Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Mshana Jr:
Japo ni mwana CHADEMA, lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa, masuala ya vyama huwekwa pembeni. Serikali isione aibu kumtumia kwa sababu tu ya itikadi zake za kisiasa. Mbona ilimchukus Profesa Kitila Mkumbo alipokuwa bado ni mwanachama wa ACT WAZALENDO, Anna, n.k. japo waliishia kuhamia CCM?

1. Ni mtu mwelewa mwenye exposure kubwa

2. Uandishi wake unaonesha kuwa ni msomi anayejitambua na mwenye uelewa wa mambo mengi

3. Ni Mtanganyika Mzalendo

4. Ni mtu anayesimamia kile anachokiamini. Akiamua kukosoa hufanya hivyo bila aibu. Kwa ufupi si mnafiki, ni mtu jasiri

5. Anaweza kuteuliwa kushika nafasi zisizo za kisiasa kama Ukatibu Tawala wa Mkoa, Ukurugenzi wa Masharika ya Umma, Mjumbe wa Bodi, ubalozi, n.k.
Wee ungenyoosha tu maelezo kuwa Mshana ni mbobevu Kwenye ishu za Kishirikina,hivyo Serikali ingeweza kumtumia Kwenye nyanja za Security.Fullstop.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Kwanza, ninaipongeza kwa kumteua Mkurugenzi wa JF, Maxence Mello kuwa mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Naamini hawajakosea kumteua mtajwa.

Lakini inafahamu kuwa kuna vichwa vingine kibao, tena wanaotumia verified Id hivyo si kazi kuwapata, ambao wangeweza kuwa na mchango mkubwa katika nchi endapo wangepewa nafasi Serikalini?

Nitawataja alau wawili, wengine watatajwa na wana JF wengine.
hivi Fortunatus Buyobe mzee wa uzi kama movie naaaaaaaaaaaaam yupo humu? yule jamaa sasa ndo kichwa
 
Namna hiyo!! 😍😍
Tutakusaidia kupiga kampeni tuzoe kura za NDIYO zote kwako
Mungu ni mwema sana wapendwa.. asanti sana kwa majitoleo na utayari wenu wa bila kujibakiza kwa ajili yangu...
Mungu awabariki saana..
 
Wee ungenyoosha tu maelezo kuwa Mshana ni mbobevu Kwenye ishu za Kishirikina,hivyo Serikali ingeweza kumtumia Kwenye nyanja za Security.Fullstop.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Mkuu, wewe unaamini Mshana Jr ni mshirikina?

Anaweza akawa anazijua siri za wachawi lakini siamini kama ni mchawi. Humwoni kwamba amekaa kichungaji chungaji vile?
 
Back
Top Bottom