GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #41
ππππππππππππππUsitupangie sisi tumewaona wakina makonda na chalamila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππππππππππUsitupangie sisi tumewaona wakina makonda na chalamila
Niliowataja hawajawahi kusema wanazihitaji hizo nafasi. Ni Mimi, kwa nafasi yangu binafsi nimeona kuwa hao watu wangeweza kilisaidia sana Taifa. Na nakuhakikishia, ningekuwa Rais wa JMT au hata wa kule Zenji, nisingewaacha watu kama hao. Lazima ningewapa kazi za kunisaidia kwa maslahi ya nchi. Sema sasa ndiyo hivyo tena, sina mpango kabisa wa kuingia kwenye Siasa. Sina hata uanachama wa Chama chochote cha Kisiasa. Mimi ni mpiga kura tu mwaminifu.Kumbe mko humu kunyemelea teuzi? Basi muwe kasoro kuweka namba zenu hadharani ili muweze kufikiwa upesi! Ingawa sina hakika kama wakikujitaji watakulosa kama wa nakuhitaji!!πΉπΉ
Serikali ipi ya Korea?[emoji23][emoji23]Ninachojiuliza ina maana serikali Mimi hainioni au ni kiburi tu?
Nilikuwa naitafuta hii comment π€£π€£π€£Nje ya Mada. Wenye Multiple IDs hapa JamiiForums wanawezaje wakati Mimi GENTAMYCINE hii moja tu niliyonayo inanitoa Jasho?
Ww hutaki?Naunga mkono,
Paskali awezeshwe kua mtumishi wa umma regardless ni katika nafasi gani, ana kakitu mjamaa.
ni muugwana kwakweli π
Siyo wote mkuu! Kuna watu wameonesha misimamo yao mwanzo hadi mwisho bila kuhofia nafasi zao.Ukiambiwa fulani hapa JF na michango yake na jinsi anavyoikosoa Serikali hapa JF kuwa ni mbunge huwezi amini .. Nenda umkute bunge yeye ni mwendo wa ndiyoooooo...
Watu wanacheza kuendana na beat tu .. Hata hao unaowafikiria wakipewa nafasi lazima hawataweza fanya lolote.
Wabunge wanachaguliwa na wananchi ili wakawakilishe mawazo ya wananchi bungeni, tatizo linakuja huwezi kuwa mbunge bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
Mbunge au yeyote anayepata teuzi katika nchi yetu anaenda kuwatumikia mabwana wawili na ndipo mgongano wa kimaslahi hutokea.
Mifano ni kama Bashe, Nape, Silinde na wengine wengi .
Huyo apewe TCRA ili aachie zile site zenu pendwa za warumidronedrake mtaalam wa embedded systems apewe ukurugenzi wa TANESCO tatizo la umeme litaisha
Ukusanyaji wa helaπMimi hapa kitengo chochote chochote tu cha masuala ya ukusanyaji helahela nakazalika.
Lucas mwashambwaLakini inafahamu kuwa kuna vichwa vingine kibao, tena wanaotumia verified Id hivyo si kazi kuwapata, ambao wangeweza kuwa na mchango mkubwa katika nchi endapo wangepewa nafasi Serikalini?
Nitawataja alau wawili, wengine watatajwa na wana JF wengine.
Tuambie kwanza wewe ni nani ili tukufungulie. Tutajie jina, cheo na namba ya simu.Tutawapata vipi wakati nyie na Wanawake wenu mnafunga PM.
Ngoja tuendelee kuwatumia Uvccm na wale wanaunga juhudi
Hilo ndio tatizo kubwa lililopo, hawezi kutumikia wananchi bila kuwasikiliza mabwana zake wa chama wanasemajeUkiambiwa fulani hapa JF na michango yake na jinsi anavyoikosoa Serikali hapa JF kuwa ni mbunge huwezi amini .. Nenda umkute bunge yeye ni mwendo wa ndiyoooooo...
Watu wanacheza kuendana na beat tu .. Hata hao unaowafikiria wakipewa nafasi lazima hawataweza fanya lolote.
Wabunge wanachaguliwa na wananchi ili wakawakilishe mawazo ya wananchi bungeni, tatizo linakuja huwezi kuwa mbunge bila kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
Mbunge au yeyote anayepata teuzi katika nchi yetu anaenda kuwatumikia mabwana wawili na ndipo mgongano wa kimaslahi hutokea.
Mifano ni kama Bashe, Nape, Silinde na wengine wengi .
πππCcm haiwezi kuwatumia watu wenye akili hata siku moja
This is what we call HumilityKujitaja ni ubinafsi mkuu. Siangalii maslahi yangu binafsi, bali ya nchi. Ikiwa wananchi wenzangu mtaona kuwa mnanihitaji niwatumikie katika nafasi fulani nyeti, nitaipokea hiyo nafasi kwa mikono miwili. Vinginevyo, sitakaa nijipendekeze.
Wengi habdilika lakini si wote mkuu.Unafikiri hawa wanao pretend kua kama wao ni malaika hapa JF wakipewa hizo nafasi watakua ndio hawa hawa unaowajua hapa JF?
Ni watu wangapi hua wapo vizuri ila baada ya kupewa nafasi hubadilika?
πππThis is what we call Humility
Hapo ndipo umuhimu wa kuweko kwa mgombea binafsi unapojitokeza.Hilo ndio tatizo kubwa lililopo, hawezi kutumikia wananchi bila kuwasikiliza mabwana zake wa chama wanasemaje
Tunapambana ili kupata mgombea binafsi ili tunufaike na vichwa kama chakoNiliowataja hawajawahi kusema wanazihitaji hizo nafasi. Ni Mimi, kwa nafasi yangu binafsi nimeona kuwa hao watu wangeweza kilisaidia sana Taifa. Na nakuhakikishia, ningekuwa Rais wa JMT au hata wa kule Zenji, nisingewaacha watu kama hao. Lazima ningewapa kazi za kunisaidia kwa maslahi ya nchi. Sema sasa ndiyo hivyo tena, sina mpango kabisa wa kuingia kwenye Siasa. Sina hata uanachama wa Chama chochote cha Kisiasa. Mimi ni mpiga kura tu mwaminifu.