Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Sema kufanya kazi na serikali inahitaji moyo sana aisee hawachelewi kukugeuka Hawa jamaa mwishowe wataishia kukuflash
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kujipanga tu my friend,Sema kufanya kazi na serikali inahitaji moyo sana aisee hawachelewi kukugeuka Hawa jamaa mwishowe wataishia kukuflash
🤣🤣🤣🤣
Hivyo anavyofanya Mayalla ndio wenye ccm hawataki na Ndio maana kila akiomba kura hazitoshi licha ya kujitahidi kufanya uchawa babu kubwa mpaka kwenye vipindi vya television!! Ccm sio chama cha siasa ni CULT!!Inafahamika kuwa Mayalla ni CCM, na yeye mwenyewe ameliweka hilo wazi. Lakini hilo halimfanyi asitumie taaluma yake ya uandishi kukosoa Chama chochote cha Siasa, kukiwemo cha kwake, akiona inafaa.
Kwa maana nyingine si mtu sahihi maana hasimamii kile anakielewa . Maana kuwa Chawa ni mtu unaongea ujinga wa kusifu sifu kwa manufaa ya tumbo lakoHivyo anavyofanya Mayalla ndio wenye ccm hawataki na Ndio maana kila akiomba kura hazitoshi licha ya kujitahidi kufanya uchawa babu kubwa mpaka kwenye bilindi vya television!! Ccm sio chama cha siasa ni CULT!!
Ss hivi sitoi sadaka babasadaka ni ya Mungu kupitia kanisa na watumishi wake, ambao ni pamoja na mimi. Madhabahu inatutegemeza tusonge mbele na hiyo kazi ngumu sana
😂😂😂😂🙌🙌🙌namalizia kikao muda kidogo tu tafadhali
unazuia neno kusonga mbele, na kuwategemeza watumishi tusing'areSs hivi sitoi sadaka baba
Kwani ushatoka kwenye kikao.?! 😂😂😂unazuia neno kusonga mbele, na kuwategemeza watumishi tusing'are
utaweza sasa 🤣
Kwa nini asiwe bosi wa TRA?
Amina,hakika hutosaulikaUkipita naomba kwenye ile kamati ya machawa wako nipitishe uone kazi yangu tukuka
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kuna kitu nimejifunza kwenye maisha,km sio chawa wao au haupo kwenye network yao hauwezi kua sehemu ya safari yaoPaschal Mayalla:
1. Ni msomi mwenye taaluma ya Sheria na uandishi wa habari
2. Ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa miaka mingi
3. Ni mtu jasiri anayejiamini
4. Ni kada wa Chama Tawala asiye mwoga kukisemea pale inapobidi
5. Alishawahi kugombea nafasi ya ubunge EALA lakini kura hazikutosha
6. Anafaa kuwa Msemaji wa Serikali, Mwandishi wa Rais, Mbunge, Waziri, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa TBC, Mkurugenzi wa Manispaa au Jiji na nafasi zinginezo zinazofana na hizo.
Tukuyu bhana....uje ucheke tenaDaaah apo kyela ushachukua fomu ya hata ya mjumbe😂😂😂
Yaani hapo wakina Mwa wote kura zinaangukia kwako.Tukuyu bhana....uje ucheke tena
Kwa kweli tufurahi tu!hata neno la Mungu linasema,Ufalme wa mbinguni utatekwa na wenye nguvu,hivyo Kwa vile mchungaji wetu ana nguvu za kuteka hata falme za Dunia,Nina uhakika na Ufalme wa Mungu tutauteka au sio baba Tlaatlaah ?Jamani kitengo Cha sadaka mbebe vizuri makapu hakikisha hayajatobokaWaumini tuna baba mchungaji wa nguvu 😆
Hii comment imenifanya nichekeNje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?