MgosiMnubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2022
- 890
- 1,487
Mkuu nimekuelewa unamaanisha nn!?Nje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje Kuzimiliki, wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimekuelewa unamaanisha nn!?Nje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje Kuzimiliki, wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?
Mkuu ww ni mkorofi eti?Kwahiyo wewe mleta mada ni kichwa kitupu? hata wewe mwenyewe hujajitaja yaani hujiamini,kama hujiamini unawezaje kuwaamini wengine? inatakiwa mtu smart kichwani ili kuwatambua watu smart.
Nipe tafsiri ya ukorofi kwanza kisha tuendelee.Mkuu ww ni mkorofi eti?
Asante sana kwa Kunielewa hicho nilichokimaanisha Mkuu. Kuna Watu hapa JamiiForums wanadhani Sisi ni Wapumbavu ( Fools. ) kama Wao.Mkuu nimekuelewa unamaanisha nn!?
I hope nitakuwa makamu wa pili wa raisi mwanamke kwenye history ya Taifa....Kila la kheriKabisa mwaka ujao nataka nichukue form ya Urais. Tusiwaachie hawa wengine watuongoze nasi tukazane.
Wee ungenyoosha tu maelezo kuwa Mshana ni mbobevu Kwenye ishu za Kishirikina,hivyo Serikali ingeweza kumtumia Kwenye nyanja za Security.Fullstop.Mshana Jr:
Japo ni mwana CHADEMA, lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa, masuala ya vyama huwekwa pembeni. Serikali isione aibu kumtumia kwa sababu tu ya itikadi zake za kisiasa. Mbona ilimchukus Profesa Kitila Mkumbo alipokuwa bado ni mwanachama wa ACT WAZALENDO, Anna, n.k. japo waliishia kuhamia CCM?
1. Ni mtu mwelewa mwenye exposure kubwa
2. Uandishi wake unaonesha kuwa ni msomi anayejitambua na mwenye uelewa wa mambo mengi
3. Ni Mtanganyika Mzalendo
4. Ni mtu anayesimamia kile anachokiamini. Akiamua kukosoa hufanya hivyo bila aibu. Kwa ufupi si mnafiki, ni mtu jasiri
5. Anaweza kuteuliwa kushika nafasi zisizo za kisiasa kama Ukatibu Tawala wa Mkoa, Ukurugenzi wa Masharika ya Umma, Mjumbe wa Bodi, ubalozi, n.k.
Namna hiyo!! 😍😍nimelizingatia vizuri sana mtumishi 🤓
hivi Fortunatus Buyobe mzee wa uzi kama movie naaaaaaaaaaaaam yupo humu? yule jamaa sasa ndo kichwaKwanza, ninaipongeza kwa kumteua Mkurugenzi wa JF, Maxence Mello kuwa mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Naamini hawajakosea kumteua mtajwa.
Lakini inafahamu kuwa kuna vichwa vingine kibao, tena wanaotumia verified Id hivyo si kazi kuwapata, ambao wangeweza kuwa na mchango mkubwa katika nchi endapo wangepewa nafasi Serikalini?
Nitawataja alau wawili, wengine watatajwa na wana JF wengine.
Mungu ni mwema sana wapendwa.. asanti sana kwa majitoleo na utayari wenu wa bila kujibakiza kwa ajili yangu...Namna hiyo!! 😍😍
Tutakusaidia kupiga kampeni tuzoe kura za NDIYO zote kwako
Mkuu, wewe unaamini Mshana Jr ni mshirikina?Wee ungenyoosha tu maelezo kuwa Mshana ni mbobevu Kwenye ishu za Kishirikina,hivyo Serikali ingeweza kumtumia Kwenye nyanja za Security.Fullstop.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hata FaizaFoxy anaweza akiwezeshwaWasimsahau na faiza foxy hata viti maalumu wakuu,namuona yuko vizuri ukiaacha unazi wake wakidini