji23]
Haya kama umeiona wewe unaejua itafsiri,
Asante member atleast wewe unakiri....ila Sasa tatizo wenzako wanadai Hayo mafundisho hayapo kabisa kwenye vitabu vyenu Na wanaoyafata kama kina Hamza Ni wapotofu Na hawaijui dini.Kwangu mimi huo mnaouita ugaidi naupenda sana.Maana unafundisha muumini wake kutokubali kudhurumiwa,kunyanyaswa,kuonewa kwa namna yoyote ile.
Basi mimi huwa sidhurumiki,sinyanyaswi na wala siruhusu kufanyiwa uonevu.Ukijaribu ntakushughulikia tu.
Mi upande wangu ni Taliban.Hao wengine watajua wenyewe.Asante member atleast wewe unakiri....ila Sasa tatizo wenzako wanadai Hayo mafundisho hayapo kabisa kwenye vitabu vyenu Na wanaoyafata kama kina Hamza Ni wapotofu Na hawaijui dini.
Kwa hiyo na Spika aliyekosea Mambo ya dini bungeni ahojiwe kanisani?
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
duhTafuta coment yangu nilisema hapa kuwa wakimuuliza atasema kuwa alisemea kanisani sio jimboni hivyo bunge sijui kamati haina pa kumshikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ajabu wanaopinga Taliban wanatumia hivyo hivyo vitabu wanavyotumia talibanMi upande wangu ni Taliban.Hao wengine watajua wenyewe.
Ni mtumishi wa bunge ujueNi kweli, labda mkuu wa wilaya angemchukulia hatua, sio bunge
Maana hakuwa anafanya kazi ya kibunge
aliitwa athibitishe madai yake yeye anasingizia roho mtakatifu, huyo fala si alihaidi akienda kwenye kamati ataeleza ukweli wote?Weka kifungu cha sheria kinachoipa serikali mamlaka ya kuhoji mafundisho na mitazamo ya watu ambayo haiathiri watu wengine ila wao wenyew
Usilete bla bla Kaka na mifano yako mfu
Wanaipenda dunia kupitiliza labda.Sasa ajabu wanaopinga Taliban wanatumia hivyo hivyo vitabu wanavyotumia taliban
Sawa...Hivi Kuna tofauti Gani ya Taliban Na ISIS?Wanaipenda dunia kupitiliza labda.
Supika kaja na hubiri jipya, anasema Yesu alisafiri na mke wàke,sijui kapata wapi hiki fungu?Kwa hiyo na Spika aliyekosea Mambo ya dini bungeni ahojiwe kanisani?
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Kauli anazotoa Gwajima zingetolewa Msikitini matokeo yangekuwa tofauti sana, Serikali ya CCM ina ndimi tatu,kauli hiyo hiyo moja ikitolewa na mpinzani,Mkristo , Muislam na mtu kutoka Kanda fulani lazima serikali itaipa majina,tafsiri na mtazamo tofauti kabisa.Hii ni zaidi ya hatari kama sheria iko namna hii basi ibatilishwe, maana kuna dhehebu zingine imani yao wanaamini kujilipua mabomu kwaajili ya mungu ni sawa je serikali isiingilie?
View attachment 1924760
kwa maana nyingine hakuna haja ya kusajili madhehebu
Nauliza pia kile kikao Cha Gwajima na Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer kiliishia wapi? maana alisema atakua laivu na ilitakiwa iwe ni jumanne iliyopita,
ISIS inasemekana ni kikundi kilichoundwa wa wamarekani wenyewe kwa siri.Taliban ni walinyang'wa utawala wa nchi yao kinguvu na kwa visingizio kibao toka kwa marekani.Sawa...Hivi Kuna tofauti Gani ya Taliban Na ISIS?
sahihi kabisaKauli anazotoa Gwajima zingetolewa Msikitini matokeo yangekuwa tofauti sana, Serikali ya CCM ina ndimi tatu,kauli hiyo hiyo moja ikitolewa na mpinzani,Mkristo , Muislam na mtu kutoka Kanda fulani lazima serikali itaipa majina,tafsiri na mtazamo tofauti kabisa.