Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
coming soon kuuzwa mtakaopinga ccm na wafilist wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavyopenda pesa hapo kashakuvuruga 🤣🤣🤣Kwa kweli tufurahi tu!hata neno la Mungu linasema,Ufalme wa mbinguni utatekwa na wenye nguvu,hivyo Kwa vile mchungaji wetu ana nguvu za kuteka hata falme za Dunia,Nina uhakika na Ufalme wa Mungu tutauteka au sio baba Tlaatlaah ?Jamani kitengo Cha sadaka mbebe vizuri makapu hakikisha hayajatoboka
🤣🤣🤣hawa nao kila sehemu wapoYaani hapo wakina Mwa wote kura zinaangukia kwako.
Ila shida kuna wasukuma kinehe mamii😂😂 akitokea mtu akigombania huko kazi kwisha wapo kila sehemu
siku zijazo nikijaaliwa kuja hapo Dar es Salaam tena, nitarudia kufundisha wapendwa somo lenye kichwaKwa kweli tufurahi tu!hata neno la Mungu linasema,Ufalme wa mbinguni utatekwa na wenye nguvu,hivyo Kwa vile mchungaji wetu ana nguvu za kuteka hata falme za Dunia,Nina uhakika na Ufalme wa Mungu tutauteka au sio baba Tlaatlaah ?Jamani kitengo Cha sadaka mbebe vizuri makapu hakikisha hayajatoboka
Serikali ya mama [emoji1]Serikali ipi ya Korea?[emoji23][emoji23]
Ni kweli humu kuna watu wako vizuriNi kweli mkuu! JF imejaa vichwa lukuki wanaweza kuisiadia sana Serikali wakipewa nafasi.
Mchukulie kwa mfano Gentamycine, ingawa ni "mkorofi", ni mtu mwenye akili mingi sana.
Oyaa nimeshakuonya mara nyingi sana ukiwa unanitag usinijumuishe na BICHWA KOMWE -
Hahaha the GT himself senior JF counter-Narcotics expert.Ni kweli humu kuna watu wako vizuri
Mimi mwenyewe nimoo mkuu
Ova
Ule uwanja wako umeshawapa simba?Wanajijua na Chawa wao Gegedu walionao hapa JamiiForums.
Yaani,afanye tu🤣🤣🤣🤣Acha tu mdogo wangu....kasema akitoka Dodoma atakuja kufundisha kutofautisha ulimwengu wa Nuru na wa giza...ila mchungaji ana mikwara sanaNa anavyokuelewa mama yake wa kiroho 😂😂😂
Itabidi akufanyie wepesi tu! Si eti baba mcungaji Tlaatlaah
Yaani hili Somo ni Muhimu sana Lamomy Kuna Somo la utambuzi usikose🤣🤣🤣🤣siku zijazo nikijaaliwa kuja hapo Dar es Salaam tena, nitarudia kufundisha wapendwa somo lenye kichwa
"Namna ya kutambua ulimwengu wa Giza na ulimwengu wa Nuru"
itasadia sana kukwepa uharibifu na kuchangamkia Baraka za Mungu...
Uskose
Huko kote anazunguka sisi tunataka atusaidie tule cake ya taifa 😂😂😂Yaani,afanye tu🤣🤣🤣🤣Acha tu mdogo wangu....kasema akitoka Dodoma atakuja kufundisha kutofautisha ulimwengu wa Nuru na wa giza...ila mchungaji ana mikwara sana
Anafurahisha Sana huyo jamaaUnaposema hivi basi Cognizant, 1979Magufuli, na mwenzake MINOCYCLINE
wanakuangalia kwa jicho la aina hii hapa 👉 🙄
Eeehhhh hili neno....Mi hayo masomo siyataki, kwanza atuonjeshe cake ya taifa tumsaidie kula kodi zetu 😂😂😂
Sawaaa tu huyu member na akili kubwa Kam za MalcomX_JrKwa nini asiwe bosi wa TRA?