Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Serikali haioni hivi vichwa vilivyopo JamiiForums?

Paschal Mayalla:
1. Ni msomi mwenye taaluma ya Sheria na uandishi wa habari

2. Ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa miaka mingi

3. Ni mtu jasiri anayejiamini

4. Ni kada wa Chama Tawala asiye mwoga kukisemea pale inapobidi

5. Alishawahi kugombea nafasi ya ubunge EALA lakini kura hazikutosha

6. Anafaa kuwa Msemaji wa Serikali, Mwandishi wa Rais, Mbunge, Waziri, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa TBC, Mkurugenzi wa Manispaa au Jiji na nafasi zinginezo zinazofana na hizo.
Naunga mkono,
Paskali awezeshwe kua mtumishi wa umma regardless ni katika nafasi gani, ana kakitu mjamaa.

ni muugwana kwakweli 🐒
 
Paschal Mayalla:
1. Ni msomi mwenye taaluma ya Sheria na uandishi wa habari

2. Ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa miaka mingi

3. Ni mtu jasiri anayejiamini

4. Ni kada wa Chama Tawala asiye mwoga kukisemea pale inapobidi

5. Alishawahi kugombea nafasi ya ubunge EALA lakini kura hazikutosha

6. Anafaa kuwa Msemaji wa Serikali, Mwandishi wa Rais, Mbunge, Waziri, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa TBC, Mkurugenzi wa Manispaa au Jiji na nafasi zinginezo zinazofana na hizo.

 
Paschal Mayalla:
1. Ni msomi mwenye taaluma ya Sheria na uandishi wa habari

2. Ni Mwandishi wa Habari mwenye uzoefu wa miaka mingi

3. Ni mtu jasiri anayejiamini

4. Ni kada wa Chama Tawala asiye mwoga kukisemea pale inapobidi

5. Alishawahi kugombea nafasi ya ubunge EALA lakini kura hazikutosha

6. Anafaa kuwa Msemaji wa Serikali, Mwandishi wa Rais, Mbunge, Waziri, Katibu Tawala wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi wa TBC, Mkurugenzi wa Manispaa au Jiji na nafasi zinginezo zinazofana na hizo.
Aisee! Acha waendelee kutokuona.
 
Kwahiyo wewe mleta mada ni kichwa kitupu? hata wewe mwenyewe hujajitaja yaani hujiamini,kama hujiamini unawezaje kuwaamini wengine? inatakiwa mtu smart kichwani ili kuwatambua watu smart.
Kujitaja ni ubinafsi mkuu. Siangalii maslahi yangu binafsi, bali ya nchi. Ikiwa wananchi wenzangu mtaona kuwa mnanihitaji niwatumikie katika nafasi fulani nyeti, nitaipokea hiyo nafasi kwa mikono miwili. Vinginevyo, sitakaa nijipendekeze.
 
Ni kweli mkuu! JF imejaa vichwa lukuki wanaweza kuisiadia sana Serikali wakipewa nafasi.

Mchukulie kwa mfano Gentamycine, ingawa ni "mkorofi", ni mtu mwenye akili mingi sana.
Waliopo JF ndio hao hao waliopo huko kwenye maisha ya uhalisia,wengine wanatumia fake ID's unajuaje kua sasa hivi hawapo kwenye hizo nafasi ambazo wewe unatamani wazipate?
 
Ni kweli mkuu! JF imejaa vichwa lukuki wanaweza kuisiadia sana Serikali wakipewa nafasi.

Mchukulie kwa mfano Gentamycine, ingawa ni "mkorofi", ni mtu mwenye akili mingi sana.
Nitakuw ni mtu wa mwisho kuamini huyo jamaa kilaza nae ni akili kubwa huku jf

Humu jf kuna mtu anaitwa Bams ni mtu mwenye akili sana
 
Mshana Jr:
Japo ni mwana CHADEMA, lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa, masuala ya vyama huwekwa pembeni. Serikali isione aibu kumtumia kwa sababu tu ya itikadi zake za kisiasa. Mbona ilimchukus Profesa Kitila Mkumbo alipokuwa bado ni mwanachama wa ACT WAZALENDO, Anna, n.k. japo waliishia kuhamia CCM?

1. Ni mtu mwelewa mwenye exposure kubwa

2. Uandishi wake unaonesha kuwa ni msomi anayejitambua na mwenye uelewa wa mambo mengi

3. Ni Mtanganyika Mzalendo

4. Ni mtu anayesimamia kile anachokiamini. Akiamua kukosoa hufanya hivyo bila aibu. Kwa ufupi si mnafiki, ni mtu jasiri

5. Anaweza kuteuliwa kushika nafasi zisizo za kisiasa kama Ukatibu Tawala wa Mkoa, Ukurugenzi wa Masharika ya Umma, Mjumbe wa Bodi, ubalozi, n.k.
Kumbe mko humu kunyemelea teuzi? Basi muwe jasiri
kuweka namba zenu hadharani ili muweze kufikiwa upesi! Ingawa sina hakika kama wakikuhitaji kwa dhati watakukosa ingawa umejificha!😹
‼️
 
Back
Top Bottom