mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
wewe upelekwe BOT na ubahili wakoHuyo apewe TCRA ili aachie zile site zenu pendwa za warumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe upelekwe BOT na ubahili wakoHuyo apewe TCRA ili aachie zile site zenu pendwa za warumi
Kwa tafsiri nyingine ni kwamba wewe ni mmoja wa hao unaowapigia debe ila umekuja kwa ID nyngine.Nani hao mkuu?
Itasaidia sana, ingawa na yenyewe inaweza kusababisha tukapata diktetaHapo ndipo umuhimu wa kuweko kwa mgombea binafsi unapojitokeza.
Kuna masharti na vigezo hana, yuko 65+yrs.Paschal Mayalla:
1. Ni msomi mwenye taaluma ya Sheria na uandishi wa habari
2. Ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa miaka mingi
3. Ni mtu jasiri anayejiamini
4. Ni kada wa Chama Tawala asiye mwoga kukisemea pale inapobidi
5. Alishawahi kugombea nafasi ya ubunge EALA lakini kura hazikutosha
6. Anafaa kuwa Msemaji wa Serikali, Mwandishi wa Rais, Mbunge, Waziri, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa TBC, Mkurugenzi wa Manispaa au Jiji na nafasi zinginezo zinazofana na hizo.
Unaposema hivi basi Cognizant, 1979Magufuli, na mwenzake MINOCYCLINENje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?
Daaah apo kyela ushachukua fomu ya hata ya mjumbe😂😂😂Mi nilichoamua ni 2030 Kama nitakuwa hai nikuchukua tu form ya kugombea urais....ukisubiri uonekane ndiyo uteuliwe utachina sana
Umri umeenda, kuteuliwa 60+yrs labda uwe mstaafu serikalini cheo kikubwa mf CDF, Wakurugenzi nk. Mshana Jr ni mtaalamu mstaafu sijui alifika nyota ngapi kule kilingeni.Mshana Jr:
Japo ni mwana CHADEMA, lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa, masuala ya vyama huwekwa pembeni. Serikali isione aibu kumtumia kwa sababu tu ya itikadi zake za kisiasa. Mbona ilimchukus Profesa Kitila Mkumbo alipokuwa bado ni mwanachama wa ACT WAZALENDO, Anna, n.k. japo waliishia kuhamia CCM?
1. Ni mtu mwelewa mwenye exposure kubwa
2. Uandishi wake unaonesha kuwa ni msomi anayejitambua na mwenye uelewa wa mambo mengi
3. Ni Mtanganyika Mzalendo
4. Ni mtu anayesimamia kile anachokiamini. Akiamua kukosoa hufanya hivyo bila aibu. Kwa ufupi si mnafiki, ni mtu jasiri
5. Anaweza kuteuliwa kushika nafasi zisizo za kisiasa kama Ukatibu Tawala wa Mkoa, Ukurugenzi wa Masharika ya Umma, Mjumbe wa Bodi, ubalozi, n.k.
Wekeni majina yenu wazi ili mjulikane vizuri na hoja zenu; hiyo ndio marketing na branding yako!!Tutawapata vipi wakati nyie na Wanawake wenu mnafunga PM.
Ngoja tuendelee kuwatumia Uvccm na wale wanaunga juhudi
🤣🤣🤣🤣Wekeni majina yenu wazi ili mjulikane vizuri na hoja zenu; hiyo ndio marketing na branding yako!!
Mfano si huyo Mubyazi wenu hapo JF ; mawazo na misimi yake siyo ya kichawa anapata uteuzi!! Sasa nyie wakina Mayalla Njaa leo uko ccm kesho unaponda ccm , huwezi pata uteuzi kwasababu ni opportunist, kwa lugha nyepesi MNAFIKI !
Cc;Nje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?
nipo huko siku nyingi sana,Ww hutaki?
C++embedded system
Ukipita naomba kwenye ile kamati ya machawa wako nipitishe uone kazi yangu tukukaMi nilichoamua ni 2030 Kama nitakuwa hai nikuchukua tu form ya kugombea urais....ukisubiri uonekane ndiyo uteuliwe utachina sana
Joannah baba mtumishi kumbe yuko mjengoni na bado sadaka zetu anazitaka 😂😂😂nipo huko siku nyingi sana,
na kwa miswada makini sana hii ya uchaguzi na tume ya uchaguzi tunajadili hapa mjengoni,
najiskia kuomba tena ridhaa kwa wananchi kwa awamu nyingine tena 2025-2030...
Acha ninyamaze asije kupita mamasamia2025 aanze kusema tunaharibu uzi 😂😂unanisemelea kwa mama yangu mpendwa sana wa kiroho 🤓
Hapana mkuu! Mimi siyo Mshana Jr wala Paschal Mayalla.Kwa tafsiri nyingine ni kwamba wewe ni mmoja wa hao unaowapigia debe ila umekuja kwa ID nyngine.
Ubunge hauna ukomo wa umri.Kuna masharti na vigezo hana, yuko 65+yrs.