Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

🤣🤣🤣🤣

Inafahamika kuwa Mayalla ni CCM, na yeye mwenyewe ameliweka hilo wazi. Lakini hilo halimfanyi asitumie taaluma yake ya uandishi kukosoa Chama chochote cha Siasa, kukiwemo cha kwake, akiona inafaa.
Hivyo anavyofanya Mayalla ndio wenye ccm hawataki na Ndio maana kila akiomba kura hazitoshi licha ya kujitahidi kufanya uchawa babu kubwa mpaka kwenye vipindi vya television!! Ccm sio chama cha siasa ni CULT!!
 
Hivyo anavyofanya Mayalla ndio wenye ccm hawataki na Ndio maana kila akiomba kura hazitoshi licha ya kujitahidi kufanya uchawa babu kubwa mpaka kwenye bilindi vya television!! Ccm sio chama cha siasa ni CULT!!
Kwa maana nyingine si mtu sahihi maana hasimamii kile anakielewa . Maana kuwa Chawa ni mtu unaongea ujinga wa kusifu sifu kwa manufaa ya tumbo lako
 
mm pia nina ID yangu nyingine natema madini matupu hasa Jf intelligence lakini siitwi
 
Paschal Mayalla:
1. Ni msomi mwenye taaluma ya Sheria na uandishi wa habari

2. Ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa miaka mingi

3. Ni mtu jasiri anayejiamini

4. Ni kada wa Chama Tawala asiye mwoga kukisemea pale inapobidi

5. Alishawahi kugombea nafasi ya ubunge EALA lakini kura hazikutosha

6. Anafaa kuwa Msemaji wa Serikali, Mwandishi wa Rais, Mbunge, Waziri, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa TBC, Mkurugenzi wa Manispaa au Jiji na nafasi zinginezo zinazofana na hizo.
Kuna kitu nimejifunza kwenye maisha,km sio chawa wao au haupo kwenye network yao hauwezi kua sehemu ya safari yao
 
Waumini tuna baba mchungaji wa nguvu 😆
Kwa kweli tufurahi tu!hata neno la Mungu linasema,Ufalme wa mbinguni utatekwa na wenye nguvu,hivyo Kwa vile mchungaji wetu ana nguvu za kuteka hata falme za Dunia,Nina uhakika na Ufalme wa Mungu tutauteka au sio baba Tlaatlaah ?Jamani kitengo Cha sadaka mbebe vizuri makapu hakikisha hayajatoboka
 
Gender izingatiwe jamani,,Mama yetu Samia Suluhu Hassan anapofanya uteuzi asisahau na kichwa changu....Ili kufikia malengo ya 50/50 Ili kufikia Tanzania mpya
 
Back
Top Bottom