Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Ninao ushauri kwa hawa ambao tunawabariki hapa wapate nafasi za utumishi wa kisiasa serikali.

Ni jambo zuri sana, nami binafsi naona wanastahili kulingana na sifa za kitaalamu walizonazo..

Nitoe mfano changamoto ambayo inaweza kuchelewesha jambo hili,
mathalani kwa Paskali na kuna mjamaa mwingine anaitwa kakeke.

misimamo yao binafsi kidini pamoja na misimamo yao ya misingi ya taaluma zao itawafanya wasipendwe au kuhitajika kwenye nafasi za uteuzi ktk siasa hususan za Tz, licha ya kwamba they have qualifications and requirements to be appointment

Hata na hivyo kwa neema za Mungu inawezekana 🐒
 
Ninao ushauri kwa hawa ambao tunawabariki hapa wapate nafasi za utumishi wa kisiasa serikali.

Ni jambo zuri sana, nami binafsi naona wanastahili kulingana na sifa za kitaalamu walizonazo..

Nitoe mfano changamoto ambayo inaweza kuchelewesha jambo hili,
mathalani kwa Paskali na kuna mjamaa mwingine anaitwa kakeke.

misimamo yao binafsi kidini pamoja na misimamo yao ya misingi ya taaluma zao itawafanya wasipendwe au kuhitajika kwenye nafasi za uteuzi ktk siasa hususan za Tz, licha ya kwamba they have qualifications and requirements to be appointment

Hata na hivyo kwa neema za Mungu inawezekana 🐒
Tuteuliwe tu hivyohivyo hata kama wananchi hawatupendi,we umeona wapi mtanzania anampenda Mtu aliyeteuliwa bwana,Madam president awapuuzie tu sie tukachape kazi😆😆😆😆
 
Tuteuliwe tu hivyohivyo hata kama wananchi hawatupendi,we umeona wapi mtanzania anampenda Mtu aliyeteuliwa bwana,Madam president awapuuzie tu sie tukachape kazi😆😆😆😆
Tuteuliwe tu hivyohivyo hata kama wananchi hawatupendi,we umeona wapi mtanzania anampenda Mtu aliyeteuliwa bwana,Madam president awapuuzie tu sie tukachape kazi😆😆😆😆
sio wananchi hapana, wananchi hawateui wanachagua kwenye uchaguzi tu....

nazungumzia watu wa vetting wanaosaidia mamlaka ya uteuzi, huwa na wao wanatumia vigezo vyao binafsi vingine wanavyovijua wao kisiasa tofauti na sifa mahususi stahiki....

huwa wana kitu kinaitwa fear of unknown juu ya watu kama hawa kwamba kwa hulka nilizotaja zinaweza kuzuia au kuchelewesha masuala kadhaa yasiende mbele na kumkwamisha kiongozi mkuu wa uteuzi kuyafikia malengo yake ya kisiasa....

Muhimu ni kuwa na kiasi hivyo vya kibinafsi, halafu kuchagua moja huko ndani ya siasa kwamba kusuka au kunyoa, kuchinja au kunyonga🐒
 
Sisi wenye akili nyingi tunabaguliwa sana. Yaani mpaka sometimes najisikia vibaya. Hatupewi teuzi kabisa. Wanapewa tu wale ambao ni kinyume na sisi.
Wenye akili wenzio tunautambua umuhimu wako!kama vipi tuachane na mambo ya teuzi twende zetu kwenye mambo chaguzi tukajizolee mi-kura😁
 
sio wananchi hapana, wananchi hawateui wanachagua kwenye uchaguzi tu....

nazungumzia watu wa vetting wanaosaidia mamlaka ya uteuzi, huwa na wao wanatumia vigezo vyao binafsi vingine wanavyovijua wao kisiasa tofauti na sifa mahususi stahiki....

huwa wana kitu kinaitwa fear of unknown juu ya watu kama hawa kwamba kwa hulka nilizotaja zinaweza kuzuia au kuchelewesha masuala kadhaa yasiende mbele na kumkwamisha kiongozi mkuu wa uteuzi kuyafikia malengo yake...

Muhimu ni kuwa na kiasi hivyo vya kibinafsi, halafu kuchagua moja huko ndani ya siasa kwamba kusuka au kunyoa, kuchinja au kunyonga🐒
Nimekupata vizuri sana baba mchungaji,ndio Uzuri wa kuwa na baba mchungaji aliyesoma political science,sijui kama Gwajima nae anajua vitu kama hivi!😁😁😁
 
Great thinker wengi wapo well financial stable na wengi wapo employed na wengine self-employed na nafikiri wangekuwa wanataka uteuzi wangetumia I'd ambazo sio fake.

Kuhusu Pascal Mayalla aliwahi kusema yeye haitaji teuzi ndogo kama U-DC na U-RC maana aliacha kazi ambayo alikua analipwa pesa nyingi.
Thubutu,angeenda kugombea ubunge
Akapata kura 1 [emoji1]

Ova
 
Wenye akili wenzio tunautambua umuhimu wako!kama vipi tuachane na mambo ya teuzi twende zetu kwenye mambo chaguzi tukajizolee mi-kura😁
Kabisa mwaka ujao nataka nichukue form ya Urais. Tusiwaachie hawa wengine watuongoze nasi tukazane.
 
Back
Top Bottom